Friday, February 11, 2011

Mapinduzi Misri!

Kweli wananchi wa Misri wamefanya Mapinduzi ya kweli! Rais Mubarak amejiuzulu. Tuwaombee amani wanaMisri. Kwenye taarifa ya habari wamesema kuwa watu zaidi ya 300 wamekufa katika ghasia iliyotokea huko.

Kumbe Rais Mubarak ni tajiri kuliko Bill Gates! Na kweli angetumia kakipande kidogo cha hizo pesa kusaidia wananchi maskini wa Misri huenda hayo mapinduzi yasingetokea. Kwa habari za utajiri wa Rais Mubarak BOFYA HAPA!

No comments: