Monday, February 20, 2012

Bi Kizee Amuenzi Whitney Houston Kwa Ngoma!


.
Hebu cheki huyo bibi wa kizungu mwenye miaka 90 anayocheza ngoma. Hii kacheza kuonyesho upendo wake kwa marehemu Whitney Houston. Anasema amefariki dunia mdogo mno. Huyo bibi anasema alikuwa kipenzi cha muziki wa Whitney.

REST IN PEACE WHITNEY HOUSTON.

Lakini jamani hii iwe fundisho kwa sisi waafrika. Tunamwona bibi mwenye umri mkubwa ni wa kuanika juani tu!. Kumbe bado wamo!

No comments: