Tuesday, July 16, 2013

Rais Kikwete Afuturu na Watoto Yatima Ikulu leo Jioni

Picha na Maelezo Kwa hisani ya Ikulu




Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwasabahi baadhi ya watoto yatima walioshiriki katika futari aliyoiandaa ikulu jijini Dar es Salaam leo.Watoto yatima wanaolelewa katika vituo mbalimbali jijini Dar es Salaam walihudhuria futari hiyo.








Baadhi ya watoto yatima wakishiriki katika futari iliyoandaliwa na Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete ikulu jijini Dar es Salaam leo jioni.

 PICHA NA IKULU

No comments: