Thursday, January 01, 2015

Aibu Kubwa Uwanja wa Ndege Dar es Salaam

Aibu kubwa imetokea uwanja wa kimataifa wa ndege jijini Dar es salaam,baada ya mvua kubwa kunyesha na kuvuja sehemu ambapo abiria mbalimbali hukaguliwa ticket zao,kabla yakwenda kwenye ndege!

 

No comments: