Friday, January 30, 2015

Nape Nnauye Aanza Amsha-Amsha ya Miaka 38 ya CCM Mjini Songea

 Wananchi wakiwa katika shamrashamra za kumpokea Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye leo kwenye Ofisi ya CCM mkoa wa Ruvuma mjini Songea leo, alipowasli kwa ajili ya kuanzisha amsha amsha ya Maadhimisho ya miaka 38 ya CCM ambayo inafanyika Jumapili hii, Kitaifa mjini Songea kwa kuongozwa na Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete.
 Mratibu wa Maadhimisho ya Miaka 38 ya CCM, Emaanuel John Nchimbi akiwasili kwenye Ofisi hiyo ya CCM mkoa wa Ruvuma leo kumpokea Nape
 Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye (kushoto) akiongoza wananchi kwenda katika maeneo mbalimbali kuzindua mashina ya Wajasiriamali wa CCM na kuhutubia mkutano wa hadhara, baada ya kuwasili leo mjini Songea
  Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye (kushoto) akiongoza wananchi kwenda katika maeneo mbalimbali kuzindua mashina ya Wajasiriamali wa CCM na kuhutubia mkutano wa hadhara, baada ya kuwasili leo mjini Songea
  Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye (kushoto) akiongoza wananchi kwenda katika maeneo mbalimbali kuzindua mashina ya Wajasiriamali wa CCM na kuhutubia mkutano wa hadhara, baada ya kuwasili leo mjini Songea
 Vijana wakiwa wameacha shughuli zao kumshangilia Nape alipokuwa akipita mitaani mjini Songea wakati akienda kufungua mashina ya wajasiriamali wa CCM na kuhutubia mkutnao wa hadhara
 Mwanamke akihanikiza kwa vigelegele kumshangilia Napa wakati wakipita kwenye moja ya mitaa maarufu ya mjini Songea wakati akienda kufungua matawi ya Wajasiriamali wa CCM na kuhutubia mkutano wa hadhara
 Kina Mama wakimshangilia Nape wakati akipita kwenye mita hiyo
 Nape akiwashukuru wananchi waliokuwa wakimshangilia wakati wakipita kwenye mitaa hiyo leo
 Baadhi ya viongozi wakimsubiri kumlaki Nape kwenye Ofisi ya CCM wilaya ya Songea mjini leo
 Nape akisalimiana na viongozi kwenye Ofisi hiyo ya CCM wilaya ya Songe mjini
 Nape akisaini kitabu cha wageni katika Ofisi ya CCM Songea mjini leo
 Nape akikata utepe kuzindiuashina la wakereketwa wajasiriamali wa CCM katika Stendi ya mjini Songea
 Nape akipandisha bendera ya CCM kuzindua tawi hilo la CCM kwenye Stendi ya mabasi mjni Songea
 Nape akimsalimia Mjumbe wa Shina namba 12, Margareth Mtivila,  Songea mjini
 Nape akipandisha bendera kuzindua shina la wakereketwa wajasiliamali wa CCM Liziboni mjini Songea
 Ofisi ya CCM iliyozaa shina hilo la wakereketwa ilizinduliwa na Paul Sozigwa
 Nape akimkabidhi kadi ya Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Hadija Nyoni, baada ya kuzindua shina hilo. Jumla ya Vijana 89 walikabidhiwa kadi hizo
 Nape akizindua tawi la CCM Liziboni

 Nape akizindua Mradi wa Ujenzi wa mabanda ya Biashara Kata ya Lisiboni
 Nape akipanda mti wa kumbukumbu baada ya kuzindua ujenzi wa mradi wa vibanda hivyo vya Biashara, Liziboni
 Nape akiingia kwenye jengo la Ofisi ya CCM tawi la Mji Mwema, wilaya ya Songea mjini
 Nape akipaka rangi kwenye Ofisi hiyo ya CCM tawi la Mjimwema
 Nape akiwa katika picha ya pamoja na vijana wajasiriamali wa mradi wa kufuga kuku Mjimwema
 Nape akifungua shina la Wajasiriamali wa CCM Mjini Mwema
 Nape akikagua ujenzi wa Ofisi ya CCM Kata ya Ruwiko
 Nape akitoa pole kwa familia ya askari wa Magereza, wakati wa maziko ya askari huyo katika kata ya Ruwilo, wilaya ya Songea  mjini
 Nape akitazama picha ya askari huyo ambaye amefariki kwa ajali
 Nape akiwapa pole ndugu wa Marehemu huyo
 Nape akizindua shina la Wakereketwa wa CCM, tawi la Chuo Kikuu cha St. Joseph Songea mjini
 Bibi Riziki Ngonyani (92) wa mjini akishangilia wakati wa uzinduzi wa shina hilo la St. Joseph
Nape akiagana na baadhi ya viongozi wa CCM shina la Chuo Kikuu cha St. Joseph mjini Songea. Picha na Bashir Nkoromo

No comments: