Thursday, January 01, 2015

Rais Kikwete Asherekea Mwaka Mpya Kijini Msoga, Bagamoyo

Rais Jakaya Mrisho Kikwete, Mama Salma Kikwete, Mbunge  wa
Chalinze Mhe Ridhiwani Kikwete wakijumuika na wananchi katika
kuukaribisha mwaka mpya kijijini Msoga, Chalinze, Mkoa wa Pwani

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiomba  dua  pamoja na Mashekhe  wa
Bagamoyo na wananchi  wakati wa hafla ya kumuombea dua katika mkesha
wa mwaka mpya kijijini Msoga, Chalinze, Mkoa wa Pwani

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitoa neno la shukurani kwa  Mashekhe
wa Bagamoyo na wananchi  kwa kumuandalia  hafla ya kumuombea dua
katika mkesha wa mwaka mpya kijijini Msoga, Chalinze, Mkoa wa Pwani
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na viongozi wa jamii ya
wamasai wanaoishi mkoa wa Pwani. Kiongozi mkuu wa jamii hiyo, Laiboni
Tikwa Moreto (wa pili kushoto), Majaliwa Lihalei na Zuberi Tangono
katika hafla ya  kuukaribisha mwaka mpya kijijini Msoga, Chalinze,
Mkoa wa Pwani.

No comments: