Monday, March 31, 2008

Ahmed Khalfan Ghailani atashitakiwa Marekani!



Mnakumbuka yale mshamubulizi kwenye ubalozi wa Marekani, mjini Dar es Salaam mwaka 1998? Yalisababisha vifo vya watu 11 na mamia ya watu waliumia.

Sasa, leo serikali ya Marekani imetangaza kuwa Ahmed Khalfan Ghailani, mwenye asili ya Pemba atashitakiwa kuhusiano na mashambulizi hayo. Ghailani amekuwa akishikiliwa huko Guantanamo Bay muda mrefu sasa.

***********************************************************************************

3-31-08

SAN JUAN, Puerto Rico - The U.S. has charged a Guantanamo prisoner with war crimes for the deadly 1998 al-Qaida attack on the American embassy in Tanzania.

The Pentagon said Monday that Ahmed Khalfan Ghailani could receive the death penalty if convicted by a military tribunal at the U.S. military prison.

The charges against Ghailani include murder and attacking civilians for his alleged role in a bombing that killed 11 people and wounded hundreds.

He is the 15th person charged in the military tribunals at Guantanamo, where trials are expected to get under way in late spring or early summer.

****************************************************************************

Kutoka FBI:

Ahmed Khalfan Ghailani

From The FBI

Wanted by the FBI: Murder of U.S. Nationals outside the United States. Conspiracy to murder U.S. Nationals outside the United States. Attack on a federal facility resulting in death.

Description: Born in Zanzibar, Tanzania, Ahmed Ghailani is a five-foot three-inch to five-foot four-inch tall male who weighs 150 pounds. He has black hair and brown eyes and a dark complexion. He has used multiple dates of birth: March 14, 1974, April 13, 1974, April 14, 1974, and August 1, 1970. He speaks Swahili.

Aliases: Ahmad Khalafan Ghilani, Ahmed Khalfan Ahmed, Abubakar K. Ahmed, Abubakary K. Ahmed, Abubakar Ahmed, Abu Bakr Ahmad, A. Ahmed, Ahmed Khalfan, Ahmed Khalfan Ali, Abubakar Khalfan Ahmed, Ahmed Ghailani, Ahmad Al Tanzani, Abu Khabar, Abu Bakr, Abubakary Khalfan Ahmed Ghailani, Mahafudh Abubakar Ahmed Abdallah Hussein, Shariff Omar Mohammed, "Foopie", "Fupi", "Ahmed the Tanzanian"

Caution: Ahmed Ghailani was indicted in the Southern District of New York, on December 16, 1998, for his alleged involvement in the August 7, 1998, bombings of the United States Embassies in Dar es Salaam, Tanzania, and Nairobi, Kenya. He should be considered armed and dangerous.

Reward: The Rewards For Justice Program, United States Department of State, is offering a reward of up to $5 million for information leading directly to the apprehension or conviction of Ahmed Ghailani.

What to Do: If you have any information concerning this case, please contact your Local FBI Office or the nearest American Embassy or Consulate.

6 comments:

Anonymous said...

DEATH SENTENCE will do

Anonymous said...

Dada Chemi,
Pole na Shughuli za kutupasha habari. Mimi naomba nitoke nje ya story hii, ninashida najua wewe utaweza kunisaidia. Ninatafuta website za magauni ya harusi huko marekani, nimetafuta magauni hapa london sijaona lililonikuna roho, nina harusi yangu mwezi Mei Mungu akipenda na itafanyika Bongo, na unajua tena mambo ya Bongo wanaangalia Bibi Harusi kavaa nini, naogopa kuvaa kituko. NAOMBA SANA SANA SANA Dada yangu kama utaweza UNISAIDIE, Mungu Aliye Hai na Akubariki Sana.

Mdau.

Anonymous said...

Wamwue tu! Yeye si kaua!

Anonymous said...

kwa vyovyote vile, hukumu ikitoka auawe au kufungwa maisha kote atakua ameshinda case, Atapata kukaa marekani for free, lakini baadhi yenu nyinyi humu hata hiyo green card au amnesty hamtopata.

Subiri next flight home, kuwa deported.ha ha ha ha

Anonymous said...

mdau wa magauni ya harusi,hujaniuliza mie lakini mie natafuta wedding dress marekani,ukienda google utapata maweb kibao,tena yenye vitu vya nguvu na vizuri sana hata kwa 300usd unapata kitu moto.just google

Subi said...

Mdau uliyeulizia magauni ya arusi, peruzi hapa:
David's Bridal (bofya). au tafuta kupitia google,"David's Bridal"

Kila la heri.
Subi.