Thursday, March 06, 2008

Hapo zamani za Kale

Hao ni waarusha
Hii picha ilipigwa Mikindani, Tanganyika. Wanasema eti kabili yake ni Makonki. Wanamaana Makonde? Hiyo fesheni ya kupanua mdomo umepitwa na wakati.

Kuna picha kibao za Afrika toka miaka ya 1880's hapa:
old-photos.blogspot.com/2007_03_01_archive.html

No comments: