uchizi,yeyote mwenye akili timamu awezi kufanya hivyo au amesoma je wewe CHEMI utaweza kufanya hivyo au uende kwa mzee Chemponda namna hii siatajua umeanzwa kuchanganyiwa
mh da chemi ,huu si mtindo mpya wa kusukia nyuzi za kufumia ,mie nimesuka 2006,unaweza ukasuka kama huyo dada,kama rasta za mabutu ,twist na hata dredi wanavyosema mtaani.Labda kuchanganya marangi mengi sana ndo mpya.maana hata rangi mbili za uzi huo nshasukia vilevile.Asante
I worked for Tanzania's Daily News for 11 years leaving as a Senior Reporter. I love acting, films, short story writing and cooking. I blog in English and Swahili. I am a member of the Screen Actors Guild (SAG) and AFTRA.
You can contact me at chemiche3@yahoo.com.
6 comments:
Kapendeza!!!
uchizi,yeyote mwenye akili timamu awezi kufanya hivyo au amesoma je wewe CHEMI utaweza kufanya hivyo au uende kwa mzee Chemponda namna hii siatajua umeanzwa kuchanganyiwa
mh da chemi ,huu si mtindo mpya wa kusukia nyuzi za kufumia ,mie nimesuka 2006,unaweza ukasuka kama huyo dada,kama rasta za mabutu ,twist na hata dredi wanavyosema mtaani.Labda kuchanganya marangi mengi sana ndo mpya.maana hata rangi mbili za uzi huo nshasukia vilevile.Asante
too much colour haipendezi
NYUZI sio nyusi, nyusi ni kitu kingine kabisa mpenzi.
Asante kwa sahisho mdau wa 1:30PM,ndo tatizo ya kutokufanya proof reading.
Post a Comment