Tuesday, August 03, 2010

Kimbunga Anguilla

Hivi sasa tunapigwa na storm hapa Anguilla. Usafiri mkuu kati ya kisiwa cha St. Maarten na Anguilla ni maboti/ferry. Walizisimamisha kwa muda. Lakini naona sasa zimeanza kutembea. Mbwa walianza kuchimba mashimo, watu wakahofia kuwa kimbunga kitakuwa kali sana. Naona bahari inapoa sasa. Mawimbi yalikuwa makali sana. Picha nitabandika hivi karinuni.

1 comment:

emu-three said...

Duu poleni sana, ndio mitihani ya kila mahala