Tuesday, January 29, 2013

Hatimaye Lulu Apata Dhamana

Mcheza sinema, Elizabeth Michael, aka. Lulu amepata dhamana leo. Lulu alikaa rumande siku 274 kwa tuhumu za kumwua mpenzi wake, mcheza sinema maarufu, Steven Kanumba.



 Picha hizi zimetoka Millardayo.com

Lulu akilia machozi ya furaha baada ya kuaachiwa huru kwa dhamana

Lulu na mama yake mzazi wakilia baada ya kukutana nje ya Mahakama, Lulu amechiwa huru na Mahakama leo january 29 2013 mchana, pembeni ni mwigizaji Dr. Cheni ambae amekua karibu na familia ya Lulu kwa muda mrefu sana.


Taarifa ya habari ya saa saba machana ( Jumatatu 28/1/13)  kupitia TBC imesema:


Msanii wa filamu Elizabeth Michel, maaruf kama Lulu, anayekabiliwa na shitaka la tuhuma za mauaji ya aliyekuwa msanii mwenzake, Steven Kanumba, leo amepewa dhamana na Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Kisutu, Dar es Salaam.

Masharti ya dhamana hiyo ni pamoja na:

- Kuwa na wadhamini wawili kwa dhamana ya Shilingi milioni 20 kila mmoja

- Kukabidhi pasi yake ya kusafiria kwa Msajili wa Mahakama

- Kuripoti Mahakamani kila tarehe Mosi ya kila mwezi.

- Marufuku kusafiri nje ya nchi.

Taarifa kwa kina kama ilivyowandikwa na Happiness Katabazi Happiness Katabazi

HATIMAYE Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imempatia masharti matano ya kupata dhamana kwa msanii wa filamu nchini Elizabeth Michael ‘Lulu’, anayekabiliwa na kesi ya kuua bila kukusudia aliyekuwa msanii mwenzake marehemu Steven Kanumba.

Masharti hayo yaliyolewa jana na Jaji Zainabu Mruke muda mfupi baada ya mawakili wa Lulu, Peter Kibatara, Kennedy Fungamtama na Fulgence Massawe kuiomba mahakama hiyo impatie dhamana mshtakiwa huyo ambaye anasota rumande tangu April mwaka jana ambapo walieleza kuwa ombi la dhamana wameliwasilisha chini ya kifungu cha 148(1) ,(2) Cha Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai ya mwaka 2002 .

Jaji Mruke alisema ili mahakama impatie dhamana ni lazima asalimishe kwa Msajili wa mahakama hiyo hati ya kusafiria, kutotoka nje ya Dar es Salaam bila ruhusa ya mahakama, kuripoti kwa msajili kila mwezi, kuwa na wadhamini wawili ambao ni watumishi wa serikali ambao watasaini bondi ya Sh. milioni 20 kila mmoja.

Baada ya jaji huyo kutangaza masharti hayo Lulu na wakili wake walitoka nje ya ukumbi uliokuwa ukiendeshwa kwa shauri hilo kwa ajili ya kwenda kwa msajili kutimiza masharti hayo lakini kwa bahati mbaya Msajili hakuwepo ofisini na hivyo kufanya Lulu kurudishwa rumande hadi leo atakapoletwa kwa ajili ya kujatimiza masharti hayo mbele ya Msajili wa mahakama hiyo.

Kufuatia mahakama hiyo kumpatia masharti ya dhamana Lulu kutoka na ombi lake Na.125/2012 la kuomba mahakama hiyo impatie dhamana, bado kesi ya msingi inayomkabili Lulu ambayo ni ya kuua bila kukusudia haijapangiwa jaji wala tarehe ya kuanza kusikilizwa.

Desemba 21 mwaka jana, Hakimu Mkazi Christine Mbando wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu aliifunga kesi ya kuua bila kukusudia Lulu na kuiamishia rasmi kesi hiyo katika Mahakama Kuu, na uamuzi huo wa mahakama ulitokana na upande wa Jamhuri kumsomea maelezo ya kesi yake kwa kina mshtakiwa huyo na kuieleza mahakama kuwa wanakusudia kuleta jumla ya mashahidi tisa.

Kimbunga Felleng Kutua Afrika Mashariki - Tropical Cyclone Felleng


THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
MINISTRY OF TRANSPORT
TANZANIA METEOROLOGICAL AGENCY

Telegrams:"METEO"DAR ES SALAAM.
Telephone: 255 (0) 22 2460706-8
Telefax: 255 (0) 22 2460735 P.O. BOX 3056
E-mail: met@meteo.go.tz DAR ES SALAAM.
http//www.meteo.go.tz

Our ref: TMA/1622 29th January, 2013

Information to the Public: Heavy Rainfall expected

Information No. 20130129-02

Time of issue(Hour)
EAT 6:00pm

Category:

1:Information  2: Advisory 3:Alert   4:Warning:

Advisory Valid from: Date 30th January, 2013

Valid to:Date 1st February, 2013

Phenomena/Hazard/Disaster Heavy rainfall (above 50 mm in 24hrs)

Level of Confidence: Medium

Expected affected Areas :

Some areas of Rukwa, Iringa, Mbeya, Njombe, Ruvuma, Morogoro, Lindi, Pwani, Mtwara regions and neighboring areas.

Text:

Existence of Tropical cyclone “FELLENG” over the North-eastof Madagascar which pulls moisture-rich air from Congo through above mentioned areas.

Advisory:

Residents of high-risk areas, users of land and sea; and Disaster management institutions are advised to take necessary precaution

Remarks: Updates regarding the mentioned Tropical cyclone will be issued when necessary

ISSUED BY TANZANIA METEOROLOGICAL AGENCY   *****************************************

Taarifa kwa umma: Uwezekano wa matukio ya mvua kubwa

Taarifa Na. 20130129-02

Muda wa Kutolewa Saa za Afrika Mashariki Saa 12:00 Jioni

Daraja la Taarifa:

1:Taarifa 2:Ushauri 3:Tahadhari 4:Tahadhari Kubwa:

Ushauri

Kuanzia:

Tarehe 30 Januari, 2013 Mpaka: Tarehe  01 Februari, 2013

Aina ya Tukio Linalotarajiwa

Mvua kubwa (zaidi ya milimita 50 katika kipindi cha saa 24 kilasiku)

Kiwango cha uhakika: Wastani

Maeneo yatakayoathirika Baadhi ya maeneo ya mikoa ya Rukwa, Iringa, Mbeya, Njombe,Ruvuma, Morogoro, Lindi, Pwani, Mtwara na maeneo jirani na mikoa hiyo.

Maelezo:

Kuwepo kwa kimbunga “FELLENG” kaskazini-mashariki mwa,Madagascar ambacho kinavuta upepo wenye unyevunyevu.kutoka Congo kupitia maeneo tajwa hapo juu.

Angalizo:

Wakazi wa maeneo hatarishi, watumiaji wa Bahari na nchi kavuwanashauriwa kuchukua tahadhari. Aidha taasisi zinazohusika na Maafa zinashauriwa kuchukua hatua stahiki.

Maelezo ya Ziada

Mamlaka inaendelea kufuatilia mwenendo wa kimbunga hicho,na kutoa mrejeo (updates) kila itakapobidi.

IMETOLEWA NA MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA

Friday, January 25, 2013

Dr. Aleck Che-Mponda Atembelea Ubolozi wa Tanzania Umoja wa Mataifa

Dr. Aleck Che-Mponda alikutana na Balozi Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, Mh. Tuvako N. Manongi na Naibu Mwakilishi wa kudumu, Mh. Ramadhani M. Mwinyi, jana, Alhamisi, January 24, 2013 mjini New York.

Dr. Che-Mponda alifanya utafiti muhimu kuhusu mgogoro katika ya Malawi na Tanzania kuhusu Ziwa Nyasa mwaka 1971 kwa ajili ya Ph.D yake kutoka Chuo Kikuu cha Howard (Howard University). Dissertation inaitwa, ''The Malawi-Tanzania Border and Territorial Disputes, 1968: A case study of Boundary and Territorial Imperatives in the new Africa". Dr. Che-Mponda alimkabidhi Mh. Balozi Manongi, nakala la andiko (dissertation) lake.  Kwa wasiofahamu, Dr. Che-Mponda ni baba yangu mzazi.

Utafiti aliyofanya zaidi ya miaka 40 uliyopita umekuwa muhimu sana sasa kutokana na Rais wa Malawi, Mh. Joyce Banda kuruhusu makampuni kuchimba mafuta (oil exploration) katika Ziwa Nyasa, akidai kuwa Ziwa yote ni mali/ardhi ya Malawi.

Kutoka Kushoto - Mh. Balozi Tuvako Manongi, Dr. Aleck Che-Mponda, Mh. Balozi Ramadhani M. Mwinyi


Kutoka Kushoto - Mh. Noel Kaganda, Mh. Balozi Tuvako Manongi, Dr. Aleck Che-Mponda, Mh. Balozi Ramadhani M. Mwinyi, na shemeji yangu Stanley Harris
*************************************
Gazeti la Business Times waliandika kuhusu utafiti wa baba hivi karibuni:

Kutoka Business Times

Britain solved Malawi-Tanzania border issue in 1924, analyst says: League of Nations duly informed in 1925...


Written by MOHAMED KAZINGUMBE

Saturday, 15 December 2012
PUBLIC International Law and related laws were properly followed by the colonial authorities in drawing the border between Tanganyika Territory and Nyasaland Protectorate, a retired scholar has said, stressing that this was done following the Great War of 1914-18, when Britain was ruling both countries.



The latter country was renamed 'Malawi' on independence in 1964, while Tanganyika,which became independent on December 9, 1961, joined Zanzibar in 1964 to form the United Republic of Tanzania.Elaborating on this, Dr Aleck che Mponda – a former senior lecturer in Political Science at the University of Dar es Salaam – said Britain issued a map to that effect in 1924, showing the border as being in the middle of Lake Nyasa, and pointing on other coordinates, with River Pongwe to the north and River Ruvuma to the point where Tanzania's part of the lake ends.Noting that border clashes have threatened to worsen into a territorial war between Tanzania and Malawi twice since independence, che Mponda said it was not altogether surprising that the matter comes up again! 

The former lecturer – who hails from the shores of Lake Nyasa – sets the record straight, in elaborate detail, in an academic study conducted in the early 1970s.He points out that the first time this happened was in 1968 when Malawi, under the late Dr Hastings Kamuzu Banda as president, went about claiming that the border was at the Lake Nyasa shore on the Tanzanian side!“Had it not been for efforts to maintain the status quo, the two countries would have fought it out – much to the destruction of their economies, as each would have resorted to strong weapons for the bombing of buildings, bridges, roads, airports and so on,” Dr che Mponda states.That controversy raised eyebrows among global leaders and international institutions, prompting them to engage in fact-finding missions.

At the time, che Mponda was a student at Howard University in the United States, working on a Doctorate of Philosophy in Political Science. In the event, he made the topical Banda claims the basis of his dissertation in 1972. Business Times had an exclusive interview with Dr che Mponda this week, at which he revealed morsels of the matter the subject of controversy between Malawi and Tanzania. Details of the border delineation and related issues are on record, titled ''The Malawi-Tanzania Border and Territorial Disputes, 1968: A case study of Boundary and Territorial Imperatives in the new Africa.'

The latest dispute on the border was triggered after the Tanzania government learned that the incumbent Malawi Government under President Joyce Banda had granted a UK-based company the right to conduct oil exploration over areas of Lake Nyasa which also touch on Tanzania's shores “It is unclear how far President Kikwete and President Banda are sensing the danger ahead as the two neigbouring former British colonies squabble,” Dr che Mponda says.

“Dar has nothing to worry about, as Tanzania stands on the right side of the issue,” he claims, adding that this is on the basis of what he reckoned in examining the facts for his dissertation 40 years ago! Insisting that Public International Law and other pertinent laws and procedures were applied in 1924 by the British government to fix the Tanganyika-Nyasaland boundary, che Mponda dissertation stresses that “the line of the border is drawn right through the middle of the lake, and again to the north of the lake is Northern Rhodesia (Zambia)...”The document further reads, “to the northern tip of Lake Nyasa is River Songwe, which is in Tanzania and continues along the centre line of Lake Nyasa to a point due West of the River Ruvuma, whence the boundary runs East and joins the Ruvuma River, whose course follows to the sea...”Further details quote the authority of the League of Nations Report with Mandatory Power No 7 by His Britannic Majesty's Government on the Administration under Mandate of Tanganyika Territory, 1924. “For more details, further elaborations can be found in the Geneva League of Nations meeting of 1925 on page 5,”

Dr che Mponda specified.The retired academic seems to be conversant with the matter academically, historically – and as a son of the soil of the Lake Nyasa zone. In the event, has has nothing to gain from not telling I t like it is! At 76 years of age, he has many treasures for the new generation to benefit from.The man sees the matter “as a political issue for President Banda who came into the highest office in the land only recently, succeeding the late President Bingu wa Mutharika.“President Joice Banda would like to build confidence among her people as the country approaches the 2014 general elections... To show that she is capable of raising and working upon difficult issues which have troubled her people for decades.”

In any case, Dr che Mponda believes that the conflict would be resolved diplomatically, and that no war would emerge between the two sides, despite the fact that there are signs from various quarters to influence the issue in relation to potential oil gains. The matter will take a low profile to the end, the former lecturer maintains. Some scholars in Dar es Salaam have been puzzled by this attitude of Malawi, which has been a close of Tanzania for years. In any case, the Tanzania Ministry of Foreign Affairs & International Cooperation issued a statement after an abortive meeting between the two sides in Dar es Salaam recently, saying that the matter will now be taken for arbitration at the International Court of Justice, where it would hopefully be properly determined.

Tuesday, January 22, 2013

Mimi Katika Sinema Here Comes the Boom

Haya wadau, katika sinema, Here Comes the Boom, niliigiza kama moja wa wanafunzi wa darasa la watu wazima wanaotafuta uraia wa Marekani. Darasa ilikuwa inafundishwa na Mr. Voss (Kevin James) ambaye anatafuta hela zaidi ya mshahara wake kwa ajili ya kusaidia wanafunzi wa muziki katika shule ya sekondari anayofundisha.  Mimi nilikuwa background actor, hivyo siongei. Nimefananikiwa kupata picha za scenes zangu.








Mavuno ya Kahawa Tanzania Yatakuwa Juu Mwaka Huu Mwaka


DAR ES SALAAM (Reuters) - Tanzania's 2012/13 coffee output has surpassed an initial forecast of 55,000 tonnes, the country's coffee board said on Monday.


The state-run Tanzania Coffee Board (TCB) had predicted the 2012/13 (June/April) crop would rise to 55,000 tonnes from around 32,000 tonnes in the previous season.
e have already surpassed the target of 55,000 metric tonnes for the season and we expect to reach over 61,000 metric tonnes by the end of March," TCB chief auctioneer Desideri Mboya told Reuters.

TCB said 28,073 60-kg bags were offered at last week's auction, with 26,328 bags getting buyers. During the previous sale 22,566 bags had been offered and 18,243 sold.

Tanzania, which is Africa's fourth-largest coffee producer after Ethiopia, Uganda and Ivory Coast, produces mainly arabica and some robusta coffee.

"Overall average prices at the Moshi exchange were down by $2.73 per 50 kg for mild arabica compared to the last auction," TCB said in a market report.

Benchmark grade AA sold at $126.00-$159.00 per bag, compared with $137.00-$187.80 per bag at the previous sale. The average price was $140.05 per bag, down from $144.22 previously.

Grade A fetched $135.00-$155.00 per bag, compared with $132.00-$152.00 per bag at the previous sale. The average price rose to $145.79 from $142.75 previously.

East African coffee is normally packed in 60-kg bags, but the prices are quoted for quantities of 50 kg. The next auction will be held on Thursday.

Africa Rising - Kuna Siku Afika Itashindana Kiuchumi na Nchi za Magharibi

Afrika inajulikana kwa umaskini, lakini mwana uchumi Charles Robinson anatabiri kuwa kuna siku Afrika itashindana na nchi za Magharibi!  Kila kukicha tunasonga mbele!

*************************************
Kutoka CNN.com

Get ready for an Africa Boom


By Charles Robertson, Special to CNN

Editor’s note: Charles Robertson global chief economist for Renaissance Capital and lead author of ‘The Fastest Billion: The Story Behind Africa’s Economic Revolution.’ The views expressed are his own.

The rise of Africa’s long forlorn economies – what we at Renaissance Capital have dubbed “The Fastest Billion” – represents the final phase of a global economic transformation that began over 200 years ago as agrarian societies saddled with absolute rulers began their journey through industrialization into the pluralistic middle-class societies increasingly driven by the information age we know today.

For many reasons, Africa largely missed out on this journey. But no longer: while the process will not be complete by 2050, a changing set of global and local realities suggest that Africa is set to be the final beneficiary of this revolution.

Over the past decade, the billion people who live in Africa have experienced the fastest growth the continent has ever seen, and many of its countries (Nigeria, Ethiopia, Mozambique, Guinea) are among the fastest growing in the world. A growing body of evidence backs our view that as Africa’s population doubles to two billion over the next several decades, its GDP will increase from $2 trillion today to $29 trillion in today’s money by 2050.

To many in the West, such figures beggar belief – just as similar projections for East Asia’s Tiger economies or Latin America’s star performers did in the 1980s. The idea that Americans and Europeans would drive around in South Korean automobiles, or fly around in Brazilian-made jetliners, would have brought great guffaws from experts of 1980. But today, Hyundai, Kia and Embrear are household names. Things change quickly when certain tipping points are reached. We believe Africa has reached such a point.


More from GPS: How Africa could feed the world

By 2050, assuming a conservative trajectory similar to what India achieved since 1990, Africa will produce more GDP than the United States and eurozone combined do today, and its basic social, demographic and political realities will also be transformed. The necessary elements that have propelled countries from late medieval commerce with authoritarian government through to industrialized nations with comprehensive and far-reaching social and legal institutions are well known.

A continent rich in natural resources – mineral, agricultural and in energy – Africa is also rich in the youth of its population, enjoying a demographic advantage over all other regions of the world.

The pace of technological innovation globally is now so rapid, and technology is so easy to transfer – as evidenced by the boom in mobile phone technology and the roll-out of broadband across the continent – these young Africans are not only the recipients of technology, but via M-PESA banking, are becoming exporters of it, too.

Today, Africa has the greatest room to boom on the back of two centuries of global progress. The take-off in Africa began around the turn of the century, 40 years after independence. Why not earlier? Because human capital was extremely constrained by a lack of primary and secondary education, while global capital could find better opportunities in East Asia and Latin America. Political leaders in the 1960s and 1970s were inexperienced, often self-serving and were offered contradictory advice on how best to develop a country. There were no strong Asian role models to emulate. International involvement in Africa was too often geared towards Cold War geopolitics, feeding civil wars and strife, rather than trade and investment.

What has changed? Many governments have learnt from their mistakes and seen the positive reform examples not just in Asia, but more importantly in Africa itself, from Mauritius to Botswana and Cape Verde, and now Ghana to Rwanda. In most countries there has been no single reform miracle, like China’s in 1978 or India’s in 1991, but rather a series of small steps which taken together have been just as powerful.

Stronger growth and good public finances – Africa’s numbers are far better in this regard than those of Europe, the United States or Japan – have helped draw in record levels of foreign private-sector capital. But the improvement shows across the board – in primary and secondary education, in health, personal security, transparency and governance.

The headlines of the day may not support this – war rages in parts of Congo and Sudan, poverty and corruption stain too many of the continent’s peoples. Such are the stuff of headlines. But today we count around 30 democracies across the continent, some strong and immortal, but many fragile and still vulnerable. That number will grow.

Today the continent is reaping the benefits of high commodity prices and exports to China to begin the process of infrastructure investment that accelerates growth. Each year, in the oil sector alone, a major new discovery is heralded, from Ghana to Uganda and most recently Kenya, pushing Africa’s share of world oil reserves to 10 percent. African oil production growth has already been the fastest in the world over the past 10 years, all of it in sub-Saharan Africa (SSA). Africa now produces 10m barrels a day, as much as Russia or Saudi Arabia, with the 6m barrels of SSA alone worth $235 billion of oil revenue annually or 20% of 2011 GDP. Renaissance expects volume increases to ensure this tops $300 billion even with no change in oil prices by 2019.

Nearly a trillion dollars of oil revenue every three years means unprecedented inflows of foreign exchange to fund imports of investment and consumption goods. Rapid economic growth means growing African demand for resources. Do not be surprised if Nigerian steel consumption rises from 1.6 million tons annually today to 115 million tons annually by 2050. African motor vehicle sales of 8 million by 2020 may reach 14 million by 2030, higher than the U.S. today. Who knows – someday you may find yourself driving a Nigerian auto and dialing hands free on a Tanzanian-made phone. It has all happened before.

Thursday, January 17, 2013

Wenye Hasira Kenya Wachoma Majeneza 221 - Yawakilisha Wabunge

Duh! Huko Kenya wananchi wenye hasira wamechoma moto majeneza 221 nje ya jengo la Bunge mjini Nairobi! Eti yanawakilisha wabunge 221 wa Bunge la Kenya. Wananchi wana hasira maana wabunge hao walionyesha uroho kwa kutaka mishahara na marupurupu yao yaongezeke marudufu.

Mshahara wa mbunge Kenya ni $170,000 kwa mwaka!  Walitaka wapatiwe bonasi ya $110,000. Huko kipato cha  wastani wa Kenya ni $1,700!   Hebu linganisha na Marekani. Mbunge anapata $150,000 kabla ya kukatwa kodi.  Kipato cha wastani kwa Mwananchi wa Marekani ni $45-50,000/-.   Lazima wakasirike!

********************************************************

Kutoka Yahoo News

NAIROBI, Kenya (AP) — Hundreds of demonstrators angered at the conduct of outgoing Kenyan legislators doused 221 coffins with gasoline and set them on fire Wednesday, causing an inferno outside parliament's main entrance.

Organizers of the protest said the coffins represented the end of an era of parliament's 221 legislators and burning the coffins symbolized the start of a new era away from the dishonorable acts that parliament was known for in the last five years. The legislators' term ended earlier this week. Police looked on as the caskets made of thin wood burned to ashes as protesters shouted and screamed in exhilaration.

"Bye bye parasites," shouted Sheldon Ochieng, 23, a college student studying community development. "MP's do not know their work; they are just stashing money in their pockets. It is time to have new leaders who serve the people."

Kenyans say their legislators are seen as lazy, greedy and self-centered for often improving their welfare lavishly at the cost of tax payers. A Kenya legislator earns about $175,000 a year in a country where the average annual income is $1,700. Last week Kenyan legislators attempted to award themselves a $110,000 bonus, but the president vetoed the legislation.

The package would also provide legislators with an armed guard, a diplomatic passport, and access to the VIP lounge at Kenyan airports and state funerals.

It was the second time the President Mwai Kibaki had refused to sign the bill adding the legislators' bonuses into law. In October members of parliament quietly awarded themselves the bonuses.

However, civil society activists say Kibaki, who is the 222nd legislator, is no different from other parliamentarian's because while he vetoed the hefty raises, he has approved hefty increments to a send-off package for when he retires after two terms in office following the country's March 4 elections.

The organizers of the protests Wednesday said they did not make a coffin for the president because of the veto, and the decision to give himself more money came after the coffins had been ordered.

"It was unsurprising that President Kibaki, while rejecting the MPs' pay deal, retained his own hefty retirement package. Moreover, the failure of his administration to rein in grand corruption remains a blot on what many see as credible efforts to grow the country's economy," said Boniface Mwangi, an official of a lobby group called Kenya Ni Kwetu, or Kenya is Our Home.

Atsango Chesoni, the executive director of the Kenya Human Rights Commission, said Monday that the president had contravened the constitution by approving the law that awards him hefty pension increments.

Chesoni said under the constitution Kenya adopted in 2010, the Salaries and Remuneration Commission is the authority charged with rationalizing and deciding the pay for public servants.

Mwalimu Mati, an anti-corruption activist, said the common argument from legislators is that they deserve pay increases because they have passed more bills. Mati said that argument is without merit. He said that although many laws have been crafted during the current parliamentary term, most of the legislation was passed without scrutiny due to low attendance at parliament.

Mati said the legislators spent a lot of time voting on bills for their own benefit, "like watering down sections of the integrity laws which would have required them to declare wealth." The legislators reduced academic qualifications required for one to be elected that were set out after country adopted the constitution in 2010, Mati said.

Tuesday, January 15, 2013

Profesa Jay aka. Joseph Haule Yu Hai - Hajafa!

Wadau, leo habari zilisambaa kwa kasi kuwa mwimbaji, rapper Profesa Jay aka. Joseph Haule, alizimia na kufa hapo papo.  Asante Twitter na Facebook habari hiyo ya uwongo ulisambaa kwa haraka.

Nafurahi kuwaaambia kuwa hiyo habari si kweli.   Profesa Jay yu hai na anawasalimia.  Namtakia Projesa Jay maisha marefu.

Jamani, acheni tabia mbaya ya kuzusha habari zisizo kweli!

Monday, January 14, 2013

Jimama Mwenye Uzito Kilo 200 Avunja Sidewalk New York


Jimama Bi Ulanda Williams (31)  ana urefu wa futi 6 na nusu na Uzito wa kilo 200 (Giant) akitoka hospitalini,

Hapo zamani za kale, Tanzania, mwanamke mrefu mwenye mwili na urefu kama huyo Ulanda  Williams (31)  alikuwa anaitwa, Amazon. (Mnakumbaka marehemu Hilda Chacha?)  Pole zake Ulanda, wiki hii alikuwa kwenye kitu cha basi Manhattan, New York. Mvua ilianza kunyesha alienda kupata hifadhi nje ya mgahawa  ya Atomic Wings. Bahati mbaya  sehemu  aliposimama haikuweza kumudu uzito wake kwa vile ilikuwa ni kama mfuniko tu., Ulivunjika na Uladna alianguka futo 7 a kuishia kwenye basement ya mgahawa. Ilibidi Zimamoto na polisi zaidi ya 40  wamwokoe.  Walitumia Crane ambayo inatumika kwenye ujenzi wa majengo kumtoa.   Kwa bahati Bi Ulanda Amevunjika mkono tu. 

*************************************

400-pound woman who plunged through UES sidewalk says size saved her life

  • Posted: 2:04 AM, January 13, 2013
Size does matter!
The 400-pound Queens pedestrian who crashed through an Upper East Side sidewalk said yesterday that a thinner woman might have died from that fall.
“Thank God, they said that my size was the only thing that saved me,” Ulanda Williams, 32, told The Post as she was discharged from NewYork-Presbyterian Hospital.
Williams, of Springfield Gardens, was waiting for a bus at about 9:10 p.m. Friday when she tried to hide from the rain under an awning.
The ground suddenly disappeared beneath her — and she was swallowed whole by the cavernous space adjacent to the cellar of The Blue Room on Second Avenue.

Sehemu alipoangukia

“It was horrible, absolutely horrible,” said Williams, who broke her arm in two places in the 6-foot fall.
The social worker, who wore an arm brace as she left the hospital, had bruises and cuts all over her face and neck from the fall.
She said there were no warning signs indicating that any possible sidewalk danger.
“Nothing, nothing,” she said. “It happened so instantly that I didn’t even recognize anything. Cement was all over me, debris. They had a bed frame down there, broken pipes and wood pieces. It was a hollow place.”
“I was standing there approximately 10 seconds and when that occurred, I just fell right through,” said Williams, who stands about 6-foot-5.
The FDNY had to use a crane and cargo net to get her out.
City Department of Buildings inspectors found that a 4-by-6-foot section of sidewalk had collapsed into a vault cellar in front of the building.
Further investigation revealed defective steel doors leading to the vault, and a first-floor staircase was loose.
The building at 301 E. 60th St., at the corner of Second Avenue near a ramp to the 59th Street Bridge, has several open violations, according to the DOB Web site, including a 2011 complaint that the facade was coming loose.
After the collapse, DOB issued another violation to building owner Forward Realty, for failing to maintain the building.
Forward owner Remo Salta, 52, of Ridgewood, NJ, said his property has no violations.
“I didn’t hear anything about this,” he said of Williams’ fall.
Salta, who bought the residential and commercial building in 1995 as an investment, said he has a management company taking care of the property.
“The city, I know, is constantly doing work in that area. I don’t know if they excavated anything next to my property,” he said. “I know they’re always working on Second Avenue.”
Neighborhood resident Bobby Robertson, 56, said the building could use some work.
“When I’m standing here waiting for the bus, I take a look around once in a while and notice how decrepit the street and buildings look,” he said. “You can see cracks in the walls and in the concrete, too. The owners don’t do any upkeep.”
Frank Lupo, 47, a maintenance worker who lives in the building next door to the sidewalk collapse, said the fall could easily have been fatal.
“It doesn’t look it from street level, but that’s one hell of a drop,” he said. “I’m glad she’s alive.”

Kutoka : http://www.nypost.com/p/news/local/manhattan/too_big_to_fall_Fz8VbWLT2tMkq9gvShHF0J

Call for entries open for 2014 Nestlé Prize in Creating Shared Value:

PRESS RELEASE
 
Call for entries open for 2014 Nestlé Prize in Creating Shared Value: Nominate innovative initiatives in nutrition, water or rural development
 
VEVEY, Switzerland, January 14, 2013/ -- The Nestlé Prize in Creating Shared Value (http://www.nestle.com/csv/csvprize) is awarded every other year to an innovative, commercially viable and high-impact initiative. The winning entry is given financial support to achieve social scale and financial sustainability.
 
 
The call for entries for the 2014 Nestlé Prize in Creating Shared Value is open until 31st March 2013.
 
Nestlé is looking for innovative programmes, inclusive business models or social enterprises in the area of water, nutrition or rural development.
 
The winner is selected by the Nestlé Creating Shared Value Advisory Board (http://www.nestle.com/csv/Nestle/CSVAdvisoryBoard/Pages/CSVAdvisoryBoard.aspx) and benefits from an investment of up to CHF 500,000 (approx. USD 540,000) to scale up or replicate its initiative.
 
The Prize is open to individuals, not-for-profit organisations, governmental bodies, inter-governmental organisations, private and social enterprises, and academic institutions.
 
Specific fields of activity include, but are not limited to:
 
-          Improving access to nutrition and increasing nutrition knowledge.
 
-          Improving access to water and protecting water resources.
 
-          Developing local agricultural value chain and integrating smallholder farmers in the supply chain.
 
In 2012, the NestlĂ© Prize in Creating Shared Value was awarded to FundaciĂłn Paraguaya de CooperaciĂłn y Desarrollo for their ‘self-sufficient agricultural school’ model. This model gives students a platform to develop the entrepreneurial and practical skills they need to lift themselves out of poverty. This is achieved by combining the teaching of traditional high school subjects with high-quality technical and business training.
 
Find out how to nominate an initiative at http://www.nestle.com/CSV/CSVPrize or ask questions at CSVPrize@nestle.com.
 
Distributed by the African Press Organization on behalf of Nestlé S.A.
 
SOURCE 
Nestlé S.A.

Friday, January 11, 2013

Wabunge wa WaKenya Wajipandishia Mishahara na Marupurupu!

Duh! Nadhani wabunge wa Kenya wanaongoza duniani kwa marupurupu. Wiki iliyopita kulikuwa na habari kuwa wanawake maskini Kenya wanaoshindwa kulipa bili zao za kujifungua hospitali wanafungwa!  Hivi Kenya inajali maskini wao au ndo wanategemea wafadhii kutoka nchi za nje ziwasaidie?

Nadhani watu watauanua kuwa wabunge Kenya sasa maana hiyo 'package' ya mbunge ni nzito!

***********************************************************
Kutoka BBC.COM

10 January 2013


Kenyan MPs Vote Themselves $100,000 Retirement Bonus

MPs in Kenya have awarded themselves a $107,000 (£65,000) retirement bonus in one of the last sessions of parliament before a general election in March.

The package will also provide them with an armed guard, a diplomatic passport and access to airport VIP lounges.

It is the second time the MPs have voted for "a golden handshake" - President Mwai Kibaki vetoed an attempt last year after widespread protests.

The MPs are among the highest paid in Africa, earning $13,000 a month.

The average yearly salary in Kenya is about $1,700.

The latest vote was passed on Wednesday with fewer than 30 MPs in the chamber - itself refurbished at a cost of $12m last year - according to parliamentary transcripts released on Thursday.

The retirement package is the same as that approved in October, but this time the MPs have also recommended bonuses for the president - almost $300,000 in cash and allowances - the vice-president and the prime minister.

When he vetoed the previous bill, Mr Kibaki said it was "untenable in the prevailing economic circumstances in the country".

The Salaries Review Commission told Kenyan media it was uncertain whether the vote was constitutional, while civil society groups have reacted with outrage.

The executive director of Kenya's Human Rights Commission. Atsango Chesoni, said the package was "preposterous and in completely bad taste".

During its term, the Kenyan parliament repeatedly dismissed the wage demands of striking public sector workers, arguing that the funds were not available.

Monday, January 07, 2013

Tanzania Yapoteza Wasanii wengi katika Kipindi Kifupi

Katika kipindi kifupi tuepoteza wasanii wengi, wengine vijana wengine wazee.  Mungu apumzishe roho zao mahala pema mbinguni. Amen.

Juma Salum Kilowoko a.k.a Sajuki (1986-2013)

John Stephano Maganga  (1988- 2012)

Hussein Ramadhani Mkieti  aka.Sharo Milonea (1985 -2012)
Steven Kanumba  (1984 -2012)

 Fundi Saidi aka. Mzee Kipara (192? -2012)

Rose Thomas (1980 -2012)

Ziara ya Rais Kikwete Igunga




Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na kutoa ushauri kwa kundi la vijana 10 ambao baada ya kumaliza chuo kikuu wamejikusanya na kuunda kikundi cha ujasiriamali mjini Igunga wakijishugulisha na Kilimo
 
Wananchi wakivuta katika sehemu itayojengwa darala la kisasa la Mbutu la Igunga ambao ujenzi wake umezinduliwa leo na Rais Jakaya Mrisho Kikwete, hatua ambayo itatatua kabisa tatizo la miundombinu.

Waziri wa Ujenzi Dkt John Pombe Magufuli akijiunga na bendi ya Msondo Ngoma kutumbuiza wakati wa uzinduzi wa ujenzi wa daraja la Mbutu la Igung

 
 
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiangalia mashine ya kuchimbia mashimo ya nguzo za daraja na baadaye anakata utepe kuzindua ujenzi daraja la Mbutu la Igunga
 
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akizindua mradi wa Chujio la maji safi kwa mji wa Igunga sehemu za Bulenya ambapo wakazi asilimia 70 wa mji huo watapata maji safi

PICHA NA IKULU

Cheka na Kitime Blog

www.chekanakitime.blogspot.com



NAWAKUMBUSHA TU JAMANI----- Naitwa John Kitime, nilianza kufurahia vichekesho mara baada ya kuzaliwa na kukuta watu wazima kila wakinichukua walijitahidi kunichekesha kwa kuanza kuonea lugha ambayo sijaijua mpaka leo, maana mara alikuja mmoja na kuanza ‘bujibujibujibujibuji,jigijigjigjigjijij, grugrugrugru’ na maneno mengine ya ajabu nilijitahidi kuwavumilia nisiwacheulie maziwa lakini baadae nikagundua heri niwe nacheka wakianza vituko hivyo, maana baada ya hapo walikuwa wanajiona wanajua kuchekesha watoto wachanga. Niliendelea kukua nikaanza shule nakukuta vituko vingi sana vya kuchekesha, kama vile watu kujikojolea darasani, hili bahati mbaya nililikuta linajirudia pia kuwakuta wakubwa wakijikojolea kwenye baa, na kilabuni, ene way, nilimaliza shule na kujiunga na vyuo mbalimbali nchini na huko nilijifunza utalaamu wa kunywa pombe na huko nilikutana na watu wengi wenye kujua kuchekesha, kucheka na hata wasiojua kuchekesha wakijitahidi kuchekesha, cha kushangaza si nikakuta wengine hawajui kucheka kabisa, au wanaweza kucheka mahala pasipo na kichekesho cha kuchekesha wachekaji.

Katika kiota hiki cha www.chekanakitime.blogspot.com , ntaweeleza mengi yaliyonikuta katika maisha yangu haya yaliyojaa furaha sana NAMSHUKURU MUNGU.

Pia mimi ni mwanamuziki napiga gitaa naimba kwenye bendi, lakini huwa sichezi, sijui kucheza, hasa Chacha ndio kabisa halafu siku hizi kuna hii inaitwa Kwaito, wakati najitahidi kujifunza imeanza Azonto, jamani si mngoje japo nijuwe staili moja ndio mbadili? Halafu huwa inanishangaza, mtu analipa kuingia muziki halafu anacheza kuliko sisi wanamuziki jamani, mnajua mngepewa majembe mlime badala ya kucheza mngesha maliza tatizo la njaa hapa nchini?

Harry Fear Speaking Tour Schedule - Gaza's Ark

Reporting on Israeli aggression against Gaza - Speaking tour January 7-12, 2013


Greetings to all supporters of the Canadian Boat to Gaza for 2013, the year when we plan to sail Gaza's Ark to challenge the blockade from the inside out, with your support. To find out more about Gaza's Ark and how you can support our work, please see http://www.GazaArk.org

The Canadian Boat to Gaza is pleased to co-sponsor a Canadian tour this week by Harry Fear, an independent journalist, documentary maker and activist from the UK. Harry was witness to the Israeli aggression against the Palestinians of Gaza during Operation Pillar of Cloud in November 2012. Harry will be appearing in six Canadian venues in early January following a successful talking tour in Germany.

Website: http://www.harryfear.co.uk

YouTube: http://www.youtube.com/user/harryfear

Twitter: @harryfear

Harry's schedule this week in Ontario and Alberta is as follows (for more details check Facebook event page or http://www.gazaark.org/events):

Jan 7 Guelph, ON

7:00 - 9:00 PM

40 Baker Street

Co-host: OPIRG U of Guelph

Event page: http://on.fb.me/TIMRrF



Jan 8 Toronto, ON

2:00 - 5:00 PM

University of Toronto Mississauga

Co-hosts: SAIA U of T & UTM
TSJP UTSC
SJP Ryerson U
SAIA York U

Event page: http://on.fb.me/UkmuGP


Jan 9 Hamilton, ON

7:00 PM Talk

Co-host: SPHR McMaster U

Event page: http://on.fb.me/ZUkFZ0


Jan 10 London, ON

7:00 PM

Co-host: Western U SPHR


Jan 11 Windsor, ON

7:00 PM

Co-host: PSG U of Windsor

Event page: http://on.fb.me/ZVNm7U



Jan 12 Calgary, Alberta

Co-host: SPHR U of Calgary

Event page: http://on.fb.me/10QRBRz


For updates and more information, please see: http://www.harryfear.co.uk/blog/gaza-report/reporting-aggression-tour

Friday, January 04, 2013

Barua ya Wazi kwa WaTanzania Kuhusu Wanyrwanda Nchini

Imeandikwa na Mchungaji Christopher Mtikila

MAANGAMIZI YA KUTISHA YA WANANCHI WA BULIGI

(Wanyarwanda wahusika na unyama dhidi ya Wasukuma)

Hii ni Taarifa ya kuteketezwa zaidi ya nyumba 500 za wananchi wa kabila la Wasukuma kwa moto, pamoja na tani nyingi za mazao yao ambayo ni pamoja na mpunga, mahindi, maharagwe, mtama, dengu, uwele, serena, pamoja na mali zao zingine, katika eneo liitwalo Buligi, katika Wilaya ya Muleba. Unyama huu wahusika wamejaribu kuuficha kwa jina la ‘Opresheni Okoa mazingira’.

Ni lengo la Katiba ya Nchi yetu na Sheria pamoja na taarifa ifuatayo, kwamba wote waliohusika na maangamizi haya waadhibiwe vikali, na wananchi wote waliofanyiwa unyama huu ni lazima walipwe fidia za mali zao na mateso ya kutisha waliyopata. Baada ya kuchomewa nyumba zao na mali zao zote wananchi wengi wamelundikana makanisani, na wengi wako maporini wakikimbia unyama wa kutisha na kuporwa mali zao. Vijiji vilivyoteketezwa ni pamoja na Nyamiranda, Itunzi, Kasharara na Kiteme. Uharamia uliendelea mpaka maeneo ya Karagwe na Biharamulo kama alivyoeleza Mkuu wa Mkoa wa Kagera katika vyombo vya habari, kama gazeti la Mtanzania Toleo nambari 7142 la tarehe 17/11/2012. Utetezi wa Mkuu wa Mkoa wa Kagera Col. Fabian Masawe wa maangamizi ya kutisha ya Wasukuma, kama ulivyokuwa ule wa Waziri wa Ardhi Profesa Anna Tibaijuka ambaye pia ni Mbunge wa Muleba Kusini, kwamba ilikuwa opresheni maalum iliyolenga kuondoa wahamiaji haramu wenye maelfu ya ng’ombe katika Hifadhi ya Taifa ya Buligiuna ukweli. Lakini Wasukuma si wahamiaji haramu, kwa sababu ni wazawa katika nchi yao, na hayo maelfu ya ng’ombe katika hifadhi si ya Wasukuma bali ni ya Watusi wa Rwanda.

KIINI CHA MATATIZO YA WATUSI DUNIANI

Hakuna asiyejua kuwa malengo makuu ya kuanzishwa Umoja wa Mataifa ni pamoja na kulinda haki na usawa wa binadamu wote ulimwenguni, ili idumu amani na kuleta maendeleo katika kuboresha maisha ya binadamu. Ndiyo maana ile sera ya Makaburu ya udhalilishaji wa mtu mweusi au ubaguzi wa rangi waliyoiita apartheid ilipigwa vita na dunia yote, mpaka ikatokomezwa. Hata ushujaa wa Nelson Mandela unaopita umaarufu wa kiongozi mwingine yeyote duniani, aliupata kwa sababu ya uhanga wake katika kutetea usawa wa binadamu wa rangi zote duniani. Lakiniapartheid ya Makaburu haikuweza kuufikia ushetani wa Watusi, jinsi wanavyowadhalilisha Wahutu na Wabantu wengine, kwa imani yao chafu sana kwamba wao eti waliumbwa kwa ajili ya kutawala tu, na kwamba Wahutu waliumbwa kwa ajili ya kuwa watumwa wao! Ni makufuru yanayojulikana wazi ya Watusi kuwatema mate Wahutu au Wabantu wengine kwa kinyaa kama vile ni mavi mbele zao. Na imani yao hii ya kishetani ndilo chimbuko la mbinu na mikakati yao yote ya kutawala siyo tu Maziwa Makuu bali hatimaye hata Afrika yote ya ‘watumwa’ wao!Tabia ya Watusi ya kula wao kwanza, halafu kuwatupia makombo watumwa wao (Wahutu), tena baada ya kuyatemea mate na makohozi, ni historia inayojulikana na kila mzawa wa Maziwa Makuu. Hata maendeleo yalipozidi kutowesha giza hili, bado wanawake Watusi walilazimika kudumisha udhalili wa Wabantu kwa kuolewa na wale wenye mali lakini mimba wapate kwa Watusi wenzao, ikibidi hata kwa ndugu zao wa damu kama hakuna Watusi wengine karibu. Historia itamuenzi shujaa Gregory Kayibanda wa Rwanda kuliko inavyomuenzi Nelson Mandela wa Afrika Kusini, kwa kutokomeza ile apartheid chafu kupindukia ya Watusi nchini Rwanda mwaka 1959. Ukweli ni budi uheshimiwe na dunia kwamba Watusi wengi walikimbia kutoka Rwanda kufuatia mapindizi yale, kwa sababu ya kukwepa balaa ya kuwa chini ya watumwa wao!Watusiwalikimbilia Burundi na Tanganyika kwa baba yao Julius Nyerere, kujipanga kwa ajili ya “kurudisha ubwana wao juu ya watumwa wao” Rwanda. Kwa imani ya kishetani ya Watusi, Watanganyika kwao wao ni mataahira tu kama Wabantu wenzao yaani Wahutu. Hata bila kupayuka Watusi wanarithishana imani kwamba sisi tuliumbwa kwa ajili ya kuwa watumwa wao. Ubwana wa Watusi uliimarishwa kwa kupandikizwa utwana katika mioyo ya Watanganyika, wa kuwaona Watusi kuwa bora kuliko Wahutu pamoja na hata sisi wenyewe! Hali hii ndiyo iliyowezesha Watusi kujipenyeza katika sehemu zote nyeti za utawala wa Nchi yetu, pamoja na uhodari wao katika matumizi ya rushwa ya mapesa na chambo cha wanawake zao (the Tutsi sexual diplomacy). Ndivyo Watusi walivyofanikiwa hata kuiteka kifikra jumuiya ya kimataifa, ikabariki na kuwasaidia kuangamiza Wahutu zaidi ya milioni sita, na hata kugeuza kibao kuhusu genocide ya Rwanda kwamba Wahutu ndio walioangamiza Watusi! Ndiyo maana nchi yetu ilipokuwa na wakimbizi wa Kitusi na wa Kihutu, Watusi walipendelewa kwa kuhudumiwa kama wafalme na kuandaliwa kurudi “kuikomboa” Rwanda. Kwani ingawa Rwanda ilikuwa na utawala wa kidemokrasi wa Wahutu walio wengi kwa asilimia 85%Watusi wakiwa asilimia 14% tu, ni haramu Watusi kuwa chini ya Wahutu kwavile eti ni watumwa wao! Ni kweli kwamba matokeo ya ufisadi nautwana wa watawala wetu wanaoamini katika ubwana wa Watusi, ni pamoja na kufurahisha Watusi na baba yao Nyerere kwa kuhusika kwa serikali yetu katika yafuatayo:

1. Maangamizi ya Wahutu zaidi ya 6,000,000,

2. Uvamizi wa Jamhuri ya Rwanda kupitia Uganda na Burundi, ambapo maandalizi kwa sehemu kubwa yalifanyikia nchini mwetu kwa mkono wa Serikali ya CCM. 3. Kuhusika kikamilifu na mauaji ya kinyama ya marais watatu Wahutu wa Burundi na Rwanda yaani Melchior Ndadaye, Juvenal Habyarimana na Cyprien Ntaryamira pamoja na ujumbe wao wote, na ushetani mwingine wa kutisha.

4. Kujiuza utumwani kwa Watusi, na kutumika kuliingiza eneo la Maziwa Makuu katika Himaya yao, kwa kuwasaidia kuingia katika Jumuiya ya Afrika Mashariki, wakati hawana sifa kabisa kulingana na Mkataba wa Uundaji wa Jumuiya(EAC), kwa unyama wa ‘apartheid’ na genocide yao.

5. Kusaidia uvamizi wa DRC uliofanywa na Kagame na Mseveni, watawala wetu wakaivika aibu kubwa Nchi yetu kwa kukataa kushiriki katika Jeshi la SADC (SADC Alliance) la kusaidia ndugu zetu dhidi ya maharamia, Nchi yetu ikaongopea dunia bila aibu kwamba eti haiko upande wowote kati ya wavamizi na mnyonge aliyevamiwa!

6. Kuwarudishia RPF Wahutu takriban milioni moja kwa unyama usiosemeka, waliokuwa wameyakimbia mauaji ya kinyama ya RPF baada ya kuvamia nchi yao, RPF wakawapokea na kuwaangamiza wote, na kumwaga maiti zao kwa maelfu katika mto Kagera, zikawa zinafunika Ziwa Victoria mpaka General Mboma alipotoa Tamko la kuvamia Rwanda kukomesha ushetani huu wa RPF, kama wasingeacha unyama huo mara moja.

Nchi yetu inakabiliwa na kisasi cha Mwenyezi Mungu! Na ishara tayari zinaonekana! Kuna kuacha upumbavu na kutengeneza na Mwenyezi Mungu, ama mapigo makali kuliko yaliyoipiga Misri, yatakayosimuliwa vizazi vyote! Kwa ufisadi na utwana wa watawala wa nchi yetu kwa Watusi, bila chembe ya aibu wala hofu kwa Mwenyezi Mungu waliikaribisha katika ardhi yetu ICTR, ikiwa nyenzo maalum ya kuwasaidia Watusi kuangamiza Wahutu wote wenye uwezo kiuchumi na kifikra duniani! Kenya iliikataa ICTR katika ardhi yake, kwa kumwogopa Mungu kwa sababu ni nyenzo ya genocideiliyoangamiza mamilioni ya Wahutu, ikawafuata mpaka na wale milioni 2.5 waliokuwa wamekimbizia uhai wao Mashariki ya Congo, na kuwateketeza kinyama! Kupenyezwa kwa Watusi katika ngazi zote nyeti za utawala wa nchi yetu kumewezesha Utusi kuteka nyara sera za nchi yetu zitumikie maslahi ya Watusi, kwa gharama ya heshima ya utaifa wetu na maslahi ya nchi yetu. Na siyo siri kwamba msingi wa laana hii yote iliyoonywa na Mwenyezi Mungu katika Kumbukumbu la Torati, ulijengwa na dikteta Julius Nyerere, ambaye leo anawekwa mahali pa Mwenyezi Mungu na kufanyiwa ibada ya ‘ubaba’ wa Taifa! Utekelezaji wa ndoto ya Nyerere ya kuweka eneo lote la Maziwa Makuu chini ya Himaya ya Watusi unasimamiwa na vijana wake, madikteta Yoweri Museveni na Paul Kagame aliyeangamiza mamilioni mengi ya binadamu duniani kuliko Adolf Hitler.

Propaganda za ‘Jumuiya au Shirikisho la Afrika Mashariki’ zinazopigiwa debe kwa nguvu na hawa Watusi, ni katika ujenzi wa hiyo Himaya yao. Dikteta Yoweri Museveni ametangaza mara kadhaa haki yake ya kustahili kuwa Rais wa kwanza wa shirikisho la Maziwa Makuu (Himaya ya Watusi), na anacho kikosi cha majasusi zaidi ya 400 ndani ya Nchi yetu, yanaoiyeyusha nchi yetu kwa ajili ya kumezwa katika Himaya hiyo, na mafanikio yanaonekana kwa jinsi utawala wetu wa CCM unavyonyenyekea Watusi na kujidhalilisha kwao.

KUMEZWA KWA DRC KATIKA HIMAYA YA WATUSI

Mwuaji wa kutisha Paul Kagame alikwishaikamata DRC baada ya kufanikiwa kumwua Rais Laurent Kabila, akampenyeza madarakani Mnyarwanda Hypolite Adrien Christophe Kanambe kwa jina bandia la ‘Joseph Kabila’. Wauaji wa Rais Laurent Kabila baada ya kutoroshewa Rwanda walikimbiziwa hapa, ambapo walihamishiwa Norway kimya kimya. Mnyarwanda “Joseph Kabila” anayetawala Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo kama Gavana wa dikteta Paul Kagame, ni ndugu wa damu wa Mkuu wa Majeshi ya Kagame, yaani James Kabarebe, ambaye pamoja na Kayumba Nyamwasa ndio waliosimamia yale mauaji ya kutisha ya wale Wahutu milioni 2.5 waliokuwa wamekimbilia DRC, ilipovamiwa nchi yao na wauaji wa RPF. Ni sera ya Rwanda kuhakikisha kuwa DRC haiwi na Jeshi imara, mpaka hapo mkakati wa Himaya yao utakapokamilika. Ndiyo sababu maafisa wa juu 7,000 wa Jeshi la DRC ni Wanyarwanda. Hypolite Kanambe (Joseph Kabila) anatumikia maslahi ya Rwanda kwa uzalendo wa hali ya juu, na Rwanda inapovamia DRC pilika za Hypolite A. C. Kanambe huwa ni usanii tu wa kuhadaa ulimwengu. Vinginevyo lazima DRC ingewapa silaha askari Wahutu waliojichimbia Congo, ambao wana uwezo mkubwa sana wa kuutokomeza unyama wa Watusi. Hata uvamizi wa Rwanda wa RPF ulifanikiwa kwa kutanguliza vikwazo vikali sana, vilivyohakikisha kuwa majeshi ya Hayati Rais Habyarimana hayawi na silaha.Historia ni budi iwe sahihi, kwamba vijana wa Nyerere yaani Museveni na Kagame walivamia Zaire kwa maelekezo ya baba yao, bila hayati Laurent Kabila, kwa malengo ya kupanua Himaya yao na kuteka tani za dhahabu na madini mengine mengi ya thamani Gbadolite, Kilomoto, Kinshasa, Kisangani na kwingine, kwa ajili ya kujipatia mabavu ya kiuchumi ya kupanulia Himaya yao, na kugharamia propaganda kali inayohadaa jumuiya ya kimataifa. Dunia ilipoanza kupigia kelele uvamizi huo, ndipo Nyerere alipomtafuta Laurent Kabila haraka, zikiwa zimepita wiki mbili baada ya uvamizi kuanza, na kumtanguliza yeye mbele katika kuhadaa ulimwengu, kwamba ni Wakongo wenyewe walikuwa wanaikomboa nchi yao kutoka kwa dikteta Mobutu! Uvamizi ulipoingia Kinshasa Kabila aliwageuka Watusi kizalendo, na kuwaambia sasa warudi kwao wawaachie Wakongo nchi yao. Kwani aliyekusudiwa na Watusi kuwa gavana wa Rwanda wa koloni hilo ni Bizimana Karahamheto au ‘Bizima Karaha’ kwa jina la hadaa. Uporaji wa kutisha wa utajiri wa DRC ndio mtaji wa jeuri yote ya Kagame leo, ya kuchezea amani ya Maziwa Makuu, na kusambaza maelfu ya majasusi katika nchi za kusini mwa Afrika, kuzifanyia kazi chafu ili hatimaye zimezwe katika Himaya yao, mbali ya kugharamia kikosi chake cha Escadron de la mort kinachoua wapinzani wake popote walipo duniani. Siri ya mkakati wa Nyerere wa Himaya ya Watusi ilionekana tangu alipotaka kuchelewesha uhuru wa Tanganyika, eti mpaka majirani wapate wao ili mkakati ufanikiwe, uhuni ambao ulishindwa kuuhadaa ushujaa kama wa Jomo Kenyatta. Mzee Jomo Kenyatta alipogundua jinsi Nyerere anavyochezea uhuru wa wana wa Tanganyika, hatimaye akaunajisi kwa ‘Muungano’ kwa ajili ya maslahi ya Wamarekani katika vita baridi, alilaani kwamba “Hakika Nyerere anatawala maiti” Ndiyo maana ni Watanganyika peke yao duniani wasiojali uhuru wao, wala hatima yao na vizazi vyao vijavyo, wala maslahi ya Nchi yao! Hii ni baada ya kupigika vizuri vichwani mwao ili wawe kama makondoo ya mtawala, waweze kuvikwa kwa ulaini kongwa la utumwa kwa Watusi, kwa maslahi ya kifisadi ya watumwa walio madarakani, wanaouza utu wao na hatima ya Nchi yao kwa utamu wa tende na halua, zinazomung’unyika mara moja na kupotea! Saa ya ukombozi ni sasa! Ndivyo utaahira wetu unavyoonekana kwa dunia yote ya wenye akili kuhusu kongwa la utumwa la Watanganyika liitwalo “Muungano”, lenye maslahi ya kifisadi ya watwana wachache sana wanaotawala, kama si mmoja tu, lakini kwa gharama ya Uhuru wa Watanganyika, heshima yao na utambulisho wao kama Taifa takatifu la heshima tangu katika Unabii wa Mwenyezi Mungu, tena kwa gharama ya raslimali za Watanganyika na matrilioni ya fedha ya damu yao! Utaahira wetu sisi Watanganyika unaonekana zaidi baada ya Zanzibar kujitoa rasmi katika huo ‘muungano’ kikatiba, ambapo kwa ajili ya maslahi ya kifisadi watawala wetu wanafumbia macho ukweli kwamba muungano umebatilika! Na kwa ujinga kama wa kuku anapodhani haonekani kwavile amefunika macho yake kwa bawa lake, hawa nao wamekazana kuudanganya ulimwengu kwamba muungano bado upo, na hata kulazimisha raia waukiri kiwendawazimu usanii huo! Lakini ukweli ni kwamba baada ya Zanzibar kujitoa rasmi yaani kikatiba katika muungano, Wazanzibari ni wachache sana mafisadi na wasaliti waliohongwa madaraka watetee bila haya usanii wa muungano batili, kwa maslahi yao ya kibinafsi, huku wakisingizia maslahi ya ukupe wa Taifa lao (parasitic advantages) katika damu ya Watanganyika.. Kama chatu anavyomvunjavunja mnyama ili awe rahisi kumezeka, ndivyo Nyerere alivyowahasi kifikra Watanganyika na kuwafisha ari ya ukombozi wao na utaifa wao, mpaka kwa kafara yamwenge, ili wawe rahisi kuvishwa kongwa la utumwa la Watusi. Upofushaji wa jinsi hii huua kabisa uzalendo ndani ya dhamiri ya kila raia katika nchi, na kuwaacha wananchi katika minyororo ya woga tu akilini mwao, badala ya uhanga kwa ajili ya Taifa lao.

KAGAME NA MUSEVENI - HATARI SANA KWA TAIFA LETU!

Uharamia anaoufanya Kagame kule Mashariki ya Congo hapa kwetu alifanikiwa siku nyingi. Tofauti ya DRC Mashariki na mikoa yetu ya Kagera na Kigoma ni kwamba wenzetu wanayo hata majeshi ya mgambo ya uzalendo wao yanayotetea ardhi yao na uhuru wao, kama vile Mai Mai. Lakini sisi tuliuawa kabisa uhanga wetu kwa ajili ya Nchi yetu. Tumebaki kuwasujudia wageni wanaoteka na kuipora nchi yetu, na kututia utumwani katika nchi yetu wenyewe. Hii ndiyo raha ambayo Nyerere aliwaandalia Kagame na Mseveni kwa Watanganyika. Kagame tayari ameingiza katika Nchi yetu Wanyarwandazaidi ya 35,000 wenye silaha, wengi wakiwa katika mapori ya Hifadhi ya Taifa ya Buligi na maelfu ya ng’ombe waliowaingiza kutoka kwao Rwanda na Uganda. Kwani kule kwao wamejiwekea sheria kali ya kuokoa mazingira yao, kwamba ni marufuku mtu kumiliki zaidi ya ng’ombe tano (5). Kwahiyo mamia ya maelfu ya ng’ombe zao wameziingiza katika ardhi yetu kwa njia za porini, na wapo Wanyarwanda wenye ng’ombe mpaka 10,000 mtu mmoja ndani ya Nchi yetu. Maelfu mengi ya ng’ombe hao wa Wanyarwanda wanajulikana kuwa mali ya dikteta Paul Kagame mwenyewe na mawaziri wake, na wengine ni mali ya dikteta Yoweri Mseveni, wengi wakiwa hata na mihuri ya NRA! Mbali ya Hifadhi ya Taifa ya Buligi, maelfu mengi ya ng’ombe wao wamewaswagia katika mapori yetu ya Kasindaga, Katete, Kinesi (Karagwe), Nyakerera, Kyobuheke na Misambya na kwingineko, ambako Wanyarwanda wamejikatia mabuloku makubwa sana (Blocks) ambayo wazawa hawaruhusiwi kukanyaga, na wakithubutu ni kuuawa. Kitendo cha Kagame na Museveni cha kuifanya Nchi yetu kwamba haina Utaifa na heshima ya mipaka yake (sovereignty and territorial integrity) kama zilivyo nchi zao, ni Tangazo la Vita! Ni lazima tujibu mapigo kwa nguvu kuliko tulivyomjibu dikteta Idd Amin Dadah. Majeshi yetu yaanze mazoezi makali ya vita, na raia waanze upya mafunzo ya mgambo kwa ajili ya Nchi yetu. Kama lilivyoanza tatizo la uvamizi wa Kagame DRC Mashariki, maelfu ya Wanyarwanda tayari wamekamata ardhi yetu kubwa sana, kwa kutumia vibali bandia vya kuishi nchini, na makaratasi ya uraia bandia wa Nchi yetu. Jasusi la Kagame liitwalo Athanas Kafurama mara nyingi hudhalilisha wazawa wa nchi yetu kwamba hawana kitu vichwani, na kwamba Tanzania inamjali mtu mwenye pesa yaani kama wao, na siyo raia wake walalahoi! Kagame amefanikiwa kwa sehemu kubwa kuiteka kimya kimya mikoa yetu ya Kagera na Kigoma! Hata Mkuu wa Mkoa wa Kagera Col. Fabian Masawe unamwuma moyo, jinsi Kagame na Mseveni walivyopenyeza askari zaidi ya 35,000, waliojichimbia na maelfu ya ng’ombe, hasa katika Hifadhi ya Taifa ya Buligi. Wanyarwanda wamekamata ardhi yetu kubwa sana, bila kuwa hata na vibali vya kuwepo nchini mwetu. Kabla ya kueleza zaidi juu ya uvamizi wa Buligi mkoani Kagera, tunapenda ifahamike kwamba Mkoa wa Kigoma umeingiliwa na Wanyarwanda na Warundi zaidi ya 100,000, ambao tayari wameteka sehemu kubwa ya ardhi ya Taifa letu, katika upanuzi wa Himaya yao. Tena wanajipenyeza kupitia katika makanisa maalum yanayoeleweka. Tayari wameanza kufanikiwa kukamata utawala wa Nchi yetu, kama vile Mnyarwanda aitwaye Peter Serugamba alivyoteka Jimbo la Kigoma Mjini, au Diwani John wa Kata ya Gungu. Watusi wamegundulika kuwamwagia rushwa viongozi wa vijiji na vitongoji ambao wanawatumia kuiteka ardhi yetu, na nafasi hizo wamepanga kuzichukua wao katika kuijenga Himaya yao. Vikao vya Watusi vya mikakati yao ya kuitwaa Nchi yetu katika Himaya yao mjini Kigoma hufanyikia katika hoteli ya Coast View, iliyojengwa kwa mtaji uliotoka Rwanda, ambao ni utajiri ulioporwa Congo.Watusi hawafichi katika majigambo yao, kwamba wanaweza wasilazimike kutumia nguvu za kijeshi kuitwaa ardhi ya Tanzania, kwa sababu eti wanaweza kutumia rushwa tu na akili kuichukua yote bila shida! Wanaujua udhaifu wetu kwa sababu walijipenyeza katika ngazi zote za utawala wa Nchi yetu, katika majeshi yetu, Uhamiaji, Taasisi zetu za fedha, Usalama wa Taifa n.k. Ndiyo maana Nchi yetu takatifu imetumika katika unyama wa kutisha kwa maslahi ya Watusi. Ni kweli pia kwamba nchi yetu inao watawala wanaoweza kununuliwa kirahisi kwa mapesa ya Wanyarwanda, ng’ombe zao na au mabinti wa Kitusi. Ndiyo maana wanampigia debe na kumwinamia mwuaji wa kutisha Paul Kagame, wakati wanajua kabisa kwamba:

1. Kagame amemwaga kinyama sana damu ya mamilioni ya Wahutu, ambao bado anaendelea kuwaua usiku na mchana, kuliko Adolf Hitler alivyowaua Wayahudi.

2. Kagame anaendesha mauaji dunia nzima, kwa kutumia kikosi chake maalum cha Escadron de la mort, ambacho ndicho alichotumia hata kumwangamiza Bingwa wetu wa Sheria, Hayati Profesa Jwani Mwaikusa, kwa kosa la kuweka wazi katika ICTR kwamba mtuhumiwa mkuu wa genocide katika Maziwa Makuu ni dikteta Paul Kagame. Kagame alihofia kwamba kutokana na majumuisho ya mwisho ya Mwanasheria huyo, lazima Ulimwengu ungelazimisha kukamatwa kwake na kufikishwa mbele ya Sheria.

3. Kagame akiwa na cheo cha Meja alikuwa mstari wa mbele kumwua Rais Thomas Sankara wa Burkina Faso, kule Uagadougou.

4. Kagame alikuwa Burundi kwa ushirikiano wake muhimu na Jean Bikomagu, katika mauaji ya kikatili sana ya marehemu Rais Melchior Ndadaye.

5. Kagame ndiye aliyehusika kikamilifu na utunguaji wa ndege iliyomchukua Rais Juvenal Habyarimana wa Rwanda pamoja na Rais Cyprien Ntaryamira wa Burundi.

6. Kagame analaaniwa na dunia nzima kwa kumfanyia unyama wa kutisha mwanasiasa mwanamke, shujaa Victoire Ingabire, ambaye amemtupa gerezani kwa kosa la kugombea Urais wa Rwanda akiwa Mhutu, na kosa la kuwa na kibali kwa wananchi wa Rwanda kuliko yeye aliyeloa damu ya mamilioni ya binadamu aliowaua kinyama.

7. Kagame amemwaga majasusi zaidi ya 1,000 katika Nchi yetu, wanaotumia ufisadi wa mapesa, ngono n.k katika kutengeneza mazingira ya kutekwa utawala wa nchi yetu na Watusi na hatimaye nchi yetu kuwa mkoa wa Himaya yao. Kama ilivyoelezwa juu, maelfu yao wamefanikiwa kujipenyeza katika taasisi zote nyeti za dola ya Nchi yetu. Walipoishika Uhamiaji waliitumia kujipa uraia na kukamata nafasi nyeti na ardhi yetu pia.

8. Maelfu ya majasusi wa Kagame wanajifanya wanashughulikia mizigo ya Rwanda na Uganda, wengine wanajifanya wafanyabiashara au wanatafuta kuwekeza, wengine wanajifanya wanafunzi. Lakini ukweli ni kwamba Taifa letu liko uchi kwa Kagame, kwa sababu kila tunachokifanya katika Nchi yetu kinaripotiwa Rwanda masaa 24. Katika Jiji la Dar es Salaam, Mikocheni ndiko walikojaa Wanyarwanda hao kama kwao.

ANGALIZO: Jumuiya ya Afrika Mashariki ilivunjika mwaka 1977 kwa sababu moja tu kwamba ilishindikana viongozi wa nchi tatu wananchama yaani Tanzania, Kenya na Uganda kukutana pamoja, kwa ajili ya kupitisha maamuzi yote muhimu ya uendeshaji wa shughuli zote za Jumuiya.

Kwa sababu Rais Julius Nyerere alikataa kukaa meza moja na Rais Idd Amin Dadah wa Uganda, kwa sababu Amin alikuwa mwuaji. “Siwezi kuchangia meza moja na mwuaji aliyeloa damu” alitamka Rais Nyerere, ulimwengu wote ukamuunga mkono hata mgomo wake uliposababisha kuvunjika kwa Jumuiya ya Afrika Mashariki! SWALI: Ikiwa Nyerere alikataa kukaa meza moja na dikteta Idd Amin kwavile aliua binadamu takriban 350,000, Jumuiya ya Afrika Mashariki ikavunjika kwa sababu ya kuthamini uhai wa binadamu kuliko vitu vingine vyote, hawa watawala wetu wa leo wa CCM ni binadamu wa jinsi gani, ikiwa wanaweza kulikumbatia na kulipigia debe na hata magoti liuaji la kutisha kama Paul Kagame, lililoua kinyama binadamu zaidi ya 6,000,000 Rwanda, Burundi, Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo, Tanzania, Kenya, na kuwapelekea wengine kifo kule kule Ulaya walikokuwa wamekimbizia uhai wao? Watu wa hatari kuliko wote kuhusu amani katika Maziwa Makuu ni hawa madikteta, Paul Kagame na Yoweri Museveni, walioangamiza mamilioni ya raia wa Maziwa Makuu, wakavamia Jamhuri dada za Rwanda na Zaire (DRC) na kuangusha tawala za mataifa hayo huru, na kuipora Congo mpaka dunia nzima inawapigia mayowe kama majambazi ya hatari! Watawala wetu wanakuwa katika akili za namna gani wanapokwenda Kampala na Kigali, na kukaa na Kagame na Museveni na kuzungumzia eti amani katika eneo la Maziwa Makuu, wakati hao ndio wavunjaji makatili wa hiyo amani? Hivi ni kweli akina Kikwete hawana hofu kwa Mwenyezi Mungu, kiasi cha kuamua kumsaliti jirani mwema aliyevamiwa na kuangamiziwa mamilioni ya raia wake kwa kosa tu la kuwa Wahutu, na kuwasaidia maharamia waliomvamia? Ni aibu kubwa zaidi kwamba watawala wetu waliishia kukubali umamluki, wa kuwasaidia Kagame na Museveni majeshi eti yakawasaidie kuangamizia Wahutu waliopokonywa nchi yao ya Rwanda, na mashujaa wanaopinga udikteta wa damu wa Yoweri Museveni nchini Uganda! Huku ndiko kuhimiza kisasi cha Mwenyezi Mungu juu ya nchi yetu!



UHARAMIA ULIOFANYWA NA WANYARWANDA BULIGI

Kwanza kabisa, Wanyarwanda hawatasahaulika walivyotikisa Mkoa wa Kagera walipoingia kule kwa uharamia wa kutumia silaha, wakajulikana kwa ufupisho kama Wanyaru. Wanyarwanda waliteka magari, walipora fedha na mali zingine za wananchi, na zaidi waliteka ng’ombe za wananchi na kuzikimbizia Uganda, ambako walizibadilisha na kuleta nchini wale ng’ombe wa kwao, ambao wako tofauti na wetu kimaumbile. Huu ni ujanja wa kawaida wa kijambazi. Uharamia wa Wanyarwanda ulishamiri mno mkoani Kagera, hapo Buligi pakawa kama makao yao makuu ya kutisha, ndiyo maana palipewa jina la Kosovo. Pori lote mpaka Kyamyorwa lilikuwa halipitiki kwa sababu ya hatari ya Wanyaru., ambao walikuja kutokomezwa na ulinzi wa jadi wa Wasukuma na ushirikiano wa dhati wa Kamanda mzalendo wa Polisi, Inspekta Samson ambaye hivi sasa yuko Wilayani Chato Mkoa wa Geita. Kutokana na umahiri wa Wasukuma katika kupambana na uharamia kwa ulinzi wao wa jadi au Sungusungu, Mheshimiwa Wilson Masilingi akiwa Waziri katika Ofisi ya Rais na Mbunge wa Muleba Kusini, alipopita mikoa ya Ukanda wa Ziwa aliwahamasisha Wasukuma kwamba wahamie maeneo ya Kyamyorwa na Kasindaga na kwingine mkoani Kagera, na kwamba wapewe na mashamba kwa sababu ni kweli kwamba Wasukuma kwa asili ni wazalishaji hodari. Wasukuma waliitika mwito huo na kuhamia huko, na ni kweli kwamba waligeuza eneo lile kuwa kitovu cha uzalishaji usio kawaida wa mazao ya mpunga, mahindi, dengu, mtama, ulezi, serena na mengine mengi, mbali ya ufugaji wao. Baadaye Wasukuma hao walihamishiwa Buligi kutoka hapo Kyamyorwa, kwa maombi ya Waziri wa sasa wa Ardhi na Maendeleo ya Makazi ambaye pia ni Mbunge wa Muleba Kusini, Profesa Anna Tibaijuka, kwa msingi kwamba eneo hilo ni la kampuni ya Itente ambayo yeye ni mhusika. Profesa Anna Tibaijuka aliandika hata katika kitabu chake cha kampeni yake ya Ubunge wa Muleba Kusini, kuwa Wasukuma wengi walikuwa wamepewa eneo la Kyamyorwa kwa makosa, kwavile eneo hilo lilikuwa la Kampuni hiyo. Waziri Anna Tibaijuka anakiri kwamba aliwaombea Wasukuma Serikalini wakapewa uhamisho kwenda Buligi, na kwamba yeye mwenyewe aliwasaidia hata usafiri wa kuhamia Buligi. Wazalishaji wa Kisukuma waliongezeka huko Buligi, baada ya ndugu zao waliokuwa wamewaacha nyuma kuvutiwa na ushuhuda mwema wa uzalishaji wa wenzao waliotangulia huko, baada ya mageuzi ya eneo lililokuwa ‘Kosovo’ kuwa paradiso ya amani na maendeleo. Ni kweli kwamba Wasukuma walipofika uhamishoni Buligi, kwa uhodari wao katika uzalishaji na umahiri wao katika ulinzi wao wa jadi, waliigeuza‘Kosovo’, ikawa kihenge cha chakula cha Mkoa wa Kagera, wakizalisha mpunga, mahindi, maharagwe, dengu, mtama, ngano, uwele, mihogo, migomba, viazi ulaya, vitunguu, nyanya, mboga na hata miti kwa ajili ya hifadhi ya mazingira, kwa kadri walivyoshauriwa kitaalamu. KWAHIYO ukweli hauwezi kukwepeka kwamba :

1. Uchomaji wa nyumba zaidi ya 500 za wananchi wa kabila la Wasukuma katika maeneo ya Buligi na mengineyo kwa kisingizio cha ‘Operation Okoa Mazingira’ ulilenga kuwaangamiza Wasukuma pamoja na mazao yao tele waliyokuwa nayo majumbani mwao pamoja na mali zao zingine zote.

2. Huko Buligi na maeneo mengine ambako Wasukuma wanazalisha kwa wingi mazao hayo yote, Wasukuma waliletwa na Serikali, si wavamizi.

3. Wasukuma hawakuvamia mapori ya Wanyarwanda au ya mtu mwingine yeyote. Kwani Vijiji vyote wanavyoishi vinawatambua, hata kwa mchango wao mkubwa sana katika uzalishaji.

4. Wasukuma hawajaingia katika Hifadhi ya Taifa, wala hawana ng’ombe hata mmoja katika Hifadhi, bali Wanyarwanda ndio wenye mamia ya maelfu ya ng’ombe katika Hifadhi, ambamo hata wanyamapori wetu Wanyarwanda wamewamaliza. Wanyarwanda huhonga mamilioni ya fedha na ng’ombe kwa maafisa wa wanyamapori na watumishi wengine wa umma.

5. “Operation Okoa Mazingira” haikulenga wahamiaji haramu ambao ni Wanyarwanda, wala mamia ya maelfu ya ng’ombe zao kutoka Rwanda na Uganda hususan katika Hifadhi ya Taifa, kwa sabau Wanyarwanda hawakuguswa kabisa, bali walikuwa wakishangilia wanavyofanyiwa unyama Wasukuma, ambao wala hawana ng’ombe katika Hifadhi kunakoharibiwa mazingira!

6. Nyumba za Wasukuma zilizoteketezwa hazikuwa katika Hifadhi, bali katika vijiji na vitongoji rasmi vyenye serikali halali za Vijiji na Vitongoji. Mfano ni nyumba 105 za Kishonga B Barabara ya 9, katika Kijiji cha Nyamilanda Kitongoji cha Nyakabingo, na Kijiji cha Itunzi Kitongoji cha Miziro. Wenyeviti wa Vijiji vya Nyamilanda na Itunzi ni mashahidi, na wanalalamikia unyama wa kuchomewa nyumba wananchi wao.

7. Uteketezaji wa nyumba za Wasukuma uliambatana na unyang’anyi wa pesa zao, kuanzia shs 100,000/- hadi shs 4,000,000/- kwa Msukuma mmoja, na kuwapa stakabadhi feki zilizoandikwa “WAZABUNI WA MASOKO/ MIALO/VIVUKO. Eti ADHABU kwa ajili ya hatia zilizobuniwa zikiwa ni pamoja nauharibifu wa mazingira, kufyeka misitu ovyo, zingine ziliandikwa ‘Kusafirisha mifugo bila kibali’ Tunaambatanisha vivuli vya stakabadhi feki zilizotumika (Nambari 135559, 135519, 135562, 135356, 135520,135367). Tena walipora mapesa mengi sana kuliko waliyoandika katika stakabadhi, na walio wengi hawakepewa hizo karatasi! Huu ni unyang’anyi na ujambazi wa wazi kabisa! Tunawaachia kazi DCI na Takukuru.

8. Maelfu ya wananchi waliofanyiwa unyama huu walilundikana makanisani, kwa ndugu zao na marafiki zao, na wengi walilazimika kuishi maporini, ambako wanawake wapatao watatu walijifungua kama wanyamapori.

9. Mkuu wa Wilaya ya Muleba, Lemberis Kipuyo, ambaye alikuwa ameonwa na Mnyarwanda aitwaye Athanas Habamungu Kafurama, na kibaraka wa Wanyarwanda ambaye ni Mwenyekiti wa Kijiji cha Kisana aitwaye Julius Rwechungura, baada ya kuchangwa shilingi milioni 100 katika kikao cha Wanyarwanda katika kanisa lao la Butera tareke 31/10/2012, kulingana na majigambo ya Wanyarwanda na Kafurama mwenyewe, ndiye aliyeonekana kusimamia unyama huo, ingawa yeye ndiye mwangalizi wa amani na usalama katika Wilaya!

10. Mkuu wa Wilaya Lemberis Kipuyo alipohojiwa na waandishi wa habari kuhusu unyama huu wa kutisha, alikiri kwamba wamechoma moto nyumba eti zilizokuwa katika Hifadhi, eti kwa ajili ya kulinda mazingira ya Mkoa wa Kagera na kuhamisha wahamiaji haramu wanaoingia na makundi makubwa ya ng’ombe katika Hifadhi.

11. Kama alivyoeleza Lemberis Kipuyo, unyama huo wa kutisha uliosukwa na Wanyarwanda na kutekelezwa kwa usimamizi wake yeye mwenyewe Mkuu wa Wilaya, ulianza tarehe 3/11/2012 saa 3 asubuhi katika eneo la Buligi. Na kama alivyosema hata yeye Mkuu wa Wilaya, maharamia waliowafanyia wananchi wa kabila la Wasukuma unyama huu ni: Askari wa Jeshi la Polisi Usalama wa Taifa Takukuru Wafanyakazi wa Idara ya Misitu Wafanyakazi wa Idara ya Uvuvi, ambao baadhi yao walitambulika. Askari wa Wanyamapori, ambao baadhi yao walitambulika. Askari wa Jeshi la Ulinzi, waliotambulika kwa sare zao. Maharamia waliovaa sare za Mgambo. Lemberis Kipuyo alisema walikuwemo pia Wanasheria katika unyama huu.

12. Wananchi waathirika walipokusanyika Kituo cha Polisi Miziro, Mkuu wa Wilaya Lemberis Kipuyo alifika hapo. Lakini alipoombwa afike ajionee makazi ya wananchi wake yalivyoteketezwa, aliwapuuza isivyo kawaida hata kibinadamu, ingawa umbali haufiki hata kilometa!

13. Kwa kuhofia makusanyiko ya vilio vya Wasukuma, jasusi Mnyarwanda Athanas Kafurama alikwenda kumchochea Mkuu wa Wilaya azidishe unyama kwa madai kwamba eti Wasukuma wamejiandaa kuvamia Kituo cha Polisi Miziro. Ndipo unyama ulipozidishwa maradufu kuwaangamiza Wasukuma, na kuwawinda wale wote wanaoogopwa kama waelewa, na wengi ikawabidi kukimbilia maporini na kuishi huko kama wanyamapori licha ya mvua nzito.

WANYARWANDA WALIVYOIPINDUA OPRESHENI DHIDI YAO

(Kwa kuwageuzia kibao hicho Wasukuma)

Wanyarwanda walipoijua ‘Opresheni Okoa Mazingira’ kwamba imeandaliwa rasmi kwa ajili ya kuwatokomeza wahamiaji haramu yaani wao, na kwavile waliwashika mkononi viongozi wote kuanzia Mkuu wa Wilaya kama walivyokuwa wanajigamba, na kama walivyokuwa wanajihami kwa rushwa kwa uharamia wao wote wanaoifanyia Nchi yetu, ndivyo walivyojipanga kuwatoa kafara Wasukuma Serikali yetu ilikuwa na taarifa zote za mikakati ya dikteta Kagame na Museveni juu ya Nchi yetu, yaani uvamizi wenye lengo la kuiteka ardhi yetu kama vile wanavyofanya Congo Mashariki, uporaji wa raslimali zetu, na walivyohamishia mamia ya maelfu ya ng’ombe zao katika Hifadhi za Taifa letu na utekaji wa ardhi ya wananchi, na hata kulisha mifugo yao katika mazao ya wananchi, wakitetewa na vibaraka wao ambao ni viongozi wetu wala rushwa.

Wamiliki halisi wa haya mamia ya maelfu ya ng’ombe ni marais na mawaziri wa Rwanda na Uganda, ambao wanayo mahusiano ya kifisadi na viongozi wetu mafisadi au Watusi kama wao. Ndiyo maana azma ya Serikali yetu ya ‘Opresheni Okoa Mazingira’ imekuwa ikipozwa kwa ufisadi kwa muda mrefu, huku maadui wakizidi kujichimbia na kuangamiza mazingira. Lakini kwa nguvu ya wale viongozi wetu waliobaki na uzalendo, Serikali yetu ilikazana na mpango kabambe wa OPERATION ‘OKOA MAZINGIRA’, kwa ajili ya kutokomeza kabisa uvamizi wa Watusi katika Nchi yetu (wahamiaji haramu), na kutowesha ng’ombe zote zilizoingizwa katika Nchi yetu, zenye kuhatarisha uhai wa vizazi vyetu vijavyo kwa kuharibu vibaya sana mazingira. Kilio cha wananchi juu ya uvamizi wa ardhi yetu na kuingizwa maelfu ya ng’ombe katika Nchi yetu kutoka Rwanda na Uganda kilianza mwaka 2009. Wanyarwandawalipopata taarifa juu ya ‘Opresheni Okoa Mazingira’ dhidi yao, walifanya mikutano kadhaa mizito katika kanisa lao la Butera, linaloongozwa na Mtusi wa hatari aitwaye Augens.

Tawi la kanisa hilo liko Chanyamisa, Karagwe, ambako pia linatumika kwa mikakati hii ya Kagame. Opresheni Okoa Mazingira iliyokusudiwa kutokomeza wavamizi wa Nchi yetu na maelfu ya mang’ombe yao yanayoharibu mazingira ya Nchi yetu, iligeuzwa na walengwa, Wanyarwanda, kuwa unyama wa kutisha wa kutowesha katika eneo hilo wananchi wa kabila la Wasukuma, na kuwapora mali na ardhi wanayozalishia mavuno yaliyotia fora katika mkoa wa Kagera. Katika kuwatwika Wasukuma dhoruba ya ‘Operation Okoa Mazingira’ ambayo iliwalenga wao, Wanyarwanda walianza kwa kuwachonganisha kirahisi kabisa Wasukuma na ndugu zao Wahaya; Kwavile Mhaya mwenye kulima ekari nne au tano ndiye aliyeonekana kuwa mkulima stadi, lakini Wasukuma wakawa wanalima ekari mpaka 50 mkulima mmoja, Wanyarwanda walitumia kwa ufundi wao kigezo hicho kupandikiza mbegu ya kijicho miongoni mwa Wahaya, ambao wamekuwa wepesi kukabidhi kwa Wanyarwanda ardhi yetu. Hatimaye baadhi ya Wahaya walianza kuwanyoshea kidole Wasukuma kwamba eti wanakamata ardhi kubwa kuliko wao, ingawa mapori hayo yalikuwa yanakaa bure tangu uumbaji mpaka Wasukuma walipoyavamia kwa uzalishaji wa nguvu, hata wakawa wakivuna magunia ya mpunga mpaka 700 mkulima mmoja.Kwa hila za Wanyarwanda, Wahaya wa Muleba na sehemu zingine zilizofanyiwa kazi ya ufitini na Watusi, walianza kujikusanya vikundi vikundi kuandika barua za kuomba ardhi hiyo wanayozalishia Wasukuma, ili mashamba ya Wasukuma yamegwe na kupewa wao, kusudi Wanyarwanda wajipatie kutoka mikononi mwa Wahaya, ambao Watusi wanawachukulia kuwa wepesi zaidi wa kuwapasia wao. Kwa kuwatumia vibaraka wao kama Julius Rwechungura ambaye ni Mwenyekiti wa Kijiji cha Kisana, Wanyarwanda siyo tu wameteka mamia ya ekari za ardhi yetu, bali wamekuwa wanapiga vita siku zote ya kuwafukuza Wasukuma ili wakamate wao maeneo yote. Uharamia huu ndio uliopelekea Mkurugenzi wa Wilaya kumwamuru Afisa Mtendaji Kata ya Kyebitembe kuitisha mkutano wa tarehe 27/3/2012 kuhusu malalamiko ya Wasukuma dhidi ya Wanyarwanda. Mkutano huo ulipiga marufuku kumega ardhi yoyote inayotumiwa na wananchi wa kabila la Wasukuma, kwa ajili ya mapinduzi ya uzalishaji waliyofanikisha katika mkoa, walioingia katika maeneo hayo tangu mwaka 2007 hadi 2011. Mkutano uliamuru pia kufutwa mashitaka ya kihaini yaliyofunguliwa na kibaraka wa Wanyarwanda Julius Rwechungura, akitaka Wasukuma wanyang’anywe mashamba yao ili wapewe Wanyarwanda. Kisha Wanyarwanda walifanya kikao muhimu tarehe 31/10/2012 katika kanisa hilo la Butera, chini ya uongozi wa Jasusi la Kagame liitwalo Innocent Mchunku Kapilipili. Agenda kuu ilikuwa kuchangisha shilingi milioni mia moja kwa ajili ya kujihami nahiyoOpreshenidhidi yao, kwa kuwanunua viongozi wote wa hiyo opresheni. Taarifa za uchunguzi wetu ni kwamba kweli mapesa hayo yalichangwa na kuwasilishwa kwa Mkuu wa Wilaya Lemberis Kipuyo na timu yake iliyoendesha unyama wa kutisha dhidi ya Wasukuma, badala ya wahamiaji haramu. Uchunguzi umethibitisha kuwa Mnyarwanda Innocent Mchunku Kapilipilialikuwa jambazi, katika lile genge la hatari la maharamia kutoka Rwanda waliojulikana kama “Wanyaru” chini ya kamanda wao aliyeitwa ‘Kamanda Dogo’. Mnyaru huyu ameteka zaidi ya ekari 400 za ardhi yetu katika Kijiji cha Nyamilanda, Kitongoji cha Nyakabingo, na Kijiji cha Kisana Kitongoji cha Butera. Mtusi huyu anamiliki zaidi ya ng’ombe 500. Mnyarwanda mwingine muhimu katika kikao cha kanisani Butera ni Francis Magege, ambaye amekamata ekari zaidi ya 400 katika Kijiji cha Nyamilanda, Kitongoji cha Nyakabingo. Kikao hicho kilishirikisha pia Afisa Mtendaji wa Kijiji cha Kisana, msaliti aitwayeJohanson Shumuni, Mwenyekiti wa Kijiji cha Kisana, msaliti aitwaye Julius Rwechungura, na Mwenyekiti wa Kitongoji cha NyamtunduAbdon Krophas. Msaliti Johanson Shumuni ametoka katika kifungo cha nje cha mwaka mmoja, kwa kosa la kung’oa mazao ya mwananchi wa Kijiji cha Nyamilanda, kusudi Wanyarwanda wapitishe ng’ombe zao. Kibaraka huyu wa Wanyarwanda alilipishwa pia fidia ya shilingi 70,000/- kwa ajili ya mazao ya wananchi. Wasaliti Johanson Shumuni, Julius Rwechungura na Abdon Krophas kwa pamoja wana kashfa ya kukitapeli Kikotongoji cha Butera msitu wa asili wa mitundu, wakivunga kwamba ni ‘Hifadhi ya Kijiji’ lakini wakawa wanapasua wao mbao na kuzitoroshea nje ya nchi, mpaka moja ya malori ya mbao hizo lilipokamatwa mwaloni Katunguru na kifikishwa Polisi Muleba, mwezi Mei 2010. Lakini watuhumiwa hawajawahi kufikishwa mahakamani mpaka leo, Vibaraka hawa wa Wanyarwanda ndio wahusika wakuu katika kuwauzia ardhi yetu wahamiaji haramu. Mhusika mwingine katika uuzaji wa ardhi kwa Wanyarwanda ni Diwani wa Kata ya Karambi, Ngote, aitwaye Hamudi Abdalla, ambaye hivi sasa anamiliki zaidi ya ng’ombe mia mbili (200) kutokana na rushwa ya Wanyarwanda. Mwenyekiti wa Kijiji cha Kisana, msaliti Julius Rwechungura alidiriki hata kuwafungulia mashitaka mahakamani wananchi wa kabila la Wasukuma, kwamba eti wamevamia ardhi ya machungio ya Wanyarwanda! Kisha aliwawekea dhamana yeye mwenyewe na kuwatoza shilingi 10,000/- kila mmoja. Lakini kibaraka huyo alilazimishwa na kikao cha tarehe 27/3/2012 kilichoamriwa na Mkurugenzi wa Wilaya kufuta kesi hiyo, kwa sababu haiwezi kuwepo ardhi ya Wanyarwanda ndani ya mipaka ya Jamhuri ya Tanzania!

USHAHIDI WA UKATILI WA WANYARWANDA KWA RAIA WETU

Kwanza kabisa turejee mapokeo ya ile imani chafu sana ya Watusi, kwamba wao wana utu wa hali ya juu zaidi (superior race) kuliko Wabantu. Unyama wa Wanyarwanda ni pamoja na kuwateka nyara raia wetu, na kuwatumia kama watumwa wa kuswaga mifugo yetu waliyotupora.Mateka hawa huvuliwa nguo na kuvikwa vipande vya matambara vya kitumwa, na kubadilishwa majina. Mfano ni vijana wetu Opecatus Filipowa Nsheshe, Kijiji cha Nyamilanda, Kata ya Kyebitembe ambaye aligeuzwa jina na kuitwa Peter, na Antelius wa Kabanga Kijiji cha Kasharara, Kata ya Karambi, aliyegeuzwa jina na kuitwa Rutashambya. Wanyarwanda waliishi porini na hawa ‘watumwa’ kwa miaka miwili. Mmoja wao hatimaye alifanikiwa kuwatoroka, akatoa taarifa Kituo cha Polisi Kyebitembe, ambapo Mkuu wa Kituo hicho shujaa Inspekta Samson alifuatilia kwa uhodari mpaka akafanikiwa kumwokoa yule kijana wetu wa pili. Wale watekaji walikimbia msako huo baada ya kutonywa na msaliti Afisa Mtendaji wa Rwabera, Karagwe, mwanamke aitwaye Alfredina. Raia wetu hao waliokombolewa wana ushuhuda wa kutisha wa unyama uliokuwa ukifanywa na Wanyarwanda. Wanaeleza njia za porini walizokuwa wakipitishia mifugo yetu, mawasiliano ya Wanyarwanda kwa redio na simu dhidi ya mipango yote ya serikali yetu ya kuwafuatilia na mifugo yetu waliyopora. Vijana wanaeleza jinsi walivyotumika kuficha hayo makundi ya ng’ombe zetu, na jinsi walivyoishi kama wanyamapori katika mvua kali na jua na mateso mengi yasiyosemeka. Vijana hawa wanashuhudia jinsi Wanyarwanda walivyomchoma raia wetu kwa upanga wa moto mwilini, kwa kuthubutu kudai ujira wa kutumiwa kikatili kutorosha ng’ombe waliopora katika nchi yetu mpaka huko maporini. Vijana wanashuhudia jinsi wenzao walivyouawa na Wanyarwanda kama wanyama. Zaidi ya yote, anaalaniwa vikali msaliti Johanson Shumuni ambaye ni Afisa Mtendaji wa Kijiji cha Kisana, kwa kumfichia siri mwuaji katili wa Kinyarwanda,‘Mchungaji’ Augens mwenye hilo kanisa la Butera, alipomwua kinyama mfanyakazi wake aliyekuwa anasimamia boti yake iliyokuwa ikifanya kazi za magendo katika Ziwa Buligi, baada ya kumtuhumu kwa wizi wa injini ya hilo boti lake. Shahidi mmojawapo wa mauaji haya ni Benedicto Damian ambaye ni Mwenyekiti wa Kitongoji hicho cha Butera. ‘Mchungaji’ hatari Augens pia anashughulika na uvuvi haramu wa kutumia makokoro, unaoangamiza mpaka mbegu ya samaki kwa ajili ya vizazi vyetu vijavyo, Mtusi mwingine aliyeua kinyama raia wetu ni Mchungaji wa kanisa la Mnyarwanda Francis Magege. Huyu alimwua aliyekuwa mchungaji wa ng’ombe zake, baada ya siku tatu akaenda kutoa taarifa ya uongo Polisi kwamba marehemu ameuawa na nyoka. Baada ya kugundulika mwili wa huyo marehemu machakani na kuchunguzwa na Dr. Mtumbi, iliripotiwa kwamba aliuawa kikatili sana kwa kitu kizito chenye ncha kali. NdipoMnyarwanda huyo ‘Mchungaji’ aligeuza kibao na kusema marehemu ameuawa na Msukuma eti aliyekuwa amegombana naye kwa sababu ya kulisha ng’ombe mazao yake. Lakini uchunguzi unaonyesha kuwa marehemu aliuawa baada ya kudaiana na huyo mwajiri wake ‘Mchungaji’. Mashahidi muhimu ni pamoja na huyo Daktari aliyefanya uchunguzi, Mwenyekiti wa Kitongoji cha Butera, na kijana aliyekuwa anachunga pamoja na marehemu, ambaye alikimbilia Ngara. KWAHIYOkwa ajili ya usalama wa Nchi yetu, na heshima na Uhuru wa kweli wa Taifa letu, na sifa ya Taifa letu ya kupigania HAKI na utu wa mwanadamu, tunasisitiza kwamba:

1. Watu wote waliohusika na unyama wa kutisha dhidi ya wananchi wa kabila la Wasukuma Mkoani Kagera, pamoja na Wanyarwanda wote waliohusika na unyama huu wakamatwe na kufikishwa mbele ya sheria. Watuhumiwa ni pamoja na Mkuu wa Wilaya ya Muleba, Lemberis Kipuyo .

2. Wananchi wote waliofanyiwa ukatili huu walipwe fidia ya mateso yote na hasara zote walizosababishiwa na unyama huu.

3. Mamia ya maelfu ya ng’ombe zilizoingizwa nchini mwetu kutoka Uganda na Rwanda zikamatwe na kupigwa mnada, ili fedha hiyo itumike kuboresha Hifadhi zetu na mazingira ya Nchi yetu.


KUHUSU GENOCIDE MAZIWA MAKUU

4. Taifa letu lisimame kinyume kabisa na uharamia wa kuvamia Nchi yoyote huru duniani, ikiwa ni pamoja na uvamizi wa Jamhuri ya Rwanda na uvamizi na uporaji wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo, uliofanywa na Watusi wa RPF na Uganda.

5. Taifa letu lilaani imani chafu ya Watusi(apartheid nyeusi) kwamba wenzao eti waliumbwa kuwa watumwa wao, hivyo kudai usawa wa kibinadamu eti ni uasi wa kuangamizwa kama wanavyofanywa Wahutu.

6. Taifa letu liusaidie ulimwengu kujua ukweli kwamba Watusi ndio walioendesha genocide ya kutisha duniani, kwa kuangamiza Wahutu zaidi ya 6,000,000, zaidi ni mauaji yaliyofanywa na dikteta Paul Kagame wa Rwanda, ambaye ndiye mtuhumiwa Mkuu wa genocide ya Maziwa Makuu.

7. Taifa letu lihakikishe pia kwamba mwuaji Paul Kagame na wenzake wote wanafikishwa mbele ya Sheria kujibumashitaka ya genocide.

8. Taifa letu lifanye TOBA kwa mwenyezi Mungu kwa kudhamini unyama wote uliofanywa na Watusi, ukiwa ni pamoja na mauaji ya marais watatu wa Kihutu wa mataifa ya Rwanda na Burundi, marehemu Rais Melchior Ndadaye, marehemu Rais Juvenal Habyarimana na marehemu Rais Cyprien Ntaryamira.

9. Taifa letu lifanye TOBA kwa kuikaribisha ICTR Arusha, na kuifukuza katika Nchi yetu mara moja, kwa sababu siyo siri kwamba ICTR ni nyenzo ya kusaidia genocide ya dikteta Paul Kagame ya kuwamaliza Wahutu.

10. Taifa letu lipige vita ukatili wa kuendelea kuwashikilia kifungoni Wahutu waliotamkwa na hiyo ICTR kwamba hawana hatia, na kuwatetea kwamba walipwe fidia kwa unyama wote waliotendewa na Kagame pamoja na ICTR na/au UNO.

11. Taifa letu lihakikishe kuwa Rwanda, Burundi na Uganda zinafutwa uanachama katika Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC). Kwa sababu sharti kuu la uanachama ni Haki za Binadamu, Demokrasia na Utawala wa Sheria, lakini hizi ni tawala za Udikteta wa kikatili na Umwagaji damu.

12. Taifa letu lihakikishe kwamba Dikteta Paul Kagame anamwachia huru mara moja mwanamke mpinzani wake, shujaa Victoire Ingabire, ili akakataliwe na wananchi wenyewe wa Rwanda au wampe uongozi kama wanaona atawafaa. Kutoona haya mbele ya dunia kwa unyama huu, kunadhihirisha Kagame kuwa si binadamu wa kawaida!

Liberty International Foundation

Reverend Christopher Mtikila
(0766 053081, 0713 435016 )
EXECUTIVE CHAIRMAN