Tuesday, April 24, 2007

Nani atakuwa Juma?


Wikiendi hii huko Minneapolis walifanya auditions kwa ajili ya kumpata atakayeigiza mhusika mkuu kwenye sinema ya Bongoland 2, Juma. Bongoland 2, ni sinema itakayapigwa Tanzania, mwezi Julai. Ni sehemu ya pili ya sinema ile ya Bongoland.
Pictured Front row: Director Josiah Kibira, na auditioners, Honest, Peter & Deus.
Kwa habari na picha zaidi someni :

No comments: