Monday, May 06, 2013

MTanzania Afungwa Gerezani Marekani Baada ya Kushikwa na Heroin (Unga)!

MTanzania Omar Mohamed Omar (40) amepewa kifungo cha miaka minne gerezani Virginia baada ya kukutwa na madawa ya kulevya aina ya Heroin katika sanduku lake alipowasili kutoka Qatar, uwanja wa ndege ya Dulles huko Washington D.C..

Akimaliza kifungo chake atarudishwa Tanzania.
**************************************************

Kutoka  Washington Examiner

Man found with heroin at Dulles gets 4 years in prison

May 5, 2013 
Photo -
A Tanzanian man who was caught with about seven pounds of heroin in his suitcase at Washington Dulles International Airport has been sentenced to four years in prison, according to court records.
Omar Mohammad Omar, 40, pleaded guilty to importing heroin in February and was sentenced recently in federal court in Alexandria.
U.S. Customs and Border Protection officers inspected Omar's luggage after he had arrived at Dulles from Qatar in October and discovered four packages that contained heroin. The drugs have an estimated street value in the D.C. area of $325,000, according to court documents.
After he finishes his sentence, Omar will be deported and will not be allowed to return to the United States, a document filed by the defense stated.
-- Naomi Jagoda

2 comments:

Anonymous said...

Mara wajifanye wanataka kuchinja nyama wao mara wanarusha milipuko kwa madai ya kidini, Vikaenda vikarudi mara wanakamatwa na "unga".

Anonymous said...

Huyo jamaa mtu mzima! Alitaka hela ya haraka nini. Aibu kweli. Hajui airpot za USA zimejaa mbwa nusanusa.