Tuesday, May 06, 2014

Michezo ya EAC Inter-Collegiate 1965

Baba yangu mdogo, marehemu Prof. Crispin Hauli, (mbele) katika mazoezi ya kukimbia pale UDSM Mlimani Campus mwaka 1965.  Alishindana katika michezo ya East African Community Inter-Collegiate Games mwaka 1965, baba mdogo alipata medali ya dhahabu katka mbio za 15,000 meters.

No comments: