Showing posts with label Mimba. Show all posts
Showing posts with label Mimba. Show all posts

Friday, October 14, 2016

DC wa Muheza Awataka Wazee Kuwafichua Vijana Wanaoharibu Maisha ya Wanafunzi

DC MUHEZA AWATAKA WAZEE KUWAFICHUA VIJANA WANAOHARIBU MAISHA YA WANAFUNZI WANAOSOMA.

 Mkuu wa wilaya ya Muheza,Hajat,Mhandisi Mwanasha Tumbo akizungumza katika mdahalo wa siku ya wazee kiwilaya iliyofanyika kwenye ukumbi wa Halmashauri kulia ni Mwenyekiti wa Chama cha Wazee Muheza
Katibu Tawala wa wilaya ya Muheza (DAS) akizungumza neno kwenye kwenye mkutano huo
Mwenyekiti wa Halmasahuri ya wilaya ya Muheza akizungumza
 Afisa Ustawi wa Jamii na Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri akizungumza kwenye kikao hicho.
 Mwenyekiti wa Chama cha Wazee wilayani Muheza (UWAWAMU) Seif Athumani akizungumza kushoto ni Mkuu wa wilaya ya Muheza,Hajati,Mhandisi Mwanasha Tumbo akifuatilia kulia ni Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Muheza,
baadhi ya Wazee wilayani Muheza wakimsikiliza kwa umakini Mkuu wa wilaya hiyo,Hajat Mhandisi Mwanasha Tumbo.
Mkuu wa wilaya ya Muheza,Mhandisi Mwanasha Tumbo kushoto akigawa zawadi ya sabuni kwa mmoja kati ya wazee wilayani humo wakati wa siku ya wazee dunia kiwilaya iliyofanyika kwenye ukumbi wa Halmashauri wilayani humo
Mkuu wa wilaya ya Muheza,Mhandisi Mwanasha Tumbo kushoto akigawa zawadi ya sabuni kwa mmoja kati ya wazee wilayani humo wakati wa siku ya wazee dunia kiwilaya iliyofanyika kwenye ukumbi wa Halmashauri wilayani humo
Mkuu wa wilaya ya Muheza,Mhandisi Mwanasha Tumbo kushoto akigawa zawadi ya sabuni kwa mmoja kati ya wazee wilayani humo wakati wa siku ya wazee dunia kiwilaya iliyofanyika kwenye ukumbi wa Halmashauri wilayani humo
habari kwa hisani ya blog ya kijamii ya Tanga Raha

Saturday, May 17, 2014

Boko Haram waingia Bongo -Utani

Acheni visingizio!!!!! Hakuna Boko Haram Tanzania!

Wednesday, April 30, 2014

Wajawazito walalamikia ‘Rushwa’ Kituo cha Afya Simambwe

Wajawazito walalamikia ‘Rushwa’ Kituo cha Afya Simambwe 


Mbeya Vijijini


BAADHI ya akinamama na wanakijiji wa baadhi ya vijiji vya Kata ya Tembela Wilaya ya Mbeya Vijijini wamewalalamikia wauguzi na wahudumu wa afya katika Kituo cha Afya Simambwe kwa kile baadhi yao kuwaomba kitu kidogo (rushwa) hasa kwa wajawazito wanapofika katika kituo hicho kupata huduma.


Wakizungumza kwa nyakati tofauti baadhi ya wanawake kutoka vijiji vinavyohudumiwa na kituo hicho vya Usoha Njiapanda, Shibolya, Simambwe, Garijembe, Ilembo Usafwa, Ngoha na Zunya walisema mjamzito amekuwa akiombwa kutoa shilingi 2000 kila anapojifungulia nyumbani kwa dharura baada ya kushindwa kufika katika kituo hicho.

Mmoja wa akinamama aliyezungumza na mwandishi wa habari hizi ambaye aliomba kutotajwa kwa kuwa huenda akapata taabu kihuduma za afya kituoni hapo, alisema kwa sasa ni jambo la kawaida wahudumu kuwaomba chochote wajawazito kituoni hapo.


“…Unajua vijiji vingi vinavyohudumiwa na kituo hiki vipo mbali na miundombinu ya barabara si mizuri, yaani hakuna usafiri zaidi ya bodaboda ambazo lazima zitoke Simambwe…sasa kutokana na hali hii inatokea mjamzito anajifungulia nyumbani kwa msaada wa wakunga wa jadi, akipeleka mtoto huyo kituo cha afya basi wanamuomba shilingi 2000 haijulikani ya nini, sasa hili si tunaamini sio haki,” alisema mama huyo.


Aidha baadhi ya wanakijiji walikilalamikia kituo hicho kwa kitendo cha kulalamika muda wote hakina dawa huku wahudumu wakiwaelekezwa kwenda kununua dawa jambo ambalo wanahisi kuna mchezo mbaya unafanywa na wahudumu hao.


“Muda wote ukienda kutibiwa utasikia kauli za hakuna dawa tunakuandikia nenda kanunue, tena wengine wanaelekeza hadi maduka ya kununua dawa hizo ndio maana baadhi yetu tunahisi kuna mchezo mbaya (kuhujumu dawa) unaofanywa na baadhi ya wahudumu.,” alisema Mzee aliyejitambulisha kwa jina la Kalamwa.


Kwa upande wake Mganga Mkuu wa Kituo cha Afya Simambwe, Salome Mwaipopo  alipinga vikali uwepo wa vitendo vya kuomba rushwa kwa watumishi wa kituo hicho na kudai malalamiko kwa wanachi wanaohudumiwa na kituo hicho imekuwa kitu cha kawaida hasa wanapotembelewa na mgeni.


“..Hakuna kitu kama hicho unajua wakazi wengi wa vijiji hivi wamezoea kulalamika hasa wanapotembelewa na mgeni…hakuna wanaoombwa fedha, mjamzito akijifungua nyumbani tunampokea bila masharti na kumpatia huduma anazostahili, si kweli wanachokilalamikia,” alisema Mwaipopo.


Hata hivyo alisema kituo hicho kinahudumia idadi kubwa ya watu zaidi ya uwezo wake jambo ambalo hukifanya kuelemewa kwa idadi ya dawa wanazoletewa, wahudumu na vifaa vingine tiba hivyo kuiomba Serikali kukiongezea mgao wa dawa.

“…Kituo kinahudumia idadi kubwa ya watu kupita uwezo wake hivyo unakuta hata baadhi ya changamoto kama ufinyu wa dawa na wahudumu vinatokana na hali kama hiyo…,” alisema Mganga huyo Mkuu wa Kituo cha Afya Simambwe. 
*Imeandaliwa na www.thehabari.com kwa ushirikiano na TGNP

Saturday, January 18, 2014

Sista Mkatoliki Ajifungua Italy

Wadau, hii kali. Sista mKatoliki amejifungua mtoto wa kiume mwenye afya huko Italia. Huyo Sista, ambaye hakutajwa jina, ana miaka 31 na ana asili ya El Salvador, Amerika ya Kusini. Hakujua kuwa ana mimba.  Alipelekwa hospitali baada ya kushikwa na maumivu makali tumboni.  Amemwita mwanae Francesco.  Je, atabaki kuwa Sista au watamvua USista. Tusimlaumu labda hakujua kuwa ukitembea na mwanaume utapata mimba.

Kama mnavyojua ni mwiko kwa Sista kufanya ngono. Wanatakiwa kuwa Bikira. Au wakishakuwa Sista ni mwiko kufanya ngono na mwanaume tena.  Je, atasema hiyo mimba kapewa na malaika? Lakini mjue hapa Boston miaka ya 1950's waliboma Convent (Nyumba ya Masista). Kwenye Basement walikuta mifupa mingi ya watoto wa wachanga waliozikwa huko! hiyo Convent ilijengwa miaka ya 1800's na kubomolewa 1950's!  Na ninakumbuka nilivyokuwa nafanya kazi Daily News, mwandishi wa habari mwenzangu alikuwa anatamba kuwa anatembea na sista. Eti wanaenda gesti kufanya mambo, wakimaliza yule sista anavaa magwanda yake na kwenda zake. DUH! 

**************************************************

MaSista  wakitembea katika viwanja vya Vatican


Kutoka Huffington Post

A 31-year-old nun has given birth to a baby boy in Rieti, Italy, after experiencing abdominal pains she thought were stomach cramps.
After she was taken to a hospital, she gave birth to a baby and named him Francis after the current pope. The nun, originally from El Salvador, claims she had no idea she was pregnant.
The sister belongs to a convent which is located near the city of Rieti, which has a population of 47,700.
The nun belongs to the "Little Disciples of Jesus'' convent in Campomoro near Rieti, which manages an old people's home.
As news of the nun's pregnancy has spread, the mayor of Rieti, Simone Petrangi, asked local residents and media to give the woman privacy.
Clothes and donations have been collected and sent to the hospital where she gave birth.
"I did not know I was pregnant. I only felt a stomach pain," she told the Ansa news agency.
Other nuns at the convent also expressed shock at the mysterious pregnancy of a holy sister at their order, saying they were "very surprised", according to Italian media reports.
Don Fabrizio Borrelio, a local pastor, says he believes that the nun is telling the truth about being unaware of her pregnancy. He said the nun plans to take care of the baby herself.
The results of a study on reproductive health, published in the British Medical Journal, revealed that one in 200 US women claim to have given birth without ever having had sexual intercourse.
The BMJ reports that of the women who took part in the study, 45 (0.5%) reported at least one virgin pregnancy, "unrelated to the use of assisted reproductive technology".
They claim to have conceived without vaginal intercourse or in-vitro fertilisation (IVF).
The BMJ article notes that virgin births, or parthenogenesis (from the Greek parthenos for virgin and genesis for birth), can occur in non-humans as a consequence of "asexual reproduction, where growth and development of the embryo occurs without fertilisation".
However, the authors of the study, entitled "Like a virgin (mother)", warn that researchers need to take into account the possibility of fallible memory on the part of respondents.

Tuesday, June 05, 2012

Lulu Mahakamani Jana!

Lulu mahakamani Kisutu jana:


Lulu akisindikizwa na Askari magereza

Kutoka The Citizen:


Lulu Case Adjourned to June 18
Monday, 04 June 2012 22:17
By Rosina John
The Citizen Correspondent
Dar es Salaam. The Kisutu Resident Magistrate’s Court adjourned a murder case facing local film actress Elizabeth Michael alias Lulu to June 18, this year.Lulu is charged with murdering local movie star Steven Kanumba on April 7, this year, at Sinza Vatican.

The case was yesterday brought before Resident Magistrate Augustina Mmbando for mention, with the prosecution informing the court that investigations were still going on.“The case is before the court today for mention because the investigations are not complete,” said State Attorney Peter Sekwao.

Sekwao asked the court to set another date for mentioning the case and magistrate Mmbado adjourned it to June 18, this year.While the case continues at the Kisutu Court, the High Court will on June 11 this year rule on an application by the accused seeking the court’s order to determine her age.Advocate Peter Kibatala filed the application after a lower court turned down their request to transfer the case to a juvenile court.

According to the lawyers for the accused, she has not attained the age of 18 years to merit prosecution in an adults’ court. However, the lower court said that it lacked jurisdiction to entertain any application because the charge before it involved murder.

But in his application Mr Kibatala stated that the lower court has power to investigate the age of the accused according to section 113 of the Child Act.The advocate wants the court to take consideration of her age to maintain Lulu’s basic rights as a child, according to section 4(2) of the Child Act.

***********************************************************

Global Publishers wanasema Mimba ya Lulu Imetoka!
 

Kutoka Global Publishers:
 
Na Shakoor Jongo
ULE ujauzito wa miezi mitatu wa mwigizaji nyota wa sinema Bongo ambaye kwa sasa yuko nyuma ya nondo za Gereza la Segerea, Dar es Salaam kwa kesi ya kifo cha Steven Kanumba, Elizabeth Michael 'Lulu' umedaiwa kuchoropoka, Ijumaa Wikienda lina cha kushika mkononi.
CHANZO CHAFUNGUKA
Kwa mujibu wa chanzo cha uhakika ambacho ni makini, sababu kubwa ya mimba hiyo kutoka ni kutunga nje ya mfuko wa uzazi hali ambayo ingemletea matatizo Lulu.
“Nikwambie kitu, unajua wengi wanaamini Lulu ana mimba na hivi karibuini iliandikwa imefikisha miezi mitatu, ilikuwa sahihi, lakini ukweli ni kwamba kwa sasa imetoka.
“Sababu kubwa ni kwamba afya yake ilidorora, ukiachia ule ugonjwa wa U.T.I alioripotiwa na baadhi ya vyombo vya habari kwamba anao, lakini kingine ni kuwa iligundulika ujazuito wake ulitunga nje ya mfuko wa uzazi ikawa haina jinsi, ikabidi kutolewa na kusafishwa,” kilisema chanzo hicho bila kuainisha tukio hilo lilitokea lini.
ETI NI MIMBA YA TATU
Kikiendelea kuzungumza kwa umakini mkubwa, chanzo chetu kilidai kuwa eti ujauzito huo ni wa tatu kuchoropoka kwa msanii huyo.
“Unajua huu unakuwa ujauzito wa tatu kwa Lulu kutoka. Kwa kweli kama si hivyo angekuwa na mtoto,” kilisema chanzo bila kuweka wazi nyingine mbili zilitoka kwa matatizo gani.
“Kuna wakati Lulu alikwenda China, aliporudi alikuwa na ujauzito, lakini nao ulitoka, inaonekana ana matatizo kidogo kwenye upande wa kizazi,” kilidai chanzo hicho.
Kikaendelea: “Baada ya hapo, haukupita muda mrefu, akanasa nyingine ya mwanamuziki mmoja wa Bongo Fleva, pia hiyo nayo ikaja kutoka ya tatu ni hii ya Kanumba.”
MAMA LULU
Katika kupata mzani wa habari hiyo, Ijumaa Wikienda lilimsaka mama Lulu, Lucresia Karugila ili kusikia kutoka kwake lakini hakupatikana hewani kutokana na kuzima simu.
USHUSHUSHU GEREZANI
Ijumaa Wikienda lilituma ‘mpelelezi’ wake kwenye Gereza la Segerea ili kukutana na Lulu na kuzungumza naye kuhusu madai ya mimba yake kuchoropoka.
Ilikuwa kazi kubwa kumpata ‘laivu’ nyota huyo kutokana na ukweli kwamba kuna watu maalum watatu ambao ndiyo wenye ruhusa ya kumwona mtuhumiwa huyo, mbali na hao marufuku kwa wengine.
Hata hivyo, ‘shushushu’ huyo alifanikiwa kupata fursa ya kumjulia hali mahabusu mwingine aliyepo kwenye gereza hilo na ndipo akapata bahati ya kuonana na Lulu ambaye alionekana kuwa mnyonge.
Baada ya salamu, shushushu wetu alimuuliza Lulu kuhusu afya yake na ya ujauzito alionao ambapo alijibu kwa mkato.
“Nani amekwambia mimi nina mimba?”
MASTAA WA BONGO WANENA
Baadhi ya mastaa wa sinema Bongo ambao hawakuwa tayari majina yao kuchorwa gazetini, walipozungumza na gazeti hili kuhusu kuwepo au kutokuwepo kwa ujauzito wa Lulu walipishana ‘kiswahili’.
Wapo waliodai ujauzito huo ulitoka akiwa gerezani, wengine walidai ulitoka wiki moja kabla ya kifo cha Kanumba lakini wapo waliodai bado anao.
Staa wa kiume: “Lulu hana ujauzito, ulitoka. Ninavyojua mimi, wiki moja kabla ya kifo cha marehemu (Kanumba) ndiyo ulitoka, kwa hiyo hana.”
Staa wa kike: “Lulu bado ana mimba ila ni siri sana. Lakini hata nyiye wenyewe si mmeona tumbo lile, anao.”
Staa wa kike: Lulu mpaka anaingia kwenye matatizo kwa kifo cha Kanumba alikuwa na kibendi, hawezi kukitoa kwa sasa, maana yuko gerezani.”
Lulu anatarajiwa kufikishwa Mahakama Kuu ya Tanzania Mei 28, mwaka huu ili kujibu tuhuma zinazomkabili juu ya kifo cha Kanumba.
Lulu ana Mimba? Is Lulu Pregnant

Former Tanzanian film star Steven Kanumba's girlfriend Lulu Michaels is rumoured to be pregnant. Lulu who was charged with his murder is now three months pregnant. According to Tanzanian tabloids, Lulu, 17, is reportedly carrying the late actor's baby. She has however not commented on the pregnancy. Lulu is rumoured to have  previously dated Tanzanian Ali Kiba. They remained friends after they broke up. Kanumba’s  sudden death devastated his fans from both within and outside the country.
According to the police, Kanumba and Lulu were fighting over calls that were coming on her phone while she was at his home. He demanded to see the calls and the girl wasn't ready to surrender it. While he was taking it by force, she pushed him and he fell, hitting his head hard. She is still in police custody as the investigations are still underway.

Friday, June 01, 2012

Wito Kutoka Kwa Ndugu wa Queen Butahe

Wadau, nimegundua kuwa Queen alikuwa na kesi mahakamani hapa Boston dhidi ya ndugu yake aliyemleta kutoa Tanzania.  Kesi inahusu mambo ya kuchapwa.  Hapa USA huwezi kumchapa mtoto, ni kosa la jinai. Watoto  kutoka nje wanajanjaruka wakijua hiyo sheria. Utamsikia mtoto, ukinichpa, nitamwambia Mwalimu halafu nitaenda kukaa kwenye nyumba ya DSS (Department of Social Services)! Doh!  huko si ndo kubakwa na kugeuzwa malaya, mlevi, mtumia madawa ya kulevya!

****************************************************
Kindly Post this in your Blog!


From: Rev. G. Kutta

http://www.wavuti.com/4/post/2012/2/the-story-of-queen-b.html

Sorry, was interupted by powers cut! .....

Regards!

Mh! Whoever was and still act behind Queen on this issue had a mission behind! Without your help and mine, they can win! Do not underestimate your opponent! They have great minds! Tell me, what else can you do if you find Queen a threat? Entrench her in her own drain! This is what they wanted to do! Queen is bright and was doing very well in school such that envy and evil sent her opponents to disguise and now they have put her in this mess!

Lets act together to rescue our Girl!

1. Get her to realize that life may have been bad in the past but she was lucky to have a few who cared for her to their best and their simple faults of life activities led them blind of her tragedies, if at all they happened!

2. Get her to realize that Her family still desires to see her grow up good and strong! We are here still here! We want her alive and Blessed!

3. Get her to realize that, long lasting success can only come from a genuine heart!

4. Get her to realize that, the body of good willing Tanzanians, though dismayed by her accusations, yet know that Tanzania is her home! We Love her and she can make it good with us all by simply doing things the right way without defaming the good!

5. That those who play guardianship for her (Queen's) destruction should know that we know their fear! But they need not fear! Queen is born from a Family highly related to the United States! A family that got all its Good Potentials from United States! I myself had my baseline Education, grade One at Jefferson School, Spring field Ohio (1974/5) with Mr. Marckoch Head Master, Mrs. Carry my teacher! i love these guys! I love USA -But lets keep it up that way! Lets get Queen back to life!

Rev.Kutta,G.P.K.

Monday, April 23, 2012

Lulu Mahakamani Kisutu Leo

 Mcheza sinema Elizabeth 'Lulu' Michael alifikishwa katika mahakama leo kuhusiana na kesi yake kuhusiana na mauji ya Bongo Star Steven Kanumba.  Kesi leo ilikuwa ni kutajwa tu yaani Mention.
Mcheza Sinema, Elizbeth 'Lulu' Michael, katika Mahakama ya Kisutu leo hii 23/4/12 (Picha kwa hisani ya Michuzi Blog)  Kuona picha zaidi Mtembelee Kaka Michuzi


Katika hii picha ya Global Publishers Lulu anaonekana kuwa na kakitambi!   (picha kwa hisani ya Global Publishers)

MAELEZO KUTOKA GLOBAL PUBLISHERS

Mwigizaji Maarufu wa filamu za Kibongo Elizabeth Michael ‘Lulu’ leo majira ya saa nne asubuhi amepandishwa kizimbani kwa mara ya pili katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam na kusomewa shitaka la kumuua Steven Kanumba. Baada ya kusomewa shitaka hilo na Mwendesha Mashitaka Mkuu wa Mahakama hiyo Elizabeth Kaganda mbele ya Hakimu Rita Tarimo hakutakiwa kujibu lolote. Mwendesha Mashitaka huyo alisema upelelezi wa kesi hiyo bado haujakamailika hivyo kesi hiyo iliahirishwa mpaka Mei 7 mwaka huu.


Monday, February 06, 2012

Mimba na Siri ya Precious

Imeletwa na Mdau YM:

Mimba na Siri ya Precious

MIMBA
Mimba ilitungwa baada ya baba kutoa hongo kwa kimada

Ili kuthibitisha kama ni mimba kweli kimada akatoa rushwa kwa daktari ili apimwe harakaharaka kwa kuwa kulikuwa na msongamano wa wagonjwa

Kila alipoenda kliniki wakati wote wa Ujauzito alitoa 'chai' ili ahudumiwe vizuri na wauguzi na madaktari

Hata wakati wa kujifungua akatoa 'chai' kwa manesi apate huduma safi

BAADA YA KUJIFUNGUA
Baada ya kujifungua aliendelea kutoa hongo awe wa kwanza kuhudumiwa, mwanae awe wa kwanza kuchomwa sindano za Chanjo n.k.

Mwanae akaitwa 'Precious'

ELIMU KWA PRECIOUS
Kuandikishwa chekechekea akatoa hongo ili Precious apate nafasi katika shule nzuri kwa kuwa nafasi zilikuwa chache, Precious anaangalia

Kuandikishwa shule ya msingi mchezo uleule, Precious anaangalia

Tena sekondari akatoa 'Chai' kwa mwalimu wa Hisabati ili Precious apate alama nzuri

Chuo kikuu Precious hali ikawa ngumu, akagawa uroda kwa mkufunzi ili apate alama nzuri

KAZI
Precious akagawa uroda ili apate kazi, akapata

Precious akatishiwa mara kwa mara kufukuzwa kazi kutokana na utendaji mbovu kinga ikawa ni kugawa uroda

Akatumia nafasi yake kwa manufaa yake binafsi

Kwa tamaa ya vitu vya thamani kuliko mshahara wake akaendelea kupokea rushwa

NDOA
Kwa kuwa wazazi wake (baba yake) hakuwa mwaminifu katika ndoa yake (Precious ni mtoto wa kimada), naye Precious hakuona sababu ya kuwa mwaminifu ktk ndoa

Watoto wake wote walifuata mlolongo kama wa kuzaliwa kwake

KIFO

Hata alipougua ghafla , hongo ikatumika apate huduma bora lakini Mungu alimpenda zaidi

Walipoenda kuchonga jeneza, wakakuta kuna order nyingi ikabidi watoe 'Cha Juu' ili kuchukua jeneza lilokuwepo tayari

Wakati wa mazishi Kwaya iliyotakiwa kuimba wakati wa Maombolezo ilikuwa na safari , ikapewa 'cha juu' ili kuahirisha safari

MWISHO

Kwaya ikaimba na Kumsifia Precious alivyokuwa 'mtumishi mwema wa Mungu', tena wakamwomba Mungu ampokee kwa mikono miwili , amuepushe na Moto wa milele.

Risala ikasomwa, na kusifia utumishi wake uliotukuka, tena kaacha pengo lisilozibika.


TAKE HOME MESSAGE
Wazazi 'huwapakaza' watoto wao matope ya dhambi toka pale mimba inapotungwa hata baada ya kuzaliwa

Watoto wote huakisi tabia walizojifunza toka kwetu, kama wazazi (Observational Learning)

Kama hatuwezi kuwa wawazi hasa pale kaburini hata kwa mtu aliyekufa na sifa mbaya akasifiwa basi tunahalalisha matendo mabaya aliyoyafanya marehemu.

Ili Kupambana na Rushwa twahitaji kuanzia wakati wa Ujauzito, mtoto azaliwe bila rushwa, akue bila rushwa n.k

KWA LEO NI HAYO TU!!!

Tuesday, September 08, 2009

Wasichana Wanaopata Mimba Kuruhusiwa Kuendelea na Shule?

Wadau, nimefurahi sana kusikia kuwa huenda hivi karibuni wasichana wanaopata mimba wakiwa wanafunzi wataruhusiwa kuendelea na masomo yao baada ya kujifungua. Nakumbuka kuona wanafunzi wenzangu wengi kusimamishwa shule shauri ya ujauzito. Inasikitisha maana hali yao ya maisha inakuwa chini shauri ya kukosa masomo. Wengine walikufa kwa athari za kutoa hizo mimba.

Nilipouliza kwa nini wasichana hawaruhusiwi kuendelea na masomo, watu walisem, nani atalea hao watoto? Pia walisema eti itafanya wasichana wasitake kufanya ngono. Mbona wanafanya? Na je, kwa nini huyo aliyempa mimba kama ni mwanafunzi hasimamishwi masomo? Kazi kuonea wanawake!


Kama TAMWA watafanikiwa kupitisha hiyo sheria mbona watakuwa mashujaa!

************************************************************************
Kutoka ippmedia.com

8th September 2009

Tanzania Media Women`s Association (Tamwa) executive director Ananilea Nkya
Girls becoming pregnant while in school might soon be officially allowed to continue with their studies after giving birth.The remote dream will come true if the government endorses a provision in a draft of the new education policy recommending as much.

Allowing the girls to return to school will be an historic move after decade-long appeals from civil society organisations and the donor community to the government to revisit guidelines instructing schools to expel all girls medically proven to be pregnant.

The decision to produce guidelines stipulating procedures to be followed to reduce the incidence of schoolgirl pregnancies and readmitting schoolgirls put in the family way follows recommendations by a team selected by the government in 2007.

The team was detailed to collect views from education sector stakeholders on how best to address the problem of schoolgirl pregnancies.

It came up with findings showing that over 90 per cent of respondents from eight education zones wanted the girls back in school after delivery, while only two per cent stood against the idea.

Amnesty International estimates that some 14,000 schoolgirls were expelled from school in Tanzania between 2003 and 2006.

Winifrida Rutahindurwa, Gender issues coordinator at the Education and Vocational Training ministry, said when contacted for comment that only those schoolgirls becoming pregnant after the new guidelines are put into use would be allowed to return to school if the new policy is approved.

It is understood that the new guidelines will not come into effect before the draft of the new Education and Training Policy is assented to by the Education and Vocational Training minister later this year.

The policy will have to be sent to the Cabinet for approval in two months time before the final draft is relayed to the Parliamentary Social Services Committee for review, after which the Attorney General will prepare a bill from the national policy on education to amend the 1978 National Education Act.

But an education analyst who preferred anonymity said the bill is likely to face strong opposition from a section of Members of Parliament if it bears even a single clause allowing girls who conceive while attending school to continue with studies after delivery.

He said some legislators had shown strong support in previous debates in the House that such girls be expelled from school because they were seen to have misbehaved and thus deserved severe punishment.

“I know some MPs who will do anything and everything in their power to make sure the bill doesn’t sail through because of the feeling that such a move would fuel teenage pregnancies. But the truth is that these girls deserve to go back to school,” said the analyst, a long-serving educationist.

Speaking in a later telephone interview from Kilimanjaro Region, where she is on a mission to find out why Kilimanjaro had no cases involving schoolgirls dropping out of school due to pregnancy, Ms Rutahindurwa said readmitting such girls into school “is definitely not the best or only solution to the problem”.

Society had a role to play to make sure that girls remained in school and in sound health, she said, adding that poverty played a key role in sustaining the problem.

“Most schoolgirls become pregnant because of poverty, but culture also has a role to play in this because there are regions where girls are taught how to engage in sex at a very early age,” noted Ms Rutahindurwa.

According to the Basic Statistics of Tanzania (Best), an annual booklet that provides data on education in the country, Mtwara Region, where initiation ceremonies are common, had the highest dropout rate due to early pregnancies in 2007. More than 435 girls left school after becoming pregnant.

“Girls must be treated equally with their male counterparts. They must be given another chance to continue with education six months after giving birth, as medically recommended. I see this problem affecting poor people the most because it is they who can’t afford taking their children to private schools after expulsion. Our challenge right now is not only to return the girls to school but cut the cases altogether,” observed Ms Rutahindurwa.

According to the draft policy, the participation of girls in education at primary and secondary levels is lower than that of boys because of early pregnancies and changes ought to be made to make guarantee gender equality at all levels of education.

“The government will continue building more boarding girls’ secondary schools and extending the available ones… It will also come up with guidelines to enable female students who become pregnant to continue with their studies after giving birth,” part of the new policy reads.

It adds that the government would also come up with ways to punish all men involved behind schoolgirl pregnancies, but many observers believe that this is much easier said than done.

Tanzania Media Women’s Association (Tamwa) executive director Ananilea Nkya told this newspaper last year that there were no men who were known to have been prosecuted for impregnating schoolgirls. She suggested that the government and society were taking a stance too lenient to help out the victims, meaning the girls being put in the family way so prematurely.

SOURCE: THE GUARDIAN

Thursday, August 27, 2009

Wimbi la Kutoa Mimba Dar!

Navyoona wasichana was shule na wanawake wafundishwe uzazi wa majira. Pia wakazanie hao wanaume wao watumie kondomu. Pia wanaume na nyege zao waache kudanganya wanawake, "Oh usiponipa ina maana hunipendi!" au wanasema, "Usiponipa nitampata atakayenipa!"

LOH! Nyie, nakumbuka kuona wanafunzi wenzangu wakifa kwa septic abortion.
Nimeona wakiteseka kwa maumivu na kuoza na kufa! Kisa walienda kwa watu wasiojua wanafanya nini kuzitoa. Napenda kuwe na sehemu ambayo mtu anaweza kuwa na sehemu ya kutoa mimba kwa usalama. Lakini pia sipendi wazo la kutoa mimba. Lakini kwa vile bado kuna sheria za ajabu, eti msichana akipata mimba afukuzwe shule, wengine wanalazimishwa kutoa ili waendelee na masomo.

********************************************************
Kutoka ippmedia.com

ABORTION BUSINESS BOOMING IN DAR

Most private and some public dispensaries, health centres and hospitals camouflaged as family health planning units are centres for performing abortions, ‘The Guardian’ can report today.

A survey carried out over the last two weeks has revealed shocking statistics on health facilities engaged in abortions. A clinic in the city (name withheld) performs as much as 40 abortions per month, raising questions on safety and the health risks posed to their clients.

The Executive Director of Muhimbili National Hospital Prof Leonard Lema said that the institution does not perform abortions, but is forced to save the lives of the victims who are rushed to the hospital in critical state after bleeding seriously from unsafe abortion.

“Some victims are brought to us in a serious condition, bleeding so we help them in cleaning the blood clots so as to save their lives,” he said

Another gynaecologist from Muhimbili who preferred not to be named said that the government was ‘quiet’ about abortion and yet the practice is going on in many private hospitals and clinics.

“Professionally it can only be performed after clearance of two specialists when there is an adequate risk to the mother’s life if the foetus is retained,” he said.

He also noted that while abortion is going on, the rate of crude abortions is on the decline especially since the doctors who do it have adopted the use of the MVA (Manual Vacuum Aspiration) kits to carry out the illegal surgery.

Almost every private hospital checked during the investigation that covered more than 10 of them in Dar es Salaam, the story was the same, “You want to have an abortion? You will get it, just pay for it.”

The cost of the services is high. Some of the clinics have resorted to abortions as the quickest and most reliable way of generating income.

“Yes the majority of women coming here for gynaecological services want to abort…you cannot stop them, so we just help them do it in the safest way without subjecting their lives to danger,” said a gynaecologist at one of the clinics.

He said charges vary depending on how old the pregnancy is. For example it would cost 70,000/- to terminate a six-month pregnancy, while anything below that would cost 50,000/-.

The clients include students, unmarried and married women, according to our investigation. Another gynaecologist said it was difficult to turn away pregnant mothers who visited the clinics crying for help.

Two months ago a mother of a family residing at Mbezi Beach in Dar es Salaam, lost her only daughter, a 15 – year old, who took tablets prescribed by a quack doctor to induce an abortion.

The daughter had obtained a week’s leave from school in Arusha after complaining that she was not feeling well.

“When at home in Dar she seemed to lose her appetite and ate very little. I didn’t know what was going on because her condition got worse by the day, yet when I wanted to take her to hospital; she refused, telling me she had already taken malaria tablets. However her condition became worse,” the mother narrated.

She rushed her to hospital and after the usual medical tests, a drip was administered on the girl, but after 30 minutes, she passed away

“We were shocked to learn that she had been bleeding intensively. One doctor told me that she couldn’t make it because she had taken some tablets to abort,” the mother said, tears streaming down her face.

She said that she was shocked by the news and couldn’t believe that her daughter had been pregnant, opted for an abortion and never told her. She learnt from the doctor that the tablets which her daughter took worsened her condition, rupturing the foetus which was also rotting inside her, resulting into more complications which caused her death.

The woman talking to a friend later learnt that women who opt for abortion in most of these clinics in the neighbourhood are given an option of using either the tablets or a vacuum machine. Her daughter had probably been afraid to use the vacuum and went for the pills.

“She was the only daughter I had because her siblings are boys. It is like a nightmare to me up to now. It is important for these girls to be told and taught about pregnancy, abortions and their effects,” she said.

In a separate interview, Jangwani school teacher Grace Michael said that abortions happen frequently in secondary schools and can only be controlled if the students are made aware of the negative effects.

“Some of them who are day students have an abortion and we never know about it because one can decide to stay home for sometime after the operation to recover before resuming school. Sometimes, it is hard to identify such students,” said Michael.

She added that in some schools students are taken to hospital every month for pregnancy test and those found positive end up dropping out of school.

“I think there is still a lot to be done to protect students from getting pregnant and having abortions because the rate has really gone up,” she added.

A Makongo Secondary School student, Amina Abdul, said that as long as the students get pregnant and are still in school, abortions are likely to happen because they want to finish school.

“There is a lot to be done to create awareness among the students because abortion is performed as if it’s a simple issue. If you have money it can be performed, but it is dangerous when someone uses tablets. It is better to have the vacuum system. I haven’t experienced this, but I have heard other students talk about it,” she said

Another student, Anna Msekwa said that the rate of abortions has gone up especially for those girls who are staying in hostels.

“The rate has really gone up especially in boarding schools and hostels. This worsens during the cold months… and if it happens you have to do something before your parents become aware,” she said.

Residents in various parts of Dar es Salaam said that many institutions operating as family life health clinics were actually havens for performing abortions. Almost every member of the public who was interviewed concurred that the crime was rampant in the city.

“It is an open secret that hospitals in Dar es Salaam do perform abortions. A woman walks into a clinic and no one bothers to ask who made her pregnant. Most hospitals here are not there to treat patients but to perform abortions,” said Ali Omar a resident of Mbagala

Joyce Michael a resident of Mbezi in Dar es Salaam said some clinics were so careless that after inducing abortions they didn’t clean the tools they had used.

“So many women have been infected with diseases after undergoing abortions in some of the so–called private hospitals in Dar es Salaam. They know that women who are going for abortions in secret are desperate so they take advantage of them,” she said.

The deputy minister for Health and Social Welfare Aisha Kigoda said that most private hospitals perform abortions secretly because it is illegal, but warned that if such hospitals are exposed and evidence provided, they will be prosecuted.

“Private hospitals are performing abortions in secret because they know it’s illegal, but I am warning them that if they are caught with evidence, then legal action will be taken against them, including withdrawing their licenses,” said Kigoda.

She said that the government is planning to formulate a set of laws to allow for safe abortion so as to reduce mortality rate in the country.

“The government is still thinking over the proposals. We have to look at the advantages and disadvantages of such a move,” said Kigoda, refusing to be drawn into stating when the laws on safe abortion will be in place.

SOURCE: THE GUARDIAN

Thursday, June 04, 2009

Uzazi Tanzania Part II - Utoaji Mimba

A woman in Berega, Tanzania, who sought care after a botched abortion. In Tanzania, where abortion is illegal, the maternal death rate is high in part because of failed abortions.

Wadau, hebu tuwe wakweli. Sheria Tanzania inasema kuwa ni mwiko kutoa mimba. Inaruhusiwa tu kama maisha ya mama iko hatarini. Lakini ukweli mimba zinatolewa kila siku. Wasichana wadogo na wakina mama wanakufa kutokana na madhara ya kutolewa mimba na watu wasiojua wanafanya nini!

Nilipokuwa nasoma Sekondari, nakumbuka wasichana watatu waliokufa kutoka na kutoa mimba. 'septic abortion'. Mara kizazi kinatobolewa, yaani acheni tu.

Na huwa nalaumu sana wanaume wanapenda wanawake wakilalamika 'utamu' kwenye mambo. Lakini hebu wanawake hao wakilalamika 'uchungu' wanaume wanakimbia! HEBO!

Haya someni Denise Grady wa New York Times alivyotuchora.

****************************************************************************

By DENISE GRADY
Published: June 1, 2009


BEREGA, Tanzania — A handwritten ledger at the hospital tells a grim story. For the month of January, 17 of the 31 minor surgical procedures here were done to repair the results of “incomplete abortions.” A few may have been miscarriages, but most were botched operations by untrained, clumsy hands.

More than half a million women a year die during pregnancy and in childbirth, largely from problems that can be treated or prevented. This is the second of three articles on efforts to lower the death rate in one African country, Tanzania.

Abortion is illegal in Tanzania (except to save the mother’s life or health), so women and girls turn to amateurs, who may dose them with herbs or other concoctions, pummel their bellies or insert objects vaginally. Infections, bleeding and punctures of the uterus or bowel can result, and can be fatal. Doctors treating women after these bungled attempts sometimes have no choice but to remove the uterus.

Pregnancy and childbirth are among the greatest dangers that women face in Africa, which has the world’s highest rates of maternal mortality — at least 100 times those in developed countries. Abortion accounts for a significant part of the death toll.

Maternal mortality is high in Tanzania: for every 100,000 births, 950 women die. In the United States, the figure is 11, and it is even lower in other developed countries. But Tanzania’s record is neither the best nor the worst in Africa. Many other countries have similar statistics; quite a few do better and a handful do markedly worse.

Eighty percent of Tanzanians live in rural areas, and the hospital in Berega — miles from paved roads and electric poles — is a typical rural hospital, struggling to deal with the same problems faced by hospitals and clinics in much of the country. Abortion is a constant worry.

Worldwide, there are 19 million unsafe abortions a year, and they kill 70,000 women (accounting for 13 percent of maternal deaths), mostly in poor countries like Tanzania where abortion is illegal, according to the World Health Organization. More than two million women a year suffer serious complications. According to Unicef, unsafe abortions cause 4 percent of deaths among pregnant women in Africa, 6 percent in Asia and 12 percent in Latin America and the Caribbean.

Reliable figures on abortion in Tanzania are hard to come by, but the World Health Organization reports that its region, Eastern Africa, has the world’s second-highest rate of unsafe abortions (only South America is higher). And Africa as a whole has the highest proportion of teenagers — 25 percent — among women having unsafe abortions.

The 120-bed hospital in Berega depends on solar panels and a generator, which is run for only a few hours a day. Short on staff members, supplies and even water, the hospital puts a lot of its scarce resources into cleaning up after failed abortions.

The medical director, Dr. Paschal Mdoe, 30, said many patients who had had the unsafe abortions were 16 to 20 years old, and four months pregnant. He said there was a steady stream of cases, much as he had seen in hospitals in other parts of the country.

“It’s the same everywhere,” he said.

On a Friday in January, 6 of 20 patients in the women’s ward were recovering from attempted abortions. One, a 25-year-old schoolteacher, lay in bed moaning and writhing. She had been treated at the hospital a week earlier for an incomplete abortion and now was back, bleeding and in severe pain. She was taken to the operating room once again and anesthetized, and Emmanuel Makanza, who had treated her the first time, discovered that he had failed to remove all the membranes formed during the pregnancy. Once again, he scraped the inside of her womb with a curet, a metal instrument. It was a vigorous, bloody procedure. This time, he said, it was complete.

Mr. Makanza is an assistant medical officer, not a fully trained physician. Assistant medical officers have education similar to that of physician assistants in the United States, but with additional training in surgery. They are Tanzania’s solution to a severe shortage of doctors, and they perform many basic operations, like Caesareans and appendectomies. The hospital in Berega has two.

Abortions in Berega come in seasonal waves — March and April, August and September — in sync with planting and harvests, when a lot of socializing goes on, Dr. Mdoe said. He said rumor had it that many abortions were done by a man in Gairo, a town west of Berega. In some cases, he said, the abortionist only started the procedure, knowing that doctors would have to finish the job.

Dr. Mdoe said he suspected that some of the other illegal abortionists were hospital workers with delusions of surgical skill.

“They just poke, poke, poke,” he said. “And then the woman has to come here.” Sometimes the doctors find fragments of sticks left inside the uterus, an invitation to sepsis.

In the past some hospitals threatened to withhold care until a woman identified the abortionist (performing abortions can bring a 14-year prison term), but that practice was abandoned in favor of simply providing postabortal treatment. Still, women do not want to discuss what happened or even admit that they had anything other than a miscarriage, because in theory they can be prosecuted for having abortions. The law calls for seven years in prison for the woman. So doctors generally do not ask questions.

“They are supposed to be arrested,” Dr. Mdoe said. “Our work as physicians is just to help and make sure they get healed.”

He went on, “We as medical personnel think abortion should be legal so a qualified person can do it and you can have safe abortion.” There are no plans in Tanzania to change the law.

The steady stream of cases reflects widespread ignorance about contraception. Young people in the region do not seem to know much or care much about birth control or safe sex, Dr. Mdoe said.

In most countries the rates of abortion, whether legal or illegal — and abortion-related deaths — tend to decrease when the use of birth control increases. But only about a quarter of Tanzanians use contraception. In South Africa, the rate of contraception use is 60 percent, and in Kenya 39 percent. Both have lower rates of maternal mortality than does Tanzania. South Africa also allows abortion on request.

But in other African nations like Sierra Leone and Nigeria, abortion is not available on request, and the figures on contraceptive use are even lower than Tanzania’s and maternal mortality is higher. Nonprofit groups are working with the Tanzanian government to provide family planning, but the country is vast, and the widely distributed rural populations makes many people extremely hard to reach.

Geography is not the only obstacle. An assistant medical officer, Telesphory Kaneno, said: “Talking about sexuality and the sex organs is still a taboo in our community. For a woman, if it is known that she is taking contraceptives, there is a fear of being called promiscuous.”

In interviews, some young women from the area who had given birth as teenagers said they had not used birth control because they did not know about it or thought it was unsafe: they had heard that condoms were unsanitary and that birth control pills and other hormonal contraceptives could cause cancer.

Mr. Kaneno said the doctors were trying to dispel those taboos and convince women that it was a good thing to be able to choose whether and when to get pregnant.

“It is still a long way to go,” he said.

http://www.nytimes.com/2009/06/02/health/02abort.html?_r=2&ref=science

Tuesday, June 02, 2009

Umbea - Jennifer Hudson ana Mimba!

Pichani Jennifer Hudson na David Otunga

Habari zinasema kuwa mwimbaji na mcheza sinema, Jennifer Hudson ana mimba ya miezi saba. Niliona picha kwenye TV leo na kweli alikua na 'mtumbo' hasa. Nampongeza yeye na mchumba wake, David Otunga. Lazima Jennifer atakuwa na furaha. Kwa sasa wameficha kwa umati kama ni mtoto wa kike au wa kiume.

Mtakumbuka mwaka jana, shemeji yake Jennifer aliwaua, mama yake mzazi, kaka yake na mpwa wake.

Kwa habari zaidi someni:


Sunday, June 22, 2008

Sisi Marafiki Tutapata Mimba Pamoja!



Jamani! Kwa kweli kuna habari ya kusikitisha sana kutoka Gloucester, Massachusetts. Wasichana 27 was shule ya sekondari huko Gloucester wamepata mimba. Ajabu ni kuwa hawa wasichana wanasherkea na kuringia mimba zao! Wana miaka 14 hadi 16.

Kama mko Marekani lazima mmesikia habari hizi kwenye TV na kwenye talk shows. Kwanza ni wasichana wengi mno waliopata mimba. Pili sababu ya wao kupata mimba, "eti wanataka kulea watoto wao pamoja na kuwa marafiki daima".

Huko kwenye zahanati ya shule, wasichana walikuwa wanapongezana wakithibitishwa kuwa wana mimba, na kulia wakiambiwa hawana. Si ndo watu walishutuka na kuanza kuchunguza kuna nini. Maana si kawaida kwa wasichana wadogo kutaka mimba, mara nyingi ni za bahati mbaya.

Baada ya uchunguzi waligundua kuwa hao wasichana wanatoka kwenye nyumba zilizovunjika, yaani mzazi au wazazi hawapo. Au hali ya maisha nyumabni kwako ni mbaya. Baada ya kuulizwa walisema kuwa "Nataka mtu ambaye atanipenda" (Mtoto).
Aliyemtia mimba msichana fulani ni jamaa wa mitaani ambaye hana pa kukaa mwenye miaka 24. Hapa Marekani ki kosa la jinai kwa mwanaume mwenye miaka 21 au zaidi kutembea na msichana chini ya miaka 17. Of course inatokea, lakini ole wao wakamatwe.
Na pia watu wanalaumu hiyo shule kwa ku-glorify (kusifia) uzazi na umri mdogo. Kuna day care safi sana (Nursery) kwa ajili ya watoto wa wanafunzi. Tena wanasema nzuri kweli. Wanafunzi wanapishana na wanafunzi waliozaa wakisukuma wanao kwenye baby stroller. Mmh!
Huko Gloucester, uchumi ni mbaya maana ni mji wa wavuvi. Kwa sasa kuna vikwazo vingi kwa wavuvi na ni shida wao kuvua samaki bila kuvunja sheria zilizowekwa. Na pia samaki wempungua baharini. Hali ya maisha umekuwa mbaya huko. Wengi wa wale wasichana na wanao wataishia kwenye 'welfare' (yaani kulelewa na serikali).
Tanzania nakumbuka wenzangu na ndugu zangu walifukuzwa shule baada ya kupata mimba. Je, wangekuwa wanafukuza wasichana hapa wangetaka kupata mimba kweli? Zamani hapa ilikuwa msichana akipata mimba, basi anatolewa kwenye hiyo shule na kupelekwa shule maalum.
Mnaonaje hii suala?

Kwa habari zaidi someni:

Friday, June 15, 2007

Halahala mnaosema mtoto si wako!




Miaka mingi nimeudhika sana na tabia ya wanaume kukataa watoto wao. Wanatembea na mwanamke, anapata mimba, na wanasema si wakwao. Mwanamke anabisha, na wanasema oh huyo mwanamke malaya katembea na wengine, huyo mtoto si wa kwangu. Nasema Shenzi Taipu mkome tabia yenu mbaya!

Halafu ndugu wanasema oh, sijui tungojeee tuone mtoto anafanana na nani. Loh, je kama mtoto anafanana na mwanamke na ndugu zake ndo mmepata kisingizio. Eh he! Si nilikuambia huyo mtoto si wakwangu. Pumbavu kabisa nyie wanaume, cheki dental formula ya mtoto mbona ina fanana na yako. Au mtoto kazaliwa na vidole sita kwenye mguu kama wewe, japo sura kafanana na mama yake. Wanaume kwa kupenda kukwepa majukumu yao!

Miaka mingi wazungu wamekuwa na njia za kugundua baba mtoto hasa ni nani. Walikuwa wanapima damu. Lakini siku hizi kuna 'fail proof' njia ya kuhakisha nayo ni DNA Testing. Na kama ulikuwa hutaki kupima utapimwa tu, maana kajinywele kinatosha kupima. Kama uliacha shahawa kwenye shuka inatosha kupimwa hata kama imekauka. Kama ulikuwa unapiga busu na mama mtu na kuacha denda kwenye blausi yake, inatosha kabisa kupata hiyo DNA. Hata kama umegusa mahala unaweza kuacha chembe chembe za ngozi na kupimwa DNA!

Kesi maarufu za DNA ni:

Mtoto wa marehemu Anna Nicole Smith. Wanaume wanne waligombania mtoto wake wa kike, DannieLynn na kudai ni wakwao kwa vile alitembea nao. Huyo mtoto ni bilionea maana anarithi mapesa ya mama yake. Basi, Anna kaolewa na mwanasheria wake, Howard Stern, huko wanaume wengine wanadai oh, mtoto wa kwao. Wote walipimwa DNA. Kumbe baba mtoto ni wa mpiga picha, Larry Birkhead. Duh! Baada ya testi huyo stern alimkabidhi mtoto kwa Birkhead bila ubishi wowote.

Na kwa sasa mcheza sinema Eddie Murphy anapimwa kwa ajaili ya mtoto aliyezaa Spice Girl Melanie Brown. Murphy anaseme mtoto wa Scary Spice si wa kwake, lakini mmh sijui kwa kumtazama tu naweza kusema hakuna haja hata ya kupima mtoto ni wa Murphy. Anywy, hiyo DNA test ndo itamaliza maswali yote.

Prince Harry, mtoto wa marehemu Princess Diana na Prince Charles (?) wa Uingereza. Watu wanadai ni mtoto wa mpambe wa Diana, James Hewitt, maana katembea naye akiwa ameolewa na Prince Charles. Harry mwenyewe anataka DNA test kujua nani baba yake amalize maswali ambayo yamemsumbua miaka mingi.