Thursday, July 26, 2007

Mimi na Steven Kanumba


Siku ya kwanza kwenye shoot ya Bongoland II huko Magomeni Mikumi, tulibahatika kutembelewa na maSuperstar wa Bongo. Kulia kwangu ni mcheza sinema maarufu wa Bongo Steven Kanumba. Kushoto ni Emmanuel Myamba ambaye naye ni Bongo Superstar.

Kwa kweli nilifurahi sana kuwaona, hasa Steven maan nilikuwa nimesikia sifa zake na hasa habari ya sinema ya Dar 2 Lagos. Bado sijaiona lakini.
Kwa habari zaidi za Steven Kanumba soma:

1 comment:

Anonymous said...

Huyo mwingine anaitwa Emmanuel Myiamba dada, nimesoma nao wote pale Jitegemee J.K.T ndani ya Form Six H.K.L 2 (2005) nawakubali wote wanatisha manake hata shuleni hawakuwa haba.

Big up Bro's.