Thursday, July 26, 2007

Mjue Msanii Mkongwe wa Bongo Mzee Godwin Kaduma

Mzee Kaduma akiburudika na sigara, huko akitoa mawaidha juu ya fani ya kutengeneza filamu. Mzee Kaduma alicheza kama Sekondo, katika sinema ya Arusi ya Mariamu. (1985)
http://www.grisgrisfilms.com/html/marriage_of_mariamu.html
Mzee Kaduma ndani ya Theater anayojenga. Anasema atakuwa anafundisha kozi za usanii hapo. Kwa kweli ni jengo safi sana. Bado haijaisha lakini.

Nilivyofika kwa Mzee Kaduma, niliburudika na soda baridi. Tulikuwa na manongezi marefu sana juu ya fani ya sinema Bongo, script development, na mambo mengi ya usanii. Nilifurahi sana siku hiyo kupata ushauri kuhusu filamu kutoka kwa Mzee Kaduma. Tulikuwa tumemwomba Mzee Kaduma acheza kama 'Uncle' kama sinema ya Bongoland II, lakini alikataa kutokana na majukumu mengine.


Mzee Kaduma na mbwa wake Tommy. Utashangaa Mzee Kaduma anavyoongea na Tommy na jinsi Tommy anayotii amri.



Hii ndo View kutoka backyard ya Mzee Kaduma.

2 comments:

Anonymous said...

I am Michael Purnell. My wife, Dr. Hilary Frost-Kumpf, and I stayed with Mzee Kaduma for all of July and early August 2006 while Hilary researched theater management in Tanzania. During that time, Mzee became my rafiki, my kaka, and a baba figure for me. For him, I built a tea table from his mango tree lumber (it is on his porch in one of the photos on your Website). For Hilary, he opened many doors and gave valuable advice. Mzee, we will miss you forever. And I will wear the hat you gave me with fond memories. Sincere condolences to Mama Kirama and the Kaduma family.

Michael & Hilary

Unknown said...

I am Harmon Watson. I shared the love and friendship og Mzee and Mama Kaduma for two years in the 1970s. The politics of the time eventually painfully separated us but, as a university professor, I have borne them in my heart ever since. Theu were a central part of the best years of my life and I continue to love them and miss them.