Sunday, November 09, 2008

Majina ya Watoto Bukoba

Nimeletewa hii kwa e-mail, sijui kama ni utani au ni kweli.

***************************************************************************

Yafuatayo ni majina ya watoto waliozaliwa Juzi huko Kanyigo Bukoba Kagera Baada ya Obama kushinda Uchaguzi mkuu wa USA:

Rweobama
Mutayobama
Barackruigumbiza
Kokubama
Rutobama
Rweimobama
RutashyObama
Rugabaraka
Muchungobama
Rugaimobama
Barakagemalira
Obamuwegasira
Kalokobama
baraka Rutabanzibwa
Rumanyikobama
Mugyabusobama
Ishengobama

1 comment:

Anonymous said...

Duh! Hiyo kali:-)