Tuesday, January 13, 2009

Anauza Ubikira Wake!



Natalie Dylan (22) (pichani) wa California anauza ubikira wake kwa atakayemlipa hela nyingi. Kwa sasa anafanya mnada na bei imefika dola $3.7 milioni! Anasema kuwa atatumia pesa hizo kwa ajiliya kulipia masoma yake Chuo Kikuu.

Hivi kweli huyo ni bikira au? Dada yake ni malaya huko Nevada kwenye bunny ranch. Na siku hizi unaweza kwenda kwa Plastic surgeon akarudisha ubikira. Na kuna tofauti gani na anavyofanya na umalaya?

No comments: