Monday, January 12, 2009

Ushauri Blog

Habari Wakuu;

Nimeanzisha blog yenye nia ya kusaidia kiushauri, mawazo, au zaidi (kadri ya uwezo) kwa wenye kuhitaji msaada wa kisaikolojia/kimawazo. Lugha ya Kiswahili na Kiingereza hutumika. Natoa mchango wangu mdogo kwa wananchi kwani hatuna professional counselors wa kutosha Tanzania.

In turn, napata experience ya field ninayosomea katika mazingira ya watu wangu, na kupata uhalisi na utofauti wa matatizo kati ya watu wa west na wa nyumbani ili niweze kuwatumikia kiufasaha baada ya masomo mwakani.

Natumai majibu na maoni ya maswali kutoka kwangu, na watoa maoni tofauti yatasaidia wengi zaidi ya wanaohusika moja kwa moja. Natumai pia awareness ya mental health nchini tanzania, na interest na recognition ya field ya saikolojia itakua miongoni mwa wananchi na viongozi wa nchi. We do have enough Educational psychologists in our colleges, but it is a wide spectrum field, my focus is on counseling people of all walks of life...not just students.

Asanteni.

Dr.Wannabe

Your questions to:-wannabe.dr@gmail.comweb at http://www.dr12b.blogspot.com/

No comments: