Wednesday, January 07, 2009

Mkutano wa UWT Dodoma

Anna Abadallah akihutubia wajumbe
Baadhi ya wajumbe kwenye mkutano wakiwemo Mama Maria Nyerere



JK akihutubia wakati akifungua mkutano mkuu wa Umoja wa Wanawake katika ukumbi wa Kilimani huko Dodoma leo. Picha nyingine ni Mwenyekiti anayeng'atuka Anna Abdallah akihutubia na picha nyingine wajumbe na waalikwa wakiwa katika mkutano.Mpaka sasa mambo bila bila hasa tukitambua wanachuana ni Mh. Janeth Kahama na Mh. Sofia Simba ambapo mmoja wao atamrithi Mh. Anna Abdallah katika kiti hicho. Matokeo yanatarajiwa baadaye usiku huu!

No comments: