Sunday, July 05, 2009

Mdau Ibra na Danny Glover ZIFF

Wadau, nimepokea hii habari kutoka kwa mdau Ibarhim Matukuta, ambaye alishiriki katika utengenezaji wa sinema Bongoland II. Sasa anafanya mambo ZIFF.


Salam,

Ni mimi Ibrahim Matukuta nikikupa salamu toka ZIFF. Tunaendelea vizuri na kila siku tuonaonesha documentary za Dakika 7 za Matukio yote ya ZIFF. Na nimepata bahati ya kupiga picha na ZIFF special guest Bwana Danny Glover. Kwa wale ambao ungependa waone daily documentaries waende kwenye link hii http://www.zgfilms.com/events.html

Ahsante!
Ibrahim Matukuta

No comments: