Wednesday, September 03, 2008

Rais Levy Mwanawasa azikwa Zambia leo

Rais Jakaya Kikwete na Mama Salma wakitoa salamu za mwisho kwa marehemu Rais wa Zambia, Levy Mwanawasa. (picha na Freddy Maro wa Ikulu)
Rais Robert Mugabe wa Zambia, akimpa pole mjane wa Rais Mwanawasa, Mama Maureen Mwanawasa.


Marehemu Rais Mwanawasa alizikwa leo huko Zambia na heshima zote za kitaifa. Jeneza lake lilitengenezwa na 'copper' ambao ni chuma linaloingiza pesa nyingi za kigeni kwa waZambia. Mzee Mwanawasa alipiga vita ufisadi katika mambo ya machimbo ya copper huko Zambia. Alifariki nchini Ufaransa tarehe 19 Agosti alipokuwa anapata matibabu kutokana na kuugua ugonjwa wa kiharusi (stroke).

Kwa habari zaidi someni:

http://afp.google.com/article/ALeqM5jwNZ3tMG8KG-rFekS9Gn1oy4rAdQ

http://english.aljazeera.net/news/africa/2008/09/200893161946349113.html

1 comment:

Yasinta Ngonyani said...

Pole wafiwa na pole Zambia. Mwennyezi mungu ailaze Roho ya marehemu mahali pema. Amen