Tuesday, July 21, 2009

Kukamatwa kwa Prof. Gates.

Aliyeanza hii sakata la Prof. Henry Louis Gates Jr. ni Bi Lucia Whalen (40) wa Malden, Ma. Yeye ndiye alipiga simu polisi na kusema aliona wanaume wawili weusi wenye backpacks mgongoni wakijaribu kufungua mlango wa hiyo Nyumba Ware St. Nami nauliza huyo Bi Whalen alikuwa anafanya nini Cambridge?

Hii habari ya kukamatwa kwa Prof. Gates nyumbani kwake, imekuwa gumzo sehemu nyingi na kwenye taarifa ya habari. Hasa ni je, ni kitendo cha kibaguzi? Naona ni sawa ni kitendo cha kibaguzi, maana huko Harvard na hapa Cambridge weusi wanaonewa kila siku. Sema hii imekuwa habari kwa vile Prof. Gates ni mtu maarufu.

Soma habari zaidi hapa:

http://www.racismreview.com/blog/2009/07/21/racism-in-cambridge-harvard-prof-gates-arrested/

1 comment:

Anonymous said...

The "passerby" who phoned the police is actually the Manager of Circulation and Fundraising for Harvard Magazine [the official alumni publication], which also has its offices on the street where Professor Gates lives. Harvard Magazine has often published articles, with pictures, about Professor Gates.

Maybe they'll soon be looking for a new Manager of Circulation and Fundraising.