Ati raha ya chakula cha kiHindi ni pilipili imfanyayo mlaji atokwe machozi wakati anakula. Raha ya Kung Fu ni kupigana na kupigwa na hata Raha ya mchezo huu ni uwezekano wa kuumizwa
horror!!! sasa ilo pembe lingeenda juu kidigo tu kwenye ubongo au tumboni au kwenye moyo kifuani jamani mchezo hatari huu sijapata kuona umepitwa na wakati
I worked for Tanzania's Daily News for 11 years leaving as a Senior Reporter. I love acting, films, short story writing and cooking. I blog in English and Swahili. I am a member of the Screen Actors Guild (SAG) and AFTRA.
You can contact me at chemiche3@yahoo.com.
5 comments:
Tofauti ya mchezo huu na masumbwi, ni kuwa mshindani mmoja anakuwa hana akili. Lakini kwa ujumla michezo yote hii ni hatari!!!
Ati raha ya chakula cha kiHindi ni pilipili imfanyayo mlaji atokwe machozi wakati anakula. Raha ya Kung Fu ni kupigana na kupigwa na hata Raha ya mchezo huu ni uwezekano wa kuumizwa
Hii inaitwa ajali kazini, siku moja moja lazima na yeye ashinde ndio mtajua umuhimu wa haki za wanyama
horror!!! sasa ilo pembe lingeenda juu kidigo tu kwenye ubongo au tumboni au kwenye moyo kifuani jamani mchezo hatari huu sijapata kuona umepitwa na wakati
Ingeenda kwenye ubongo tungekuwa na kilio leo. Wanasema jama alikuwa handsome na huyo ng'ombe kaharibu uhandsome wake.
Post a Comment