Tuesday, March 08, 2011

Majita Inakuhitaji Sasa

ITIKIA WITO: MAJITA INAKUHITAJI SASA!


Tumia utaalamu na uwezo wako wa uelevu wa hali halisi ya Majita, kuihudumia Majita, kwa maslahi ya Majita!

Nani? Wewe unayetoka Majita, Musoma, popote pale ulipo – hasa uliyestaafu.

Sababu? Kuiendeleza sehemu ya Majita ukijitolea katika kubuni, kupanga, kutekeleza, kupanua na kutathimini mradi-kusudiwa wa maendeleo–ambatana, ambao utakuwa ni ‘not-for-profit NGO’: Majita Integrated Rural Development Initiative.

Ujuzi? Dini, Kilimo, Komputa, Madini, Maji, Mazingira, Menejimenti, Miundombinu, Mistu, Nishati, Sheria, Takwimu, Ualimu, Uandishi/Utangazaji, Uchukuzi/Usafirishaji, Udaktari/Afya, Ufugaji, Ufundi/Ujenzi, Uhasibu, Ukarani, Upishi, Utalii, Utamaduni, Uvuvi . . . . na kadhalika.

Lini?
Mara moja . . . . Sasa hivi . . . . Leo!

Wapi? Ki-jadi, walipanga, walibuni, walitekeleza, walipanua na walitathimini mikakati kama hii, wakikutana uso kwa uso wakikaa chini ya mti (orality culture). Wakati wa mashini (industrial culture), wanagawana umbali wa kusafiri na kukutana katikati ya nchi ( Canberra , Lilongwe , Rawalpindi , Brasilia, Dodoma ). Tulio na bahati ya mtandao (digital culture), tumewezeshwa kufanikiwa kukutana ‘instantaneously’, kana kwamba tumo katika ‘global village’.

E-Mail? romuinja@yahoo.com (au) MUJUNGU@unhcr.org


Omurimu ogukomera gutakorelwe!
Bhamugaire, najayo!

‘If it is to be, it is up to me.

3 comments:

Unknown said...

WACHIKONDYA CHIKOMESHYE

Unknown said...

wachikondya chikomeshye

Unknown said...

wachikondya