Tuesday, November 25, 2008

Mh. Mramba na Mh.Yona Mahakamani!

Waheshimiwa Daniel Yona na Basil Pesambili Mramba wakiwasili mahakama ya Kisutu leo (picha kutoka Michuzi Blog)


Kutoka Ippmedia.com

Mramba, Yona watua kortini

2008-11-25

Na Mwandishi Wetu, Kisutu

Vigogo wawili maarufu ambao walikuwa mawaziri katika Serikali ya awamu ya tatu na mmoja akabahatika kuwa Waziri pia katika Serikali wa awamu ya nne, leo wameburuzwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Jijini Dar es Salaam.

Watuhumiwa hao ni aliyekuwa akiongoza Wizara ya Fedha wakati wa utawala wa Rais Mkapa, Bw. Basil Mramba na mwenzake Daniel Yona, ambaye yeye, hadi kumalizika kwa utawala wa awamu ya tatu wa Mkapa, alikuwa ndiye Waziri wa Nishati na Madini.

Taarifa za kimahakama zinaeleza kuwa, Mawaziri hao wa zamani wanakabiliwa na tuhuma za kutumia madaraka yao vibaya wakati wakiwa madarakani.

Imedaiwa kuwa Mramba na mwenzake Yona waliletwa Kisutu leo asubuhi kwa siri kubwa mno.

Taarifa hizo zimeendelea kueleza kuwa kesi hiyo nzito imepangwa kusikilizwa na hakimu Hezron Mwankenja wa Mahakama hiyo ya Kisutu.

Hata hivyo, hadi ilipokufikia mishale ya saa 3:47 asubuhi, mawaziri hao wa zamani walikuwa bado hawajapandishwa kizimbani, ingawa ilielezwa kuwa tayari walishafikishwa mahala hapo na kuhifadhiwa ndani ya gari moja, nyuma ya jengo la mahakama hiyo.

Imedaiwa zaidi kuwa walikuwa ndani ya gari moja la rangi ya kijani, lenye vioo vya giza (tinted), aina ya Toyota Land Cruiser na ambalo nambari zake za usajili zilikuwa ni zile za magari binafsi, ikiishia na ATD.

Imedaiwa zaidi kuwa Bw. Mramba na Yona, wanatuhumiwa kuyatumia vibaya madaraka yao, hasa kuhusiana na lile sakata la kampuni ya Alex Stewart ya Uingereza na pia Alex Stewart Affairs ya nchini.

Hadi Alasiri likienda mitamboni, mawaziri hao wa zamani walikuwa bado hawajasimamishwa kizimbani.

SOURCE: Alasiri


************************************************************

Kutoka Michuzi Blog


The Mramba-Yona Case


TWO former senior cabinet ministers appeared before the Kisutu Resident Magistrate’s Court in Dar es Salaam today charged with abuse of office and occasioning loss of over 11bn/- to the government.
They have been remanded for failure to meet bail conditions.

Mramba Basil Pesambili and Daniel Aggrey Ndhira Yona, who were Minister for Finance and Minister for Mineral and Energy, respectively are facing a total of 13 counts. They pleaded "not guilty" before Resident Magistrate Hezron Mwankenja.

Thought they appeared composed on the dock as the prosecution read the charges against them, Yona was sweating profusely and kept wiping his face the whole day. Members of the public booed at them as they were being taken to remand.

The magistrate granted them bail, but on stringent conditions requiring each to deposit cash 3.9bn/- and secure two reliable sureties.

He also ordered them to surrender their passports and restrained them to leave the city without court’s permission.

None of them met the conditions and were ordered to remain in remand until December 5, when their case will be mentioned.

Investigations into the case have not been completed, the prosecution, led by a team of five prosecutors told the court.

They are Principal State Attorney Boniface Stanslaus, Senior State Attorney Frederick Manyanga and three officials from the Prevention and Combating of Corruption Bureau (PCCB), Hole Joseph, Benn Linkon and Tabu Mzee.

The then ministers, who are defended by advocates Michael Ngalo, Joseph Tadayo, Sam Mapande, Mafuru Mafuru and Elisa Msuya, arrived at the court premises in a PCCB vehicle, Toyota Land cruiser GX registration number T 319 ATD.

They also boarded the same vehicle when were taken to Keko Remand Prison. Their arraignment was witnessed by several people who jammed at the court premises early in the morning after learing that the duo would be brought there to answer criminal charges.

The charges against the two former ministers are not related with the scandal surrounding the External Payment Arrears (EPA) account of the Bank of Tanzania as previouslyassumed by many.

Both accused are facing jointly five charges of abuse of office and one count of occasioning loss to the government, while Mramba alone faces eight similar counts.
It is alleged that the duo committed the offences between 2002 and 2007 at their respective offices.

The prosecution alleged that between August 2002 and May 28, 2005, being employed in public service and serving as ministers, the duo abused the authority of their offices by doing several decisions.

They include arbitrarily procured M/S Alex Stewart (Assayers) UK and its subsidiary company, M/S Alex Stewart (Assayers) Government Business Corporation to sign and execute gold production assaying agreement in Tanzania in contravention of Public Procurement Act and Mining Act, respectively.

The prosecution alleged that the former ministers left the Alex Stewart (Assayers) Government Business Corporation to sign an addendum extending gold production assaying agreement for two years from June 14, 2005 to June 23, 2007 in contravention of the said Acts.

It is alleged further that the duo invited Dr. Enrique Sugura of the said company to formalise the two years extension before the Government Negotiation Team was convened to work on the matter.

The accused also abstained from attending the mining assayer’s fees issue and submitting the agreement to the Attorney General for vetting as it was recommended by the team consequent upon which act an addendum extending the gold production assaying agreement for two years.

Between June 1003 and May 28, 2005, serving as ministers, willfully and by their failure to take reasonable care or discharge their duties in reasonable manner, the duo unjustifiably allegedly processed a gold production assaying agreement with a clause number 4.3.1.

The prosecution alleged that the said clause led to unjustified tax exemption in favour of M/S Alex Stewart) Assayers) Government Business Corporation, thereby occasioning loss to the government to the tune of 11,752,350,148/-.

While Mramba alone, the prosecution alleged, between October 10, 2004 and November 15, 2005, as Minister for Finance, abused the authority of his office by arbitrarily doing several unjustified decisions.

They include ignoring the recommendation by the Tanzania Revenue Authority (TRA) not to grant tax exemption to M/S Alex Stewart Assayers) Government Business Corporation.

He also allegedly processed and issued Government Notices (GN) No. 423/2003, 424/2003, 497/2004, 498/2004, 377/2005,378/2005, which granted tax exemption to the whole of withholding income tax payable by the said company contrary to the recommendations given by the TRA.

Between 2003 and 2007 in the city, as Minister for Finance, willfully and by his failure to take reasonable care of to discharge his duties in a reasonable manner, Mramba unjustifiably allegedly signed the said government notices.

The said notices, according to the prosecution, had the effect of exempting the said company from paying income tax, thereby occasioning loss to the government of the said 11bn/-.

Monday, November 24, 2008

Obama, hii mitindo ya Nywele ni Marufuku!


Asante mdau D.C. wa Dar kwa kuniletea hii.

Mike Sikawa Laid to Rest


REST IN ETERNAL PEACE MIKE.

*********************************************************************

Kutoka Daily News:

Mike Sikawa laid to rest

CHARLES KIZIGHA in Arusha

Daily News; Monday, November 24, 2008

Former Prime Minister Edward Lowassa, accompanied by his wife Regina, yesterday led hundreds of mourners from all walks of life at the burial of veteran journalist Mike Sikawa at Mareu village in Arumeru district, Arusha region.

The well-attended burial service was preceded by paying last respects at the Mareu Rural Cooperative Society grounds, a stone’s throw away from his place of domicile. Mike was laid to rest at the family’s farm where his father and mother were buried.

Prior to paying last respects several speakers, including Mr Lowassa, described Mike as one of the outstanding journalists in the country and Africa at large. The same was echoed by the head of the BBC Kiswahili Service, Solomon Mugera who led a team of four BBC staff to represent the Broadcasting House.

“Although Mike had been sick for a long time, his colleagues did not know because he did not show any sign and continued working normally. This proved that Mike was a hard working journalist and was ready to go out for assignments without showing any hesitation much as he was sick,” said Mr Mogera.

The mourners, who included the clergymen from various churches, government leaders, representatives from AICC, Tanapa and Retired General Mirisho Sarakikya, said the only way to remember Mike is to continue practicing excellent journalism. Mike joined the 'Daily News' and 'Sunday News' in 1975 until 1994 when he joined the BBC. He begun battling with diabetes in 1978 and underwent several treatments inside and outside the country until November 18 when he lost the battle.

**********************************************

Navyokumbuka mimi aliondoka Daily News 1984. Na siyo 1994. Walibandika notice ubaoni newsroom kutujulisha.

Saturday, November 22, 2008

Tarzan wa Bongo


Mnakumbuka ile hadithi ya Tarzan ya kijana wa kizungu aliyelelewa na wanyama kwenye pori Afrika? Naona huyo kijana Baraka ni Tarzan wa kweli. Vyombo vya habari vya nje vikipata hii habari mtasikia hata Hollywood wanatengeneza sinema juu yake.

*********************************************************************




Mtoto amlilia nyani aliyemlea

2008-11-22
Na Godfrey Monyo


Kijana Baraka Bahati Rose (11) aliyelelewa na nyani porini kwa miaka zaidi ya mitano anamlilia `mama yake` huyo mlezi na akasema kuwa heri asingeuawa.

Alisema nyani huyo aliyemlea ndiye anayempenda zaidi na hakukuwa na haja ya kuuawa.

Bahati alikuwa akizungumza na Nipashe jana jijini Dar es Salaam ilipomtembea kwa lengo la kujua namna anavyoishi.

Alisema hakumbuki wala hajui alifikaje huko msituni ila anajua kuwa kulikuwa na mnyama mkubwa aliyekuwa akimtunza na kumlinda katika majanga yote yaliyokuwa yakitokea msituni kule.

Bahati alisema anakumbuka wakati askari wa wanyamapori walipokuwa wakijaribu kumchukua katika mikono ya nyani huyo alipigwa risasi mguuni jambo ambalo lilimsababishia maumivu makubwa.

Mtoto huyo alisema angependa siku moja kuwa daktari ama polisi na angependa kusoma kama wanavyosoma watoto wengine.

``Nataka kuwa polisi au daktari kama walivyo watu wengine,`` alisema mtoto huyo huku akishika shika vitu na mara nyingine akitaka kukaa chini kana kwamba anataka kuanza kuruka ruka kama nyani.

Mtoto huyo hata hivyo haonekani kama akili zake zimeshakuwa sawa kutokana na uwezo wake mdogo wa kujua mambo ukilinganisha na watoto wengine wenye umri wake.

Aidha, mtoto huyo anazungumza kwa shida kama wanavyofanya watoto wanapoanza kujifunza kuzungumza.

Pia, lafudhi na mpangilio wa maneno ya Kiswahili anayozungumza yana mapungufu mengi.

Naye mama mlezi wa mtoto huyo, Rose Mbwambo, ambaye ndiye aliyekubali kumtunza na kuja naye Dar es Salaam akitokea Shinyanga, alisema imani yake ndiyo iliyomsukuma kumsaidia mtoto huyo.

Alisema kuwa wapo watu wengi wanaoguswa na tatizo la mtoto huyo, lakini wanaogopa kumsaidia.

``Mimi nilipoelezwa namna mtoto huyu anavyopata shida na jinsi alivyookotwa niliamua kumchukua na kuja naye ili apate msaada kwa wasamaria wema wengine,`` alisema mama huyo.

Kuhusu mtoto huyo, alisema kama akichukia hukunja uso na kuwa na sura kama ya nyani kabisa, sio mwoga na anajiamini kupita kiasi.

Aidha, alisema kuwa mtoto huyo ni mbunifu wa mambo mbalimbali na kila akiona kitu lazima ahakikishe anakichunguza hadi akijue.

Nipashe ilipowasiliana na Katibu Tawala Wilaya ya Bukombe mkoani Shinyanga, Michael Nhende, alithibitisha mtoto huyo kuokotwa msituni na alikuwa akiishi na nyani huyo.

Alisema katika eneo la mbuga ya Usanga alipookotwa mtoto huyo hakuna mtu ambaye hajui habari ya Bahati na wala sio habari ya kutunga.

Mtoto huyo aliokolewa kutoka katika mbuga hiyo mwaka 2005 na kupelekwa katika Hospitali ya Ushirombo.

SOURCE: Nipashe

Ubumbumbu wa Sarah Palin Unaendelea!



Kinchoshangaza ni kuwa katoka kumsamehe bata mzinga kama desturi ya magavana wa Marekani wakati wa sikukuu ya Thanksgving. Halalfu hapo anaongea huko nyuma yake bata mzinga wanachinjwa.

Friday, November 21, 2008

Kipanya Asema....

UK Counsulate Official: Get out of my way! As of today, all your visa requests will be processed in Kenya!

Kipanya (Rat Character): You're sucking up to Obama!? Why don't you just close down the Counsulate!

Waziri Mkuu Pinda

Waziri Mizengo Pinda akiwa ndani ya vazi la jadi huku akishika silaha za jadi katika ziara yake ya "kuhimiza maendeleo" mkoani Dodoma hivi karibuni (Picha: Prime Minister's Office).

Asante Faustine's Baraza Blog:

Mwinjilisti na Mkewe Wauawa Tanzania

Namwomba mungu hao waliofanya huo unyama wakamatwe!
Mungu alaze roho za marehemu mahala pema mbinguni. AMEN.

*****************************************************

Kutoka ippmedia.com

Mwinjilisti, mkewe wauawa kwa bomu

2008-11-21

Na Leonard Mubali, Ngara

Mwinjilisti wa Kanisa la Anglikana na mkewe, wakazi wa kijiji cha Mukubu, Tarafa ya Murusagamba, wilaya ya Ngara mkoani Kagera, wameuawa kwa bomu la kutupwa kwa mkono lililorushwa kwenye nyumba yao usiku wa manane wakiwa wamelala.

Bomu hilo lilimkata kichwa Mwinjilisti, Reverian Mlengera (52 ), na kusababisha kifo chake papo hapo.

Tukio hilo lilitokea usiku wa kuamkia juzi baada ya bomu hilo kurushwa katika nyumba ya Mwinjilisti huyo na kundi la watu wasiofahamika.

Ilielezwa kuwa, siku hiyo ya tukio, kundi hilo la watu, lilifika kijijini hapo na kuvunja dirisha la nyumba ya Mwinjilisti huyo na kurusha bomu la mkono kitandani alipokuwa amelala na mkewe ambalo lililipuka na kumkata kichwa huku likimkata mkono wa kulia mkewe, Leokadia Reverian (44).

Hata hivyo, mkewe huyo alipoteza maisha saa chache baadaye kutokana na kuvuja damu nyingi.

Baadhi ya wakazi wa kijiji hicho, waliiambia PST kuwa, baada ya kufanya unyama huo, watu hao waliingia ndani ya nyumba ya Mwinjilisti na kupora redio kaseti moja, kilo 20 za karanga na debe moja la maharage vyote vikiwa na thamani ya Sh. 60,000 na kisha kutokomea.

Mtendaji wa kijiji hicho cha Mkubu, Nicodem Daniel, aliiambia PST kuwa mauaji hayo ni ya kinyama na yamefanywa na watu wanaodhania kuwa wametoka nchi jirani ya Burundi wakishirikiana na baadhi ya wenyeji wasio waaminifu.

Alisema walimlenga marehemu kwa kuwa alikuwa kipingamizi kwa baadhi ya watu waliokuwa wakipita maeneo hayo wakiwa na silaha kuelekea nje ya vijiji hivyo kwani alikuwa mmstari wa mbele katika utoaji taarifa zinazohusu ulinzi na usalama.

Aidha, mtendaji huyo aliongeza kuwa marehemu alikuwa akiwazuia wahamiaji haramu kuingia na kulima katika kijiji hicho suala ambalo wanalihusisha kwa karibu na uvamizi huo uliosababisha kifo chake.

Nicodem alisema tukio hilo la aina yake ni la pili kutokea kijijini hapo ambapo miezi mitatu iliyopita mtu mmoja na mke wake waliuawa kwa kukatwakatwa kwa mapanga katika kitongoji cha Nyakapandi kijijini Mkubu.

Jeshi la polisi wilayani Ngara wamefika eneo la tukio na kuthibitisha kuuawa kwa mwinjilisti huyo.

Mwinjilisti huyo ameacha watoto watatu, mvulana mmoja na wasichana wawili.

SOURCE: Nipashe

Babu Vipi?


Yaani dume ni dume tu! Khaa!


Breaking News - Kitengo cha UKIMWI Muhimibili Kinaungua Moto!

Kutoka: http://mtwarakumekucha.blogspot.com/2008/11/kitengo-cha-ukimwi-muhimbili-chateketea.html

Kuna taarifa iliyosambaa jijini Dar kuwa jengo la kitengo cha ukimwi pamoja na kliniki yao vinateketea kwa moto. Habari zaidi zitaendelea kumiminika baadae. Moto huo umeanzia stoo.

Walimu Wachachamaa Tena!

Walimu wakitafuta majina yao


OFISI za maDC na Maded wa Temeke na Kinondoni leo zilipata matatizo kidogo wakati walimu walipovamia kutaka kujua kulikoni baada ya majina yao kutokuonekana katika karatasi za malipo kwenye mbao.Pichani ni walimu wakiangalia majina yao.Imeelezwa kuwa wilaya ya Kinondoni zaidi ya walimu 200 walijiandikisha kuuliza kulikoni kwingine wakafanya maandamano.

OniSomething is wrong somewhere kwanini taarifa sahihi zisitolewe kuhusu nini kinafanyika mbona watu wanafanya vitu vionekane kama matusi? Na nilipowatafuta jamaa kujazia stori kila mtu akawa anaruka kimanga. Kuna shida kwelikweli na ofisi hizi za umma, utafiti vile wanalinda magunia ya bangi. - Lukwangule
********************************************************
Nami nauliza hivi Tanzania walimu wetu wanadhauruliwa kiasi hicho? Hao walimu wanakazi nzito ya kuelimisha watoto wetu. Kazi wataweza kufanya vizuri kweli kama wanakuwa na wasiwasi wa kulipwa mshahara, tena ambao wamekwishaifanyia kazi? Hii ni aibu sana. Zamani shule za serikali zilikuwa za hakika lakini siku hizi mmmmh!- Chemi

Wednesday, November 19, 2008

Mike Sikawa wa BBC Afariki Dunia

(Mike Sikawa 1982 Dar es Salaam, Tanzania - Mike alinitumia hizi picha nikiwa denti Form Five, Tabora Girls. Mbona nilitamba nazo, kwanza zilikuwa za rangi, halafu pili alikuwa mwandishi wa habari maarufu sana hivyo kujuana naye ilikuwa fahari kweli. Miaka yote hii nimekaa nazo.)

*******************************************************************

Nimepokea habari za kusikitisha sana leo. Mwandishi wa Habari wa BBC, Mike Sikawa, amefariki dunia. Aliwahi kufanya kazi Daily News. Alikuwa na kipaji mkubwa wa kuandika habari mpaka Daily News walimpa 'special privileges'.

Nilikutana naye kwa mara ya kwanza nikiwa nasoma 'A' levels Tabora Girls. Nilikuwa likizo Dar na tuliktana kwenye party Chuo Kikuu cha DSM. Wakati huo Mike Sikawa alikuwa maarufu sana. Nilimwambia kuwa nataka kuwa mwandishi wa habari na yeye alisema kuwa huo kazi haufai mwanamke. Nikamwambia kuwa hata hivyo bado nataka kuwa mwandishi wa habari. Nilianza kazi Daily News Agosti 1984, na baada ya muda mfupi yeye alitoka na kwenda Uingereza. Nilikutana naye tena miaka ya 90 na Mike aliniambia kuwa alijua nitakuwa na mafanikio makubwa katika uandishi wa habari.

Nakumbuka huo ugonjwa wa kisukari ulianza kumsumbua wakati huo na ndo ulimaliza.

Mungu ailaze roho yake mahala pema mbinguni. Amen.

****************************************************
Kutoka Lukwangule Blog:

Mike Sikawa wa BBC afariki dunia

MTANGAZAJI wa idhaa ya Kiswahili ya Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC), Mike Sikawa (55) ,amefariki dunia jana mchana baada ya kusumbuliwa kwa muda mrefu na ugonjwa wa kisukari.

Sikawa, ambaye pia aliwahi kufanya kazi katika Kampuni ya Tanzania Standard Newspapers (TSN) inayomiliki magazeti ya Daily News na HabariLeo, alifariki dunia juzi majira ya saa 8.47 mchana nyumbani kwake Njiro, nje kidogo ya mji wa Arusha.

Kwa mujibu wa mdogo wake marehemu, Mchungaji Charles Sikawa, ndugu yake alikuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa kisukari kwa muda mrefu na kutokewa na kidonda mguuni.
Mchungaji huyo alisema ndugu yake alipata matibabu katika hospitali mbalimbali hapa nchini ikiwamo AICC, KCMC, St. Thomas na Hospitali ya Rufaa ya Muhimbili iliyoko Dar es Salaam lakini hakupata nafuu yoyote.

Alisema ilifika wakati nusura akatwe mguu uliokuwa na kidonda lakini madaktari walifanikiwa kukwangua nyama ya mguu wa kidonda lakini haikuweza kusaidia.
Mchungaji huyo aliendelea kusema kuwa baada ya kuhangaika kwa muda mrefu katika hospitali mbalimbali hapa nchini na kushindwa kupata nafuu, Sikawa alikuwa akipata matibabu akiwa nyumbani kwake hadi alipofikwa na mauti.

Alizaliwa King’ori wilayani Arumeru mkoani Arusha na kusoma elimu ya msingi katika eneo hilo kabla ya kufaulu na kuendelea na elimu ya sekondari katika shule ya Ilboru na Mzumbe ya mkoani Morogoro.

Katika miaka ya 1970, aliajiriwa katika kampuni ya TSN kama mwandishi wa kawaida na baadaye kujiunga na idhaa ya Kiswahili ya BBC kama mtangazaji. Ameacha mjane na watoto wawili ambao wako Amerika ya Kusini.

Mipango ya maziko inasubiri ndugu, jamaa na marafiki walioko nje ya mkoa wa Arusha na sehemu zote alizofanyia kazi.

Wakati huo huo, Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Dk. Asha-Rose Migiro ametuma salamu za rambimbi kutokana na kifo cha mwandishi huyo na kuelezea jinsi alivyoguswa na msiba huo.

Dk. Migiro alisema alipoteuliwa kushika wadhifa huo katika UN, Sikawa alikuwa mwandishi wa kwanza kumtafuta kwa ajili ya kumhoji juu ya uteuzi huo.

Kwa habari zaidi soma:

http://dailynews.habarileo.co.tz/home/index.php?id=8536

Albino Mjamzito Akatwa Mikono Bongo!

Wadau, kwa nini siku hizi tunazidi kusikia habari za kupigwa au kuuliwa wa albino (zeruzeru) Bongo. Mbona zamani tulikuwa hatusikii habari za albino kunyanyaswa hivyo? Khaa! Utu wetu umeenda wapi?

*************************************************
Kutoka ippmedia.com

Albino mjamzito avamiwa usiku


2008-11-19
Na Mwandishi Wetu, Kagera

Mama mmoja mwenye ulemavu wa ngozi yaani albino, ambaye pia ni mjamzito, amevamiwa na watu watatu akiwemo jirani yao usiku wa manane na kumfyeka mikono.

Majeruhi huyo aliyefahamika kwa jina la Bi.Mariamu Stanfod amesema kuwa akiwa amelala na wadogo zake, alivamiwa na wahalifu hao kisha wakamkata mikono na kutoweka.

Amesema kutokana na kupoteza mkono, sasa anahitaji msaada hasa utakapofika wakati wa kujifungua na jinsi ya kumhudumua mototo wake.

Kaimu Mganga Mkuu wa Hospitali Tteule ya Mrugwanza ambayo amelazwa majeruhi huyo, Dk. Maginus Ndolichimpa, amesema mwanamama huyo alikatwa na kitu chenye ncha kali.

Akasema kitu kilichotumika kumkata mikono kilikuwa na kutu inayoozesha vidonda, hali inayowalazimisha kusafisha vidonda hivyo kila siku ili kumnusuru majeruhi huyo na kansa ya mifupa.

Baba mzazi wa Marimu, Bw. Stanfod Bandaba amesema, baada ya kushitushwa na kelele za mtoto wake aliyekuwa akiomba msaada, alitoka nje na kuwakuta wahalifu hao wakiwa wamezingira nyumba yake.

Amesema hata hivyo wahalifu hao walifanikiwa kutoroka ila kutokana na maelezo ya Mariamu wameweza kubaini mmoja ni jirani yao.

Bw. Bandaba amesema wananchi walifanikiwa kumtamata jirani huyo akiwa nyumbani kwake na kumfikisha kituo cha Polisi.

Amesema kwa yeyote atakayegushwa na tukio na angependa kumsaidia Bi. Marimu, atumie akaunti namba 3211601173 au awasiliane na Kaimu Mganga Mkuu wa hospitali hiyo kwa simu namba 0785-424299, au 0755- 8019 17.

SOURCE: Alasiri

Al Qaeda wamtishia Obama

Barack Obama ni rais mteule wa Marekani hata hajaapishwa, na tayari Al Qaeda wanamtumia vitisho! Doh! Wanamtukana na kusema kuwa ingawa baba yake ni mwislamu na kakulia kikristo anawaabudu wayehudi!

Unaweza kupata habari zote CNN.

http://www.cnn.com/2008/US/11/19/obama.alqaeda/index.html

Vitisho vinazidi juu ya maisha ya Barack Obama na familia yake. Kuna wazungu wachache wenye hasira kwa vile kashinda. Wanaona kuwa nguvu ya mzungu Marekani umepungua. Na nasema acha ipungue weusi na watu wengi wasio wazungu wamenyanyaswa kweli hapa Marekani. Hii nchi ina historia chafu na mbaya mno kwa upande wa ubaguzi.

Wataalamu wanasema kuwa Sarah Palin alichochochea huo ubaguzi ambayo tunaiona leo. Watoto wadogo wanasema "Mwue Obama", Misalaba inachomwa kwenye nyumba za weusi, nyumba na magari ya weusi zinachorwa na maneno ya kukashifu weusi na matukio mengi.

Mnaweza kusoma habari zaidi hapa: http://www.timesonline.co.uk/tol/news/world/us_and_americas/us_elections/article5172285.ece
Mimi nadhani Obama atakuwa ni rais mzuri kuliko wote hapa Marekani. Kwanza hapa USA ukiwa mweusi ni lazima uchape kazi mara nne ya mzungu. Hivyo tayari tunajua atachapa kazi zaidi. Watu wana matumaini makubwa juu yake. Obama ana kazi kubwa sana ya kujenga nchi aliyobomoa Bush.

Na naomba kuuliza, Bush yuko wapi siku hizi? Hata zile hotoba zake za kila wiki kwenye redio zimezidi kuwa fupi. Bush kachoka na nadhani siku akiondoka White House atafurahi sana.

Salamu kutoka familia ya Baracka Obama


Familia ya Barack Obama inawatumia salamu za msimu wa sikukuu.

Happy Holidays from the Obama Family

WAPI Novemba

JUMAPILI TAREHE 23 NI SIKU YA WAPI ZANZIBAR

Programu yetu itaanza saa 9 Alasiri Mpaka 2 usiku (3pm-8pm) Ngome Kongwe (Old Fort)

NJOO USHIRIKI NA KUTHIBITISHA UWEZO WAKO KATIKA SANAA, NA PIA USHIRIKI KATIKA MAJADILIANO JUU YA MADA YA MWEZI HUU AMBAYO NI:

SAANA NA UJASIRIAMALI

MENGINEYO YATAKAYOJIRI NI PAMOJA NA:

Mashindano ya uchoraji kwa vijana chini ya miaka 17

Mchakato wa kumtafuta Emsii wa WaPi

Ushindani katika kipaza sauti

WASANII WATAKAOWAKILISHA NI PAMOJA NA

Dr Mjusi na Profesa Kazi – Dar es salaam (Muziki na vichekesho)

Black Roots

Chabi 6 & Mr Mvuto

Zero Kasorobo

Na Ngoma asilia

Tuesday, November 18, 2008

Urgent- Casting Notice African Women

Wadau, hii ni nafasi yenu:

AFRICAN WOMEN’S UJAMBO (GOOD HEALTH) INTIATIVE
CASTING CALL


When:
November 25, 2008

Where:
Boston University Medical Center
Dowling 7
One Boston Medical Center Place
Boston, MA 02118

Time:
12pm to 8pm

Contact:
Bob Dreissig
508-655-3555
MUST CONTACT BY NOV. 19TH TO CONFIRM TIME SLOT

Boston Medical Center and the U.S. DHHS Office of Minority Health is having an open casting for a series of videos directed to African immigrant and refugee women and focusing on issues of women’s health.

We are looking for female African women actors playing the roles of patients, friends, relatives, etc. These are speaking roles. The ages range from teenagers to women in their mid 40’s.

We also need one African male, who plays the role of a husband. His age is between 25 and 45.

We need Extras with non-speaking roles. The ages range from 5 – 35.

All cast personnel must be available for Rehearsal on Friday, December 5, 2008 and for Shoot days from December 2 – 11. We will only be shooting two of these days. As of now, we are focusing on Tuesday and Wednesday, December 9 & 10.

These are paying roles and you must contact Bob Dreissig from Playback, Inc. at 508-655-3555 for more details.

Saturday, November 15, 2008

Swahili Time itarudi Jumatano 11-19-08

Wadau, niko safarini. Blog itakuwa updated Jumatano ijayo November 19, 2008.

Thursday, November 13, 2008

Tiba ya UKIMWI!!!


Wadau, hivi kweli inawezekana tiba imepatika ya UKIMWI? Ila navyoona kama ni tiba itakuwa ghali sana. Hizo tiba za kansa zina bei kweli.

Tuombe kuwa hii tiba ni tiba ambayo dunia umeusubiri kwa muda mrefu mno na utaponyesha watu wengi walioathirika na UKIMWI na virusi vya UKIMWI.


*******************************************************************

Kutoka: http://www.dw-world.de/dw/article/0,2144,3787690,00.html

Cancer Treatment Might Offer Clue To AIDS Cure

Doctors at a Berlin hospital were surprised to discover that, while treating a man for cancer, they also rid his blood of the HIV virus. This could yield a new direction in the fight against AIDS.

The patient in question was a 42-year-old American living in Berlin who was undergoing a bone marrow transplant at that city's Charite hospital.

The bone-marrow donors were selected because they possessed a rare HIV-resistant genetic mutation since the man had to stop taking AIDS-inhibiting medication for the cancer treatment to work.

On Wednesday, Nov. 12, doctors announced that after two years of treatment, not only had the patient not contracted AIDS -- his blood now appeared to be clear of HIV infection.

"There is no longer demonstrable evidence that the patient is infected," Eckhard Thiel, Director of Charite's Clinic for Hematology and Oncology, told reporters. "We're very happy and proud to have achieved this breakthrough."

Thiel added that the result was the first of its kind ever recorded in the world.

The question is now: What could it mean in the search for a cure for HIV-AIDS?

No immediate remedy
Some 2 million people died of AIDS in 2005

Scientists cautioned that the fact that the HIV virus can no longer be detected in the patient's blood stream does not necessarily mean it is absent from his entire body.

"The HIV virus could be in the spleen, the lymph nodes, the nerve cells -- anywhere really," Norbert Brockmeyer, a clinic director at the university hospital of Bochum, told the online edition of the news magazine Der Spiegel.

And even if effective against HIV, several factors argue against the idea that similar treatments could be carried out on a wide-spread basis.

Bone marrow transplants and the accompanying chemotherapy are themselves dangerous procedures, and the patient in question was fortunate in having a genetic make-up that allowed for an unusually high number of potential donors.

Charite doctors say they are monitoring the patient's health and are prepared to put him back on anti-retroviral drugs if the HIV infection reappears.

"We cannot say with certainty that the virus won't begin replicating itself in the future," Thomas Schneider, Charite's Director of Infectology, told a press conference. "But the mere fact that it hasn't yet done so, is a minor sensation."

More research will be needed to determine what exact significance, if any, the breakthrough at the Charite has for the overall fight against AIDS.

Today, more than 38 million people, mostly in Africa and Asia, are estimated to be infected with HIV, the virus which causes AIDS.

Wimbo 'Barack's House'


Wadau, ni lazima msikilize huu wimbo! SAFI MNO!


UPDATE - Kifo cha Miriam Makeba 'Mama Africa'

Body of S African singing legend Makeba arrives home

JOHANNESBURG (AFP) — South African singing legend and activist "Mama Africa" Miriam Makeba on Wednesday made her final journey home, arriving in Johannesburg from Italy where she died age 76.

Makeba's wooden coffin was met at OR Tambo Airport by the singer's family, who were joined by arts minister Pallo Jordan and several prominent South African musicians.

Family and friends led a procession of cars to take the coffin from the airport to a mortuary in Soweto, radio reports said.

The South African cabinet was discussing a state funeral for Makeba during its weekly meeting, said arts ministry spokesman Sandile Memela.

"There is no doubt that the whole question of whether Mama Africa should recieve a state funeral will definitely come up," said Memela.

"A decision has not yet been made but it is hoped that at the end of the meeting... we'll know what the plans are."

Makeba's band, who returned to South Africa on Tuesday, gave details of the star's final concert to the local media.

"She was enjoying herself," Zamo Mbutho, a backing singer and composer with the band, told the Sowetan newspaper.

The audience had loved her performance, althought she played fewer songs than originally planned. She finished off with "Pata Pata", one of her best known hits, he added.

"After the song she thanked the audience, blew kisses at them with a radiant smile and left the stage. As she went past me, she put the mic on the drum. As she went down the stairs, she fell."

"It was the first time she left alone," guitarist Mandla Zikalala told the Star.

Born in Johannesburg on March 4, 1932, Makeba was one of Africa's best known singers, famed for hits such as "Pata Pata" and "The Click Song" but also for speaking out about the abuses of apartheid.

South Africa's white regime revoked Makeba's citizenship in 1960 and even refused to let her return for her mother's funeral. The singer spent more than three decades in exile, living in the United States, Guinea and Europe.

Makeba won a Grammy award for Best Folk Recording with US singer Harry Belafonte in 1965. But her music was outlawed in her homeland after she appeared in an anti-apartheid film.

"I kept my culture. I kept the music of my roots," she said in her biography. "Through my music I became this voice and image of Africa, and the people, without even realising."

While she was still in enforced exile, she performed with Paul Simon in the US singer's 1987 Graceland concert in Zimbabwe, neighbouring South Africa.

She finally returned to her homeland in the 1990s after Nelson Mandela was released from prison, as the apartheid system they had both fought for so long began to be dismantled.

But it took her six years to find someone in the South African recording industry to produce a record with her. She entitled it "Homeland."

Ajaribu Kuuza Mke Wake Zeruzeru

Wadau, huyo mwanaume ni mshenzi kupindukia! Naomba akamatwe na anyongwe hadharani! Yaani jamaa alitaka kumwuza mke wake ambaye ni zeruzeru albino. Hivi alimwoa kwa nia gani, kumwuza?

Bora wazazi wamchukue binti wao maana huyo jamaa alikuwa ni shetani!


******************************************************************

Kutoka BBC News


Man 'tried to sell' albino wife

This albino grave was sealed to stop people digging up the body
Police in southern Tanzania say they have arrested a man accused of attempting to sell his albino wife.

The man was allegedly planning to sell his wife to two Congolese businessmen for around $3,000.

Albinos have been living in fear in Tanzania after a series of killings due to a belief their body parts can make magic potions more effective.

At least 27 people with albinism have been killed since March, including a seven-month old baby.
President Jakaya Kikwete ordered a police crackdown on those involved in the killings, and 170 witchdoctors have since been arrested.

But BBC investigations suggest that some police are being "bought off" in order to look away when such crimes are committed.

Angry parents

Rukwa regional police commander Isunto Damian Mantage said the fisherman was arrested following a tip-off from an informer, according to the Daily News newspaper.

His wife was not aware that he was planning to sell her off, police say.

Mr Mantage says the wife's angry parents have decided to take back their daughter.

The businessmen managed to escape arrest, and are suspected to have fled back to the Democratic Republic of Congo.

The police have asked Interpol to help track them down, the newspaper reported.

The recent attacks on albinos have been linked to witchdoctors who are peddling the belief that potions made from an albino's legs, hair, hands, and blood can make a person rich.

Albinism affects one in 20,000 people worldwide, but in Tanzania the prevalence appears to be much higher.

The Albino Association of Tanzania says that although just 4,000 albinos are officially registered in the country, they believe the actual number could be as high as 173,000.

A census is now underway to verify the figures.

************************************************************************

Wadau, ni kwa nini Tanzania tuna idadi kubwa ya albino kuliko nchi zingine?

Wednesday, November 12, 2008

Hotoba ya Mwalimu Nyeyere

Asante sana Da Subi kwa hii:

****************************************

Karibu kumsikiliza Mwalimu J.K Nyerere katika hotuba aliyoitoa sikuya Jumanne, Machi 14, 1995 katika iliyokuwa hoteli ya Kilimanjaro.

Hotuba ya Mwl. J.K Nyerere siku ya Jumanne Machi 14, 1995 (sehemu ya1/3)

Subi

Tuesday, November 11, 2008

Habari Moto moto

Kwa habari moto moto tembelea:

Blogu BONGO YETU

www.bongoyetu.com

Utabiri wa Robert Kennedy

Marehemu Robert Kennedy, mdogo wake John F. Kennedy ambaye aliuawawa mwaka 1963 akiwa rais wa Marekani, alitabiri mwaka 1968 kuwa huenda baada ya miaka 40 mtu mweusi ataweza kuwa rais.



Just for common knowledge: Negro was the politically correct term for identifying black people in the 1960?s, instead of the other word, so Bobby Kennedy was being quite respectful to Black (African Americans) in that aspect when he gave this quote at that time.

But aside from that, his words were prophetic. Kennedy said this in 1968, here it is 2008? Exactly FORTY YEARS LATER!!! One of those things that make you say hmmm.

Monday, November 10, 2008

Miriam Makeba akiimba Pata Pata



Miriam Makeba akiimba Brazil 1968.

Rest in Peace - Miriam Makeba 'Mama Africa'


Miriam Makeba akiimba huko Italia jana muda mfupi kabla ya kifo chake. Watu waliokuwepo wanasema aliimba vizuri mno na alivyomaliza walikuwa wanataka aimbe tena, lakini ndo alishaanguka na kukimbizwa hospitalini.



Miriam Makeba 1932-2008

Mwimbaji maarufu wa Afrika Kusini, Mama Miriam Makeba amefariki dunia huko Italia. Habari zinasema kuwa alikuwa anafanya oncert huko na alianguka mara baada ya kumaliza kuimba. Wanasema kuwa alipata ugonjwa wa moyo (Heart attack). Mama Makeba alikuwa na miaka 76.

Alikuwa ni mcheza sinema pia, aliigiza kama mama yake, Sarafina, kaitika sinema Sarafina, na sinema zingine.

Nyimbo zake kama Malaika, Pata Pata, The Click song na Jikele Maweni zilikuwa maarufu sana miaka ya 60 na 70 na pia aliwahi kushinda tuzo la Grammy Marekani.

Mungu ailaze roho yake mahala pema mbinguni. AMEN.

REST IN PEACE MAMA AFRICA.
************************************************************************

South African Singer Miriam Makeba Dies

November 10, 2008 ,

Diane Coetzer, Johannesburg

South Africans are mourning the loss of Grammy-winning singer Miriam Makeba, who died in Italy last night (Nov. 9).

The singer has been described as "one of the greatest songstresses of our time," by the country's Foreign Affairs Minister Nkosazana Dlamini-Zuma, and tributes to Makeba are pouring in from her creative collaborators.

Makeba died at the Veneto Verde hospital near Naples after performing at the Castel Volturno.

Although no official word has been received of the cause of death, the 76-year-old reportedly suffered a heart attack after taking part in a concert for Roberto Saviano, a writer threatened with death by the Mafia over his expose "Gomorrah." Her last performance was a half-hour set alongside other singers and artists.

Makeba's publicist, Cape Town-based Marc le Chat, has confirmed that the singer had been struggling with arthritis over the past years but had still been accepting key live dates.

Many here are seeing it as important that "Mama Africa" -- as Makeba was dubbed -- died after performing for a cause that puts human rights in the spotlight.

Makeba had first come to fame as a singer with the Manhattan Brothers in the 1950s. She later formed her own group, the Skylarks, and joined the cast of the now iconic musical "King Kong." In 1959 she starred in the anti-apartheid documentary "Come Back, Africa," which led to a meeting with Harry Belafonte, who helped Makeba gain entry to the United States, where she lived in exile.

Among her many notable achievements was becoming the first African woman to win a Grammy, gor Best Folk Recording in 1966 with Belafonte for "An Evening With Belafonte/Makeba." Makeba also scored hits with "Pata Pata" and "The Click Song."

http://ap.google.com/article/ALeqM5jK_Aed0fG4UHhDXEI2SuOdZLDKHAD94C29N80

Sunday, November 09, 2008

Majina ya Watoto Bukoba

Nimeletewa hii kwa e-mail, sijui kama ni utani au ni kweli.

***************************************************************************

Yafuatayo ni majina ya watoto waliozaliwa Juzi huko Kanyigo Bukoba Kagera Baada ya Obama kushinda Uchaguzi mkuu wa USA:

Rweobama
Mutayobama
Barackruigumbiza
Kokubama
Rutobama
Rweimobama
RutashyObama
Rugabaraka
Muchungobama
Rugaimobama
Barakagemalira
Obamuwegasira
Kalokobama
baraka Rutabanzibwa
Rumanyikobama
Mugyabusobama
Ishengobama

Wapenzi wa Obama Uturuki


Asante nifahamishe.com kwa kuleta habari hizi.

*********************************************************************

Kijiji Uturuki chachinja kondoo 44 kumtolea kafara Obama

Baada ya Barack Obama kuchaguliwa kuwa rais wa 44 wa Marekani
wanakijiji wa Cavustepe katika Mkoa wa Van nchini Uturuki wameamua
kumtolea kafara mheshimiwa Obama kwa kumchinjia kondoo 44.

kwa habari kamili na picha zaidi link ni

http://www.nifahamishe.com/newsindetails.aspx?Cat=2&&NewsId=288238

Visit http://www.nifahamishe.com/ for Tanzania and world news

Saturday, November 08, 2008

Casting Call - The Cougar

CASTING FOR THE COUGAR - Reality TV Show

The search is on for charming, attractive, adventurous guys 21-29 are interested in vying for the attention of a successful, smokin’ hot, older woman!
If you or someone you know fits the bill, then meet us for our OPEN CALL at:

FELT Boston
533 Washington St. Boston, MA 02111
Saturday, November 15, 2008
9PM-Midnight

*To submit via home tape if you are unable to attend the casting event, please email contact information & recent pictures to:
Bethany@kasstinginc.com*




Friday, November 07, 2008

Sura ya Obama Ichongwe Mt. Rushmore!

Na mimi nadhani Barack Obama anastahili nafasi huko Mt. Rushmore. Sura za marais huko ni,
Baba wa Taifa wa Marekani George Washington, Rais Thomas Jefferson, Abraham Lincoln na Theodore Roosevelt.

Picha hii ni asante Photoshop.

Mbwa wa Rais Bush amwuma Mwandishi wa Habari

Barney Bush na master wake Rais Bush (Bush anasema kuwa Barney ni mtoto wake wa kiume)
Kadi ya salamu kutoka kwa Barney Bush
Barney akimwuma Jonathan Decker

Mbwa wa rais Bush, Barney, jana alimwuma kwenye kidole, mwandishi wa habari wa Reuters, Jonathan Decker. Decker alitaka ku-pet kichwani ndo Barney kamwuma.
Mimi nashangaa wazungu hapa Marekani. Kila jibwa wanataka kumpeti. Na pia unatakiwa kumpeti mbwa wa watu hata kama hutaki ilikuonyesha urafiki. Kwa kweli hapa Marekani mbwa wengi wamezoea zoea kuwa petted na watu wasiowajua. Kuna madai kuwa mbwa anakuwa na hasira za master wake. Hivi ina maana Rais Bush saa hizi ana hasira kutokana na ushindi wa Obama?
Kuna madai kuwa si mara ya kwanza kwa Barney Bush kumwuma mtu. Amewahi kuuma wageni waliotembelea White House.
Wachekesaji wametoa sababu saba za Barney Bush kumwuma Decker:
1. Barney was tired of all of the bad press
2. Barney was fearful that the reporter was a terrorist
3. Barney was giving the reporter the traditional White House greeting
4. Barney was showing everyone who really runs the Bush household
5. Barney was bored and trying to get Bush to stop watching the Country Channel
6. Barney was trying to do one more thing to make sure no one forgets about Bush
7. Barney was saying "good-bye." Just like Bush, he knows his days are number.

Kwa habari zaidi someni:

Thursday, November 06, 2008

Wamtoa Padre Kiazi Matakoni!


Huko Uingereza kuna padre katolewa kiazi matakoni wikiendi hii iliyopita. Ni kweli kabisa.

Padre alivyofika hospitalini (Sheffield Northern General Hospital) alidai kuwa eti alikuwa anatundika mapazia kwenye dirisha halafu kaanguka kwenye meza na kukalia hicho kiazi! Eti alikuwa uchi wakati anatundika hizo pazia! Khaa!
Wakati iko huko aliweza kwenda haja kubwa kweli? Au, ilikuwa kama kizibo ndo maana aliamua kwenda hospitalini.

Nauliza huyo padre alikuwa anafanya nini na hiyo kiazi kweli? Duniani kuna mambo.

Sarah Palin Alivyo Mbumbumbu


Wadau, Bill O'Reilly amekasirika kuwa McCain kashindwa. Sasa anamwumbua Sarah Palin. Anamlaumu Palin kwa kushindwa kwa McCain! Na ni kweli walimzuia kufanya interviews kwa sababu walijua hana akili!

Lazima mtazame hii clip kutoka O'Reilly factor. Yaani Palin alidhani kuwa Africa ni nchi moja na hakuweza kutaja nchi za Marekani Kaskazini!


****************************************************

Republicans wamekasirika ile mbaya! Hebu cheki hii story katika Newsweek:

NEWSWEEK has also learned that Palin's shopping spree at high-end department stores was more extensive than previously reported. While publicly supporting Palin, McCain's top advisers privately fumed at what they regarded as her outrageous profligacy. One senior aide said that Nicolle Wallace had told Palin to buy three suits for the convention and hire a stylist. But instead, the vice presidential nominee began buying for herself and her family—clothes and accessories from top stores such as Saks Fifth Avenue and Neiman Marcus. According to two knowledgeable sources, a vast majority of the clothes were bought by a wealthy donor, who was shocked when he got the bill. Palin also used low-level staffers to buy some of the clothes on their credit cards. The McCain campaign found out last week when the aides sought reimbursement. One aide estimated that she spent "tens of thousands" more than the reported $150,000, and that $20,000 to $40,000 went to buy clothes for her husband. Some articles of clothing have apparently been lost. An angry aide characterized the shopping spree as "Wasilla hillbillies looting Neiman Marcus from coast to coast," and said the truth will eventually come out when the Republican Party audits its books.

A Palin aide said: "Governor Palin was not directing staffers to put anything on their personal credit cards, and anything that staffers put on their credit cards has been reimbursed, like an expense. Nasty and false accusations following a defeat say more about the person who made them than they do about Governor Palin."

McCain himself rarely spoke to Palin during the campaign, and aides kept him in the dark about the details of her spending on clothes because they were sure he would be offended. Palin asked to speak along with McCain at his Arizona concession speech Tuesday night, but campaign strategist Steve Schmidt vetoed the request.

http://www.newsweek.com/id/167581

Wednesday, November 05, 2008

Tangazo Kwa Watu Weusi Wote Marekani!

NImepata hii kwa e-mail leo. Ni kwelki weusi wengine wame call in sick ile washerekee!

*************************************************

This may be the end of Affirmative Action. I am still celebrating.


SOMEONE WROTE:After watching the final debate last week it dawned on me that Obama could actually win this thing! If that happens there will be a lot of people (some of our co-workers included) who will be afraid that an Obama presidency will usher in the end of days. They'll be watching us on November 5th (the day after the election) for 'signs of the end' times. To keep the peace and keep a lot of folks from getting nervous, I think we should develop a list of acceptable celebrations and
behaviors we should probably avoid - at least for the first few days:

1) No crying, hugging or shouting 'Thank you, Lord' – at least not in public.

2) No high-fives - at least not unless the area is clear and there are no witnesses.

3) No laughing at the McCain/Palin supporters.

4) No calling in sick on November 5th. They'll get nervous if too many of us don't show up.

5) We're allowed to give each other knowing winks or nods in passing. Just try to keep from grinning too hard.

6) No singing loudly, 'We've Come This Far By Faith' (it WILL be acceptable to hum softly).

7) No bringing barbeque ribs or fried chicken for lunch in the company lunchroom for at least a week (no chitterlings AT ALL! This may make us seem too ethnic.)

8) No leaving Kool-aid packages at the water fountain.

9) No Cupid Shuffle during breaks (this could indicate a little too much excitement.)

10) Please no Moving On Up music (we are going to try to remain humble.)11) No grits, chicken & waffles and half & half for breakfast in the office12) No Obama Shuffle on the back parking lot or down the hall to the conference room.
13) No singing loudly…"Ain't No stopping Us now"
14) No block parties circling the perimeter of the White (Black) House

If I've missed anything, feel free to add to the list. I just want to make sure we're all on the same page when Obama brings this thing home on November 5th. Now let's make this thing happen!!!

Kesho ni Sikukuu Kenya


Huko Kenya kesho ni sikukuu. Rais Mwai Kibaki wa Kenya ametangaza kuwa siku ya Alhamisi itakuwa sikukuu ya kusherekea ushindi wa mwana wa Kenya, Barack Obama. Kwa kweli waafrika tujivunie! Tushanglie ushindi wa Barack Obama!

Bibi yake Obama, Sarah Obama, anashangalia kwa kucheza kuko Kogelo. Nadhani hakujua kuwa mjukuu wake atakuwa rais wa Marekani.

Viongozi Wapya wa Marekani

Picha na Damon Winter/The New York Times
Senator Barack Obama na mke wake, Michelle, and Senator Joseph R. Biden Jr. na mke wake, Jill, mjini Chicago jana mara baada ya ushindi wa Obama kutangazwa!


Tuesday, November 04, 2008

Barack Obama Ashinda Uchaguzi 2008!


Barack Obama ni Rais Mteule wa Marekani!!!! Senator wa Delaware Joe Biden, atakuwa makamu wa rais. Mungu yu mwema! Waafrika na hasa sisi kutoka Afrika Mashariki Tujivunie!
OBAMA UBARIKIWE!
Ataapiswha kuwa Rais siku ya Januari 20, 2009 huko Washington, D.C.! Atakuwa rais wa 44 wa Marekani.
Wengi Tunalia machozi ya furaha usiku huu! Sasa kiti cha USenator wa Obama, Illinois iko wazi na kiti cha Gavana wa Delaware kiko wazi.

WaTanzania Wamshabikia Obama - CNN

Hongereni kaka Maggid Mjengwa na Alex Mayunga kwa kuonesha ujasiriamali kwa vitendo katika kinyang'anyiro cha uchaguzi wa raisi Marekani. Mmeweza kutumia nafasi na wasaa ipasavyo!

Waweza kutizama CNN Video hapa: http://nukta77.com/matangazo.aspx

Subi

Njama za Republicans Kuzuia Kura za Obama!

Jamani, hao Republicans ni wachafu na wasio na haya hata kidogo! Katika uchaguzi uliopita walifanya juu chini na hatimaye waliweza kuzuia kura za John Kerry. Matokeo yake tulipata Bush Part II Take II! Sasa wameanza fujo zao tena!

********************************************

November 4, 2008

Obama supporters targeted in bogus messages

(CNN) — Voters in several states have receiving bogus text messages or e-mail urging supporters of Democratic presidential candidate Barack Obama to put off voting until Wednesday because of long lines, spurring threats of prosecution in at least two states.

The messages — a perennial election stunt — popped up Tuesday on mobile phones and computers in the battleground states of Florida, Virginia and Missouri, as well as in several other states. One falsely claimed to be a "CNN breaking news" alert.

"All Obama voters, due to long delays, are asked to wait and vote tomorrow 11/05," that message stated.

Election Day is a one-day event, of course — and in a statement issued Tuesday, Missouri Secretary of State Robin Carnahan said she had "no tolerance" for anyone attempting to confuse voters.

"I am working with local election officials around the state to make sure poll workers and voters understand their rights," said Carnahan, a Democrat.

"Anyone attempting to deprive voters of their rights on Election Day will be prosecuted."

In Maryland, a spokeswoman for Attorney General Douglas Gansler said his office had passed along complaints about the messages to the U.S. Justice Department and state prosecutors.

Similar messages were reported in Texas, Mississippi, Alabama, Maryland and Arkansas.

In Virginia, hackers breached the computer network at George Mason University to send the message, university Provost Peter Stearns told students, faculty and staff in an e-mail denouncing the hoax.

"I am sure everybody realizes this is a hoax," he said. "It is also a serious offense, and we are looking into it. Please be reminded that Election Day is today, November 4th."

A flyer with a similar message was spread around the Hampton Roads area of southeast Virginia last week. Virginia State Police said Monday that they would not bring charges against the man who printed them, and state Board of
Elections Secretary Nancy Rodriguez called the flyers "a joke that got out of control."

Filed under: Voter Problems

Bado Kidogo


Bado kidogo tutajua matokeo ya uchaguzi 2008! Baada ya masaa mawili tutaanza kusika matokeo ya kura zilizopigwa katika majimbo mbalimbali ya Marekani.

Natabiri kuwa Obama atashinda kwa kura nyingi sana.
Mungu azidi kumlinda Obama na familia yake. Kuna wazungu wenye roho za kibaguzi ambao wanasema kuwa wamepania kumwua kabla ya January 20, 2009 kama atashinda urais.

Kaka Yake Obama



Huyu ni Malik Obama (mwenye miwani), kaka yake Senator Barack Obama ambaye leo jioni huenda akawa rais mteule wa Marekani. Malik ni mtoto wa mke mwingine wa mzee Barack H. Obama.

Hapa Marekani watu wanashangaa jinsi waafrika wanavyokuwa na wake wengi.
Ndugu wa Obama wamekusanyika huko kwao Kogelo, Kenya kusikia matokeo ya uchaguzi.

Mr. Universe Tanzania 2008 - David Nyombo

Wadau, tumezoea kuona wanawake katika mashindano ya urembo. Sasa cheki huku kaka kwenye mashindano ya Mr. Universe! Na sisi wanawake tunataka kuona eye candy pia!

********************************************
Kutoka Michuzi Blog:

Mwakilishi wa Tanzania katika Mr Universe David Nyombo (pichani) akionyesha jinsi anavyoweza kuifanya vitu vyake. Mwamba huyu ni mshindi wa Afrika mwaka 2008 katika kategori ya kilo 70 kwa mchezo huu, sasa anakwenda Bahrain, kufanya vitu vyake.

Huko anakwenda kuiwakilisha Tanzania na Afrika katika mashindano ya 62 ya watunisha misuli ya ridhaa ya Dunia yanayofanyika kuanzia Novemba Mosi mpaka 7.

Mwamba huyu ambaye alizaliwa Mei 13, 1975, jijini Dar es Salaam ni mtunisha misuli wa kwanza Tanzania kushiriki katika mashindano ya Mr Universe Afrika kutoka mwaka 2002.

Uchaguzi Leo!


Leo mamilioni ya waMarekani wanapiga kura katika uchaguzi wa kihistoria. Huenda Mmarekani mweusi (Barack Obama) atashinda urais kwa mara ya kwanza katika historia ya nchi hii. Au huenda mzee kuliko marais (John McCain) wote atashinda na mwanamke (Sarah Palin) atakuwa wa kwanza kuwa makamu rais.

Tutajua matokeo jioni. Leo kila ukipita foleni za watu wanaongojea kupiga kura ni ndefu.

Mungu azidi kumlinda Barack Obama na familia yake!

Monday, November 03, 2008

Bibi yake Obama Amefariki


Bibi yake Senator Barack Obama, mzaa mama yake amefariki dunia, masaa kabla ya waMarekani kuanza kupiga kura katika uchaguzi wa rais 2008. habari zinasema kuwa Bibi Madelyn Dunham (86) amefariki dunia hukoHawaii usiku wa kuamkia leo.

REST IN PEACE MADELYN DUNHAM

Kwa habari zaidi someni:

http://www.cnn.com/2008/POLITICS/11/03/obama.grandma/index.html

Treni Pakistan


Ndio maana ukimwambia mhindi umefika kwao wananyamaza kimya!

Uchaguzi Marekani - Anavyoiona Gado

Gado amepatia kweli!


Sarah Palin kawa 'Punked'


Kuna watu wanaowaita wachekeshaji fulani wa Canada mashujaa leo. Kisa, walimpanku Sarah Palin. Walimpigia simu Palin, wakidai kuwa ni rais wa Ufaransa, Bwana Sarkozy. Jamani, Palin ni mbumbumbu kweli maana ukisikiliza utajua kuwa ni accent feki ya kifaransa. Lakini tutegemee nini ktoka kwa mtu ambaye ujuzi wake katika mambo ya nchi za nje ni kuweza kuona Urusi kutoka nyumbani kwake huko Alaska. Inatisha kama mtu ambaye anaweza kuwa punked hivyo anawezakuwa rais wa nchi!

Chini Cyrus Farivar anachambua simu aliyopigiwa:


Kusikiliza simu Bofya hapa: http://www.asiaone.com/Multimedia/News/Story/A1Multimedia20081103-4791.html

***********************************************************************

Oh, Canada: The Palin prank explained

Probably the best thing I read this weekend was the fact that Sarah Palin got pranked in a call by the Montreal comedy duo Les justiciers masqués (the Masked Avengers). The call, which goes on for nearly seven minutes, is full of French and French Canadian references, all of which are lost on the hapless governor -- and apparently on the Washington Post, which failed to translate some of the best parts of the joke. Fortunately for you guys, my French skills and the Internet helped me figure out the rest.

Thanks to the Globe and Mail for a fuller, and more accurate, transcript than the one provided by CTV via the Washington Post -- which, however, included the first few seconds in its transcript.

Around 0:04:

RADIO HOST: Hi, this is (French name), I am with president Sarkozy, on the line for Gov. Palin.
The actual name used was "Franc Ouvrier" -- which means Frank Worker -- as in generic French worker.

Anyway, back to the Globe and Mail's transcript:

Around 1:00:

A: I follow your campaigns closely with my special American adviser Johnny Hallyday, you know?

Johnny Hallyday, as anyone who's ever taken a French class or traveled to France ought to know, is France's biggest aging rock star, who sings in French, but in a "yeah-yeah" (or, in French, yé-yé), America circa 1950s-influenced style. According to the BBC, Hallyday supported Sarkozy in the 2007 French presidential election.

Around 2:05:

A: Exactly, we could try go hunting by helicopter like you did. I never did that. Like we say in French, on pourrait tuer des bebe phoques, aussi.

"Le phoque" is the French word for seal, and comedically, it sounds a lot like the English word "fuck."

So the sentence in French means: "We could go kill baby seals, too."

Around 2:50:

That's the thing that I said to my great friend, the prime minister of Canada Stef Carse.

As the governor of a state that borders Canada, you'd think that Palin would know that the prime minister of Canada is actually Stephen Harper. Also, Stef Carse is a famous Quebecois country singer.

Around 3:10:

A: I was wondering because you are so next to him, one of my good friends, the prime minister of Quebec, Mr. Richard Z. Sirois, have you met him recently? Did he come to one of your rallies?

Richard Z. Sirois is one of the co-hosts of Audette and Trudel's radio show, "Les Cerveaux de l'info," on CKOI-FM in Montreal.

Also, while to an American ear the "prime minister of Quebec" sounds obviously false, the Masked Avengers' Wikipedia page notes:

Although the term they used was in fact "Prime Minister of Quebec," this is merely an atypical usage and not an inherently incorrect or deliberately misleading one. While Canadian English has a usage convention of reserving the title "Prime Minister" for the Prime Minister of Canada and using "Premier" for the equivalent position in a province or territory, in their actual meanings the terms are strictly interchangeable. Furthermore, Canadian French does not have separate words for the two positions, using premier ministre for both -- accordingly, when speaking English, Canadian francophones will often refer to the prime minister of a province.

Around 4:05:

A: Yes, in French it's called de rouge a levre sur un cochon, or if you prefer in English, Joe the Plumber ... it's his life, Joe the Plumber.

"Rouge à sur un cochon" means "lipstick on a pig."

Around 5:02:

A: Gov. Palin, I love the documentary they made on your life. You know Hustler's Nailin' Paylin?
This, of course, is a reference to the recent porn film "Nailin' Paylin."

The pranksters then let Gov. Palin in on the joke and she promptly hung up on them.

The Masked Avengers have their own official YouTube channel, but don't have some of their other famous pranks, including this call with the real President Sarkozy. These guys have also pulled off pranks against Bill Gates, Britney Spears and former French President Jacques Chirac.
I wasn't able to find links to online audio for those calls but would love to hear them. Anyone else able to locate them? Merci d'avance!

― Cyrus Farivar

Kwa habari zaidi someni:

http://www.theglobeandmail.com/servlet/story/LAC.20081103.PALIN03/TPStory/National

http://www.bostonherald.com/news/politics/2008/view.bg?articleid=1129569

http://newsbusters.org/blogs/kyle-drennen/2008/11/03/cbs-early-show-touts-sarah-palin-prank-phone-call

Saturday, November 01, 2008

Simu za Mikononi Bongo

This is a fact, you may verify yourself. Written by Voda customer who is tied of voda:

Calling Voda to Voda is Tshs 360 per minute. Calling from Voda to other networks in the country is Tshs 560 per minute. Voda SMS to all networks is Tshs 60 per sms.
Ok,Calling Tigo to Tigo Tshs 300 per minute. Calling from Tigo to other networks in the country is Tshs 360 per minute. Tigo sms to all networks is Tshs 45 per sms.
Calling Zantel to Zantel is Tshs 250 per minute. Calling from Zantel to other networks in the country is Tshs 275 per minute.

Just by looking above assuming calling/usage time is constant, Tigo customers would spend more than 40% or 50% (depending on other packages listed below) less compared to Voda customer whereas Zantel customer would spend less than 55% compared to voda customer.Assume Voda customer use 100,000 per month, then Tigo would use less than Tshs 60,000 whereas Zantel customer would use just some shs above 40,000.

For a voda customer spending Tshs 50,000 per month, Tigo customer would spend a range of Tshs 20,000 to 30,000 per month, whereas Zantel customer could spend even less.

Other packages!1. Tigo has extreme call package whereby you subscribe Tshs 1500 and you call all Tigo number from 6.00am to 6.00 pm. Comparatively Voda has the same service called Chizika but you NEVER be able to subscribe whenever you want-if you think I am joking try *147# and dial (which is a way to subscribe to free unlimited call for 12hrs from 6.00am) to see if you will get through. Definitely you will be told to try again tomorrow! You will be very lucky if you get through.

Friends have been saying for every 1000 people one gets through! Anyway Vodacom does not want you to know this service because they have not even advertised it. Have you heard or seen chizika advert anywhere if it is not only one found along Ali Hassan Mwinyi road in Dar es Salaam? For your information with Zantel you can call zantel customers for 24hrs with only Tshs1500. only that zantel customers are not as many.
2. Tigo has sms extreme package whereby you subscribe Tshs 500 and send sms to ALL networks for 12hrs from 6.00am. Voda despite of charging Tshs 15 more on every sms, it does not give any releaf package in this area. Zain (not Zantel) has the same package by subscribing Tshs 400. It is not my intention to bring in Zain now since its calling cost is almost like voda’s

3. With Tigo you can call for one shilling from 6.00pm to 5.59am to tigo to tigo. So from extreme call you enjoy during the day, in the evening you have another relief. Huree! Voda has almost the same relief but this one starts at 10.00pm to 5.59am. Despite of that “dead night time” you have to try yourself to see if you can get through a call. It is not easy even you have an emergency!

4. With Tigo you can call tigo subscribers for one shilling from Friday 6.00 to Monday 5.59am! By that Time, voda customers are calling voda subscribers for normal rate Tshs 360 and non voda subscribers for Tshs 560! ALAS VODA!

5. Even with Zain (Celtel), one is far better off compared to voda!

Some rumors created which make people not to shift.

1. Voda has very extensive network and is reliable! Fact check: If you are based in Dar or another city and you call most networks with certainty from Tigo, Zantel or Zain then the above rumor is cheating people! If voda was reliable it could be reliable when you subscribe to chizika and when you make even emergency call from 10.00pm.

2. Remember, you don’t travel so much in the interior parts of the country. If you are sure of been where you are for 11months of the year without going to interior parts of the country, then you don’t need voda. You can reach interior people with whatever network they may be through Zantel, Tigo or even Zain with much cheaper rates.
voda subscriber compared to Tigo, Zantel and somewhat Zain friends! I don’t think if
Advise:1. We don’t have to fool. We are incurring much much much higher cost by been there will be any person on earth except fool who will be happy and comfortable to pay higher rate for less! This is what voda customers we are getting!

2. Corporate customers who pay for their employees airtime could save up to 40% or 50% if encourage their employees to shift to cheaper networks. Company may leave airtime rates (they give to employees) at where they are and they are will minimize to a great deal number of complaints on air time increases by employees. If you are giving your employee an airtime of Tshs 50,000 in Voda and he/she complains, with Tigo, Zantel or even Zain (somewhat) complaints will be very very minimal!

Shangazi yake Obama wa Boston atakuwa Deported


Hivi kwa nini wameamua kutoa habari za shanagzi yake Obama siku za mwisho mwa kampeni? Halafu sasa akina McCain watadai kuwa Obama ndo alimsaidia kukaa hapa Boston. w Msishangae wakidai kuwa Obama ataleta waKenya wote Marekani akichaguliwa! Navyosikia Obama hamjui vizuri huyo mama. Ni ndugu wa baba yake.

Bi Zeituni Onyango (pichani) anakaa hapa Boston, tena South Boston kwenye projects (Nyumba za maskini). Hapa Boston kuna maelfu ya watu kutoka nchi mbalimbali ambao hawana makaratasi. Ni wazungu, watu wa asia na waafrika. Kwa nini wanamsumbua huyo mama?

Lakini inaelekea kuwa serikali imeingilia kimya kimya. Wameona kumfukuza sasa hivi si vizuri.

************************************************************************

Barack Obama's aunt, a Kenyan woman who has been quietly living in public housing in Boston, is in the United States illegally after an immigration judge rejected her request for asylum four years ago, The Associated Press has learned.

Zeituni Onyango, 56, referred to as "Aunti Zeituni" in Obama's memoir, was instructed to leave the United States by a U.S. immigration judge who denied her asylum request, a person familiar with the matter told the AP late Friday. This person spoke on condition of anonymity because no one was authorized to discuss Onyango's case.

Information about the deportation case was disclosed and confirmed by two separate sources, one of them a federal law enforcment official. The information they made available is known to officials in the federal government, but the AP could not establish whether anyone at a political level in the Bush administration or in the McCain campaign had been involved in its release.

Onyango's refusal to leave the country would represent an administrative, non-criminal violation of U.S. immigration law, meaning such cases are handled outside the criminal court system.

Estimates vary, but many experts believe there are more than 10 million such immigrants in the United States.

The AP could not reach Onyango immediately for comment. No one answered the telephone number listed in her name late Friday. It was unclear why her request for asylum was rejected in 2004.

Onyango is not a relative whom Obama has discussed in campaign appearances and, unlike Obama's father and grandmother, is not someone who has been part of the public discussion about his personal life.

A spokeswoman for U.S. Immigrations and Customs Enforcement, Kelly Nantel, said the government does not comment on an individual's citizenship status or immigration case.
Onyango's case -- coming to light just days before the presidential election -- led to an unusual nationwide directive within Immigrations and Customs Enforcement requiring any deportations prior to Tuesday's election to be approved at least at the level of ICE regional directors, the U.S. law enforcement official told the AP.

The unusual directive suggests that the Bush administration is sensitive to the political implications of Onyango's case coming to light so close to the election.

Kenya is in eastern Africa between Somalia and Tanzania. The country has been fractured in violence in recent years, including a period of two months of bloodshed after December 2007 that killed 1,500 people.

The disclosure about Onyango came just one day after Obama's presidential campaign confirmed to the Times of London that Onyango, who has lived quietly in public housing in South Boston for five years, was Obama's half aunt on his father's side.

It was not immediately clear how Onyango might have qualified for public housing with a standing deportation order.
------

Government sources tell the AP that Barack Obama's half aunt, a Kenyan woman, is in the country illegally.

Zeituni Onyango has been living in Boston. An immigration judge rejected her request for asylum four years ago. The reason is unclear.

Onyango's refusal to leave the country would represent an administrative, non-criminal violation of U.S. immigration law. Many experts believe there are more than 10 million such immigrants in the U.S.

The AP could not could not establish whether anyone at a political level in the Bush administration or in the McCain campaign had been involved in the release of information about the case.