Friday, December 12, 2008

Msimu wa Mafua


Wadau samahani kwa kuwa mvivu wa kuposti wiki hii. Nimekumbwa na mafua. Kichwa kinauma. Macho yanawasha. Nakohoa. Ofisini karibu kila mtu anakohoa na kupiga chafya ovyo. Tunamlaumu aliyetulea huu ugonjwa, tunamhisi mtu aliyeipata kutoka kwa mtoto wake ambaye yuko vidudu. LOL! Huenda kuna mtu kambukizwa kwenye treni (subway) utajuaje? Mafua ni malaria ya Marekani.

2 comments:

Anonymous said...

Pole sana tunakuombea upone haraka

Anonymous said...

Da Chemi,
Ugua pole.

Mdau,
London