Thursday, June 26, 2014

Aliweka Implant Ndani ya Matako Yake! Imeharibika!

Wadau, siku hizi wazungu wanataka kuwa na matako makubwa kama waafrika!  Sasa ona jinsi tako la huyo dada ilivyohabrika! Implant inajigeuza ni balaa!  Itabidi aende kwa dakatari waitoe!

******************************************************


1 comment:

Anonymous said...

Mpende mola alivyowaumba jamani!