Monday, June 30, 2014

Ukeketaji Tanzania - Female Circumcision


FLASH MASSAGE DIASPORA:
 
Kilio cha mwanamziki/mwanahabari mkongwe Freddy Macha hatimaye kimesikika na kuwagusa viongozi wa ngazi zisizokamatika.Ni sawa na kuyaona machozi ya kilio cha njiwa.Kama ni mila,jadi,itikadi za dini kuwepo na utafiti wa kiafya kupunguza maumivu na mateso ya ukeketwaji wa watoto wa kike hata utamaduni wa kambi za jando maporini kwa watoto wa kiume yafanyike kwa madaktari bingwa katika madahawati ya serikali kupitia usimamizi wa kadi za bima maalumu-NSSF kwa jamii kupunguza msongamano
wa vifo kwa watoto ambao kwa miaka ya siku hizi wanazaliwa tayari wamekomaa kama vijana wa Taifa.
   



FREDDY MACHA-KITOTOBLOG
Kumbukumbu:




image

SHEREHE KUSAIDIA UJENZI WA JUMBA LA KUHIF...
Ijumaa tarehe 30 Mei, London. Ukumbi wa hoteli iliyoko kitongoji cha Hackney, kaskazini ya London ulishuhudia usiku wa muziki, chakula na vinywaji. Kila aliyeingi...

Preview by Yahoo


SOURCE: MIKIDADI-DENMARK

No comments: