Saturday, June 21, 2014

Tanzia - Deborah John Said (Muimbaji wa Nyimbo za Injili)

Nimepata taarifa  kwa Email:

Mwenyezi Mungu ailaze roho yake mahala pema mbinguni. AMEN.

The Late Deborah John Said


Taarifa zilizotufikia katika Chumba cha Habari muda huu zinasema kwamba , Muimbaji wa Nyimbo za Injili Deborah John Said Amefariki Dunia katika Hospitali ya Muhimbili. Endelea kufuatilia hapa kwa taarifa zaidi. Tunatoa pole kwa wote waliopatwa na Msiba huu Mkubwa.


********
IBADA YA KUMUAGA DADA YETU DEBORA SAID ITAFANYIKA JUMATATU SAA NNE ASUBUHI KATIKA KANISA LA MAISHA YA USHINDI MABIBO EXTERNAL NA BAADAYE SAA NANE MCHANA MAZISHI KATIKA MAKABURI YA MABIBO JESHINI

kwa habari zaidi tembelea www.johnshabani.blogspot.com
 

1 comment:

Anonymous said...

Rest in peace. Your sweet voice will be missed.