Monday, September 10, 2007

Je, wajua hizi Bia?




WaBongo wanapenda sana kunywa bia. Naweza kusema nimeonja hizi mbili na ile Jahazi ni tamu zaidi. Mtapata habari zaidi ya hizi bia kwenye sinema mpya Bongoland II.
Kwenye picha ya juu, Juma (Peter Omari) na mchumba wake Naomi (Sabrina Rupia) wanaburudika na bia ya Swift Kick.

No comments: