Tuesday, May 20, 2008

Polisi Msumbiji waambiwa "PUNGUZENI VITAMBI!"

Leo kuna habari kuwa polisi huko Msumbiji wameamuriwa wapunguze vitambi kwa vile wanashindwa kutekeleza kazi yao. Habari inasema hao wenye vitambi wanashindwa kukimbiza wahalifu hivyo inabidi wavipunguze. Wanasema vitambi hivyo vinasababishwa na pombe na sigara.

Serikali ya Msumbiji imetoa amri kuwa lazima polisi wote wafanya mazoezi ili wawe 'fiti'!

Jamani, sasa wakileta amri kama huo Bongo si itakuwa kasheshe. Maana nakumbuka kuona mapolisi wengi kweli na vitambi.

Kusoma habari zaidi nenda:

http://news.bbc.co.uk/2/hi/africa/7408199.stm

No comments: