Saturday, July 31, 2010

Safarini Anguilla

Wadau, niko nchini Anguilla, kwa mdogo wangu Malaika. Nitaposti habari za Anguilla hivi karibuni.

Thursday, July 29, 2010

Ombaomba Afanya Fujo Back Bay Boston



Wadau, kwenye saa nane na nusu mchana leo nilienda kwenye lunch break Copley Square hapa Boston. Kufika Back Bay Dartmouth St nje ya kituo cha treni na basi, nilishangaa kuona huyo ombaomba anayetumia wheelchair kazuia basi la abiria na hiyo kiti chake. Wakina mama weusi walimzunguka na kumsihi aache kufanya fujo barabarani maana ataenda jela. Mwingine alimwambia kuwa anafanya maksudi kusudi apelekwe hospitali ili apate chakula na sehemu ya kulala. Jamaa alisema kuwa dereva wa basi alimzuia kupanda hiyo basi kwa vile kiti chake kilikuwa na huo mti wa kutundika dawa. Alisema kuwa naye aliamua kuzuia basi isiene popote mpaka aruhusiwe kupanda. Baada ya dakika tano hivi, jamaa aliondoa kiti chake na basi iliendelea na safari. Bahati yake polisi hawakuwa karibu.

Kitu kingine, kumbe huyo jamaa mzima anaweza kutembea! Siku zote nilidhani hawezi kutembea.

Wednesday, July 28, 2010

Wake wa Chifu!

Jamani, Chifu anakuwa na wake wangapi? Hao wanawake walikuwa wake wa Chifu fulani huko Dodoma. Naona mke wa missionary alienda kuwafundisha kuwa 'civilized'.

Tuesday, July 27, 2010

Wapiganaji katika Vita Vya Maji Maji

Mateka (War Prisoners)
Wadau, hebu tazama hao mashujaa waliopigana katika vita vya Maji Maji. Tumesahau hiyo Vita.
WaNgoni wakiongozwa na Kinjeketile wakipigana vikali dhidi ya waJerumani walipolazimishwa kulima pamba na kulipa kodi. Waliamini kuwa eti wakisema Maji Maji risasi za Mjerumani hazitawadhuru na zitageuka maji. Mbona walikufa wengi.
Mnaweza kusoma habari zaidi:

Pombe ya Kienyeji Yaua Kenya

Watu 14 wamepoteza maisha yao baada ya ya kunywa Pombe ya Kienyeji aina ya 'Chang'a huko Nairobi.

Habari kutoka CNN zinasema kuwa watu 11 zaidi wamelazwa na maumivu ya tumbo.

Mungu alaze roho za marehemu mahala pema mbinguni. AMEN.

Wadau, hii habari ya watu kufa baada ya kunywa pombe enye sumu ilikuwa jambo la kawaida Bongo miaka ya 19080's. Watu wengi walikuwa hawana uwezo wa kununua pombe za chupa, bia, Dodoma wine, Konyagi (wakati huo ndo pombe zilizokuwa zinapatikana tena kwa nadra). Basi watu walivyo na hamu ya pombe wakawa wanatengeneza ya kwao. Serikali ilifungua kiwanda cha Chibuku/Kibuku ili kupunguza watu kunywa pombe haramu. Waliongeza uzalishaji hapo. Lakini wapi, hiyo pombe ya kienyeji ilikuwa bado inapendwa na bei chee! mara nyingi hiyo ya kienyeji ilikuwa tamu zaidi! Mnakumbuka pombe zilizokuwa ziniatwa 'komoni' na 'pumu'? Wanafunzi wa UDSM walikuwa wanaenda Ubungo na Manzese kunywa!

Mimi mwenyewe nilipokuwa jeshini nilikuwa fundi wa kutengeneza mapipa ya pombe ya kienyeji! Yaani tukitengeneza pipa, ikishaiva nawaambia inaisha katika saa moja!!!!! Mara nyingi sisi wapishi tulikuwa tunambulia kikombe kimoja tu!!! Maafande waklivyokuwa na uchu wa hiyo pombe! Tena tulikuwa tunatengeneza kwa ruksa ya CO!

Pombe za kienyeji kwa kawaida hazina sumu, ila watu wakianza kuongeza makemikali eti kusudi iwe kali zaidi ndo inagueka sumu. Mabibi na mababu zetu walikuwa wanaitengeneza tangu hapo zamani za kale! Ni sanaa. Lakini uchu wa kupata pesa haraka inaua!

*************************************************************

Kutoka CNN.com

Illegal local brew kills 14 in Kenya

By Lillian Leposo, For CNN
July 27, 2010 8:15 a.m. EDT

Nairobi, Kenya (CNN) -- At least 14 people died in a Nairobi slum after drinking illegal local brew, which may have been laced with chemicals to make it more potent, a government official said.

Another 11 people from the Kibera area are hospitalized, complaining of stomach pains after drinking the brew popularly known as changa'a, said local official Richard Juma. Fifty-one people were arrested in a police raid for allegedly possessing changa'a, and were being held at a local police station, he said.

"As a government we are not happy about this incident," Juma said. "We will continue to raid where we think the brew dens are located until this menance is completely done away with."

While Juma said 14 people had died, police spokesman Eric Kiraithe put the number of deaths at six, saying police are investigating to determine the actual number of deaths and the number of those hospitalized.

A sample of the changa'a has been taken to a government chemist for testing.

Changa'a is sold cheaply in Nairobi slums. While it can take a long time to prepare, greedy brewers lace it with chemicals to hasten the process and to make it more potent. There have been a number of deaths from drinking changa'a in recent years, and other people been blinded.

"The reason these people continue to drink this harmful alcohol even with awareness of its deadly ramifications is because some of the residents here don't care about their lives, they'd rather drink all day," Juma said.

Samuel Chege was treated and released Monday at the Nairobi national hospital after consuming changa'a during a weekend drinking spree and experiencing stomach pains.

"I urge other people not to drink changa'a because you don't know how it has been prepared," he said.

Members of Parliament have passed a bill to legalize changa'a and other drinks, but the president has not yet signed it.

"In my opinion, it should not be legalized because the number of proprietors will increase and so will the number of drunks," Juma said.

Mary Nduku said her cousin died after drinking the deadly beverage. She said she was called home from work to find him lying on the floor of their house. He and a neighbor, who was also unconscious, were rushed to the hospital but pronounced dead on arrival.

"The government should work hard in stopping this problem," Nduku said. "We are losing too many people. Our people are dying and some are becoming blind. The government should not legalize this homemade local brew as there are people who will take advantage and make all sorts of alcohol."

Saturday, July 24, 2010

Zilipendwa - Mambo Bado

Haya wadau, mnakumbka huo wimbo?



Mambo Bado X2
Tulia Tulia Tulia,
Magoma moto moto,
Yaliyosemwa mambo bado,
Disco angwayaaa
Mambo Bado X2
Magoma motomoto na Nairobi,
Magoma motomoto na Dar-es-Salaam,
Sega-down mambo bado
Mambo Bado X2
Nataka toka toka na Kinondoni,
Magoma motomoto yatoka Tanga...

Wednesday, July 21, 2010

Tanzanian Community Picnic in Dallas!

This sounds like a lot of fun! Enjoy!



Family Picnic!

Association of Tanzanian Natives in Dallas invites you to a Family Picnic on Saturday, July 24, 2010 starting at 4:00 pm to 10:00 pm.

Location: - Cottonwood Park, 1400 W. Belt Line Rd, Richardson, TX 75080

Picnic Format: “Bouncer” for kids, soccer, basketball, barbeque “nyama choma”, soft drinks, African traditional music, auction – “harambee” of some items such as vitenge, mashati, vinyago, tea, coffee, African food. Association of Tanzanian Natives in Dallas will make arrangements for grills, ice boxes, paper/plastic plates, etc. Please bring few dollars to purchase BBQ, food, drinks and some items.
Bring friends and families and let us have an afternoon of fun as we support our community and family event!


For directions or any other information, please call:
Prosper Kiswaga: 214-830-9906
Gloria Padmore: 940-735-1027
Peter Kihwili: 214-395-0303
http://www.tanzaniadallas.com/

Tuesday, July 20, 2010

Afariki Akicheza na Bo Bandia

Jamani, halahala na hayo madudu ya kuchezia wakati wa ngono. Nina maana hizo bo na uchi bandia. Mara nyingi unasikia mwanaume kafa akiwa anacheza na uke bandia ndani ya maji! Leo tumesikia kuwa mwanamke kafariki akiwa anacheza na bo bandia (punyeto). Alipata heart attack. Wanasema walimkuta kafunikwa na shuka, alikuwa uchi toka kiunoni na alikuwa na laptop ambayao ilikuwa na kideo cha matusi! Hiyo bo bandia ilikuwa pembeni bado inacheza. Duh! Kweli alikuwa na nyege huyo! At least alikufa akiwa na furaha. REST IN PEACE.

****************************************************


Nanny, 30, died from sexual arousal while watching pornography

By Daily Mail Reporter

(pichani) Nicola Paginton aliyefariki dunia baada ya ashki kumpanda.

A 30-year-old woman's death as she used a sex toy while watching pornography was probably due to her state of sexual excitement, an inquest heard today.
Children's nanny Nichola Paginton was found dead in bed naked from the waist down last October with pornographic material running on her laptop. A sex toy was discovered next to her.

A Home Office pathologist told the inquest in Gloucester that Miss Paginton died from a sudden heart arrhythmia, probably brought on by her state of arousal.
Gloucestershire coroner Alan Crickmore agreed it was likely that 'her activity before death' contributed to the fatal arrhythmia.

The inquest heard that Miss Paginton, of Cirencester, was found dead in October last year.

Detective Sergeant Gavin Webb said police had been called by her employer Sarah Griffiths who had visited Miss Paginton's home when she failed to turn up for work.
When there was no reply at the door she enlisted the help of neighbour Michelle Grant and they saw Miss Paginton through the curtains, lying on her bed with her cat lying on her chest.
'After they broke in they realised Miss Paginton was dead,' said Sgt Webb. 'She had a computer on her lap and when they moved it and lifted the duvet, they found she was naked from the waist down and there was a vibrator in the bed.

'The laptop was still displaying pornographic material.'
Home office pathologist Dr Richard Jones from the University of Cardiff said: 'There is nothing to explain why she died in this way but I suspect sudden cardiac death.'
Returning a verdict of death from natural causes, Mr Crickmore said: 'I am satisfied Nichola Paginton died of a natural disease process - sudden cardiac arryhthmia.
'It is not always possible to determine an exact cause of death but it is likely that her activity before death contributed towards it.'


Read more: http://www.dailymail.co.uk/news/article-1293165/Nanny-30-died-sexual-arousal-watching-pornography.html#ixzz0uG8Q7KT4

Monday, July 19, 2010

Rest in Peace - Vonetta McGee




Mcheza sinema maarufu wa enzi za Blaxploitation miaka ya 70, Vonetta McGee, amefariki dunia. Alikuwa na miaka 65. Mrembo Vonetta alikuwa kipenzi cha wengi enzi za Blaxploitation. Hata barani Afrika sifa zake zilienea. Aliigiza katika sinema nyingi za Blaxploitation zikiwemo Shaft in Africa na Blacula.

Nakumbuka miaka ya 70, wasichana walikuwa wanampenda Jim Brown na Fred Williamson na kwa wavulana walikuwa wanawapenda Pam Grier na Vonetta McGee.
REST IN PEACE VONETTA MCGEE!

*********************************************************************************
http://www.latimes.com/news/obituaries/la-me-vonetta-mcgee-20100715,0,6730780.story-
Kutoka:

Vonetta McGee dies at 65; Film Actress during 1970s Blaxploitation Era

By Dennis McLellan, Los Angeles Times

July 15, 2010

Vonetta McGee, an actress whose big-screen heyday during the blaxploitation era of the 1970s included leading roles in "Blacula" and "Shaft in Africa," has died. She was 65.

McGee died Friday at a hospital in Berkeley after experiencing cardiac arrest and being on life support for two days, said family spokeswoman Kelley Nayo. Although McGee had been diagnosed with Hodgkin's lymphoma at age 17, Nayo said, her death was not related to the disease.

McGee was described as "one of the busiest and most beautiful black actresses" by Times movie reviewer Kevin Thomas in 1972, the year she appeared opposite Fred Williamson in the black action movie "Hammer," and had starring roles in the crime-drama "Melinda" and the horror film "Blacula."

She went on to appear with Richard Roundtree in "Shaft in Africa" (1973), and co-starred with Max Julien in "Thomasine & Bushrod" (1974).

McGee also appeared with Clint Eastwood in the 1975 action-thriller "The Eiger Sanction," prompting The Times' Thomas to write in his review: "Her parrying with Eastwood, verbally and otherwise, is enough to scorch the screen."

"I was pleased to see her get a role with Clint Eastwood," said Williamson, who knew McGee before they made "Hammer." "Not many black actors had that opportunity to be in a movie where color doesn't matter.

"Vonetta McGee was like a lot of actors and actresses at that time, like myself, Jim Brown, Richard Roundtree, Billy Dee Williams and Pam Grier, in that we had more talent than we were allowed to show because everything was perceived as a black project. Once they categorize you, your marketability becomes limited."

McGee was no fan of the "blaxploitation" label that was attached to many of the films featuring black casts in the '70s.

That label, she told The Times in 1979, was used "like racism, so you don't have to think of the individual elements, just the whole. If you study propaganda, you understand how this works."
Although The Times reported that McGee "calls herself one of the lucky graduates of the black-film genre," she pointed out that there was a difference between someone like Diana Ross and other potentially marketable black actresses.

"She has had the luxury of a studio behind her," McGee said. "This is where a lot of us fell short. We all needed a certain amount of protection. But we were on our own."

Among McGee's other film credits are "The Lost Man," "Detroit 9000," "Brothers" (in which she played an activist based on Angela Davis), "Repo Man" and "To Sleep with Anger."
In the '80s, her career turned primarily to television.

That included playing Sister Indigo on Robert Blake's short-lived 1985 dramatic series "Hell Town" and playing a social worker who takes a con man played by Jimmie Walker into her home in the syndicated 1987-88 sitcom "Bustin' Loose."

She also played a recurring role on "L.A. Law" and appeared in several episodes of "Cagney & Lacey" as the wife of detective Mark Petrie (played by Carl Lumbly).

McGee and Lumbly were married in 1986 and had a son, Brandon, in 1988.
Born Lawrence Vonetta McGee in San Francisco on Jan. 14, 1945, she was attending what is now San Francisco State when she got involved with a local acting group.

She launched her film career in 1968 in Italy, where she appeared in the spaghetti western "The Great Silence" and played the title role in the comedy "Faustina."

In addition to her husband and son, she is survived by her mother, Alma McGee; three brothers, Donald, Richard and Ronald McGee; and a sister, Alma McGee.

Saturday, July 17, 2010

Fellowship Opportunity - Journalists

APPLY NOW: Lung Disease Fellowship in Berlin

Program Dates: November 10-15, 2010
Application Deadline: 5:00 PM EST August 16, 2010
Location: Berlin, Germany
Collaboration with: The International Union Again Tuberculosis and Lung Disease

Fifteen international journalists will be selected for a six-day, all-expenses- paid fellowship in Berlin, Germany to attend the 41st Union World Conference on Tuberculosis and Lung Health and the Journalist to Journalist training on lung diseases. Special consideration will be given this year to applicants working in India, Russia, Egypt, China, Peru and Africa.

More than 10 million people each year die of lung diseases, yet public demand and political commitment remain inadequate to effect significant change. The sessions will feature presentations and discussions with experts on tuberculosis, childhood pneumonia, COPD, TB/HIV co-infection, and more. The fellowships include three days of training in advance of the conference and daily guidance on coverage throughout the conference. Check out the December 2009 archive of our blog to read about last year’s program. Click here to apply.

Ms. Susan M. Albrecht
Executive Director
Alfred Friendly Press Fellowships
1100 Connecticut Avenue, NW
Suite 440
Washington, DC 20036 USA
Telephone: 202-429-3740
Fax: 202-429-3741
salbrecht@pressfell owships.org
www.pressfellowship s.org


Zilipendwa - Dont' Go Lose It Baby



Nilikuwa napenda sana huo wimbo wa Hugh Masekela na kideo chake. Hasa wale wakina dada na nywele zao natural. Wanapendeza! Sikiliza rap ya Hugh.

Pombo Mtundu 'Moko' Azikwa New Zealand

Nzoga ya Moko alivyokutwa kwenye kiswa cha Matukana
Moko katika Uhai Wake

Pombo (dolphin) mtundu sana, 'Moko' ambaye alikuwa anapenda sana kucheza na binadamu baharini na hata kuokoa nyangumi amezikiwa kwa heshima huko New Zealand. Kwa vile alizikwa nchi kavu, pombo na samaki wengine wa baharini hawakuweza kuhudhuria mazishi yake.

Moko alikutwa amekufa kwenye kisiwa cha Matakana huko Tauranga, New Zealand. Wataalam wa bahari wanafanya uchunguzi kugundua nini kilimwua.

Moko alikuwa kipenzi cha wenyeji na watalii. Alikuwa na mchezo wa kupindua maboti aina ya kayak. Alikuwa anapenda sana kuchokoza watu kewenye surf boards. Aliwahi kumpeleka mama moja aliyekuwa kwenye surf board kwenye maji marefu baharini halafu aliiba board yake. Yule mama alibakia ku'angania buoy mpaka watu walikuja kumwokoa.

Alipata umaarufu mwaka 2008 wakati nyangumi wawili walikwama katika maji mafupi. Maisha yao yalikuwa hatarini, lakini Moko aliwapeleka kwenye maji marefu na wakaenda zao.

Huko New Zealand, Moko kazikwa kwa heshima. Nzoga yake ilizikwa ndani ya jeneza rangi ya bluu, na hata head stone.

Kwa habari zaidi someni:

http://www.stuff.co.nz/nelson-mail/news/national-news/3900065/Competing-claims-for-Moko-the-dolphins-remains


http://www.csmonitor.com/From-the-news-wires/2010/0716/Dolphin-funeral-draws-hundreds-of-humans-but-no-other-dolphins

Blog Mpya - Miriam


Kwasababu Maisha ni mlolongo wa mambo mengi, ambayo kila ukipita hili unakutana na lile, nimeona ni vyema nianzishe blog hii ili mimi na wewe tuweze kuhifadhi baadhi ya kumbukumbu zenye mafunzo, zikiwa ni matukio tuliyokutana nayo mimi au wewe.-kwa kimombo wanaita-Diary

Mtembelee Miriam: http://miram3.blogspot.com/

PASTOR ABIUD & CATHERINE Watakuwa Texas


Kwa heshima na unyenyekevu, ninapenda kuwatangazia watanzania na watu wote wanaoishi katika katika jiji hili la Dallas -Texas kwamba kutakuwa na SEMINA ya siku mbili ya neno la Mungu katika jiji letu la Dallas-Texas. Semina hii itaendeshwa na watumishi wa Mungu PASTOR ABIUD & CATHERINE PAMOJA NA EV.LENATA KUTOKA TANZANIA. Watumishi wa Mungu Mr&Mrs Abiud wanaheshimika ndani na nje ya mipaka ya Tanzania kutokana na wito wao wa kumtumikia Mungu kwa upendo na unyenyekevu mkubwa.

Kwa sasa hawa watumishi wameweka maskani yao katika jiji la Kansas -Missour (USA).Ninaomba kwa kila mtu atakaesoma tangazo hili amkaribishe mwenzake.Pamoja na semina ya Mungu, watumishi hawa watapata nafasi ya kutoa ushauri kwa watu wanye matatizo binafsi na kuwaombea.Kama unahitaji ushauri wa ndoa,uchumba, mahusiano na mambo kama hayo usisite kutujulisha ili utengewe muda wa kukutana nao ana kwa ana..

Kumbuka tarehe ni 17-18/7/2010-Jumamosi na Jumapili ya wiki hii.

Mahali ni-Umoja Church,127217 Hillcrest Rd,Dallas Texas 75230

Muda ni:Saa kumi na moja mpaka saa mbili usiku (11-2 usiku) 5pm 8Pm.

Maelezo zaidi;214 554 7381,682 552 6402,214 773 6697.

NB:Kutakuwa na chakula maalumu pamoja na vinywaji kila baada ya semina ili kufahamiana zaidi.

Karibuni wote
Uongozi wa kanisa la Umoja Dallas Texas.

Chacahage Day at UDSM

CHACHAGE DAY

PANEL DISCUSSION ON: THE FUTURE OF OUR UNIVERSITY
A TRIBUTE TO PROF. JWANI MWAIKUSA by PROF. F. LUOGA
PRESENTERS:

1. PROF. FRED KAIJAGE
2. DR. MKUMBO KITILA
3. Ms IMMACULATE DOMINIC
4. Mwl. BASHIRU ALLY

CHAIR: UDASA CHAIR PERSON

VENUE: COUNCIL CHAMBER-UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM

DATE: FRIDAY July 23, 2010

TIME: FROM 4:00 TO 6:00 PM (KUANZIA SAA 10:00 MPAKA SAA 12:00 JIONI)

COME AND PARTICIPATE TO DISCUSS THE FUTURE OF OUR ALMA MATER
ORGANIZERS: UDASA, MWALIMU NYERERE CHAIR IN PAN AFRICAN STUDIES, PHILOSOPHY CLUB AND DUPSA


Walter Rodney Luanda
Afisa Tawala-Kigoda cha Mwalimu

Thursday, July 15, 2010

Athari za Wanawake Kuwa na Matako Makubwa



Wataalam wamefanya uchunguzi na kuamua kuwa mwanamke akiwa na matako makubwa, hips kubwa, mafuta kwenye eneo la hips basi atakuwa msahaulifu, punguani, akifika miaka 65! Lakini ukiwa na Tumbo kubwa mambo safi.

Jamani, ni kweli lakini? Sijui wamefanya uchunguzi na wanawake wa rangi gani. Sidhani kama wamechunguza wanawake wanaokaa Afrika. Maana unakuta wanawake wenye umri mkubwa bado 'Sharp'!
Hebu soma chini.

***************************************************************



July 15, 2010 7:16 a.m. EDT

(CNN) -- A woman's body shape may play a role in how good her memory is, according to a new study.

The more an older woman weighs, the worse her memory, according to research released this week from Northwestern Medicine at Northwestern University in Evanston, Illinois.

The effect is more pronounced in women who carry excess weight around their hips, known as pear shapes, than women who carry it around their waists, called apple shapes.

The reason pear-shaped women experienced more memory and brain function deterioration than apple-shaped women is likely related to the type of fat deposited around the hips versus the waist.

Scientists know that different kinds of fat release different cytokines -- the hormones that can cause inflammation and affect cognition.

"We need to find out if one kind of fat is more detrimental than the other, and how it affects brain function," said Dr. Diana Kerwin, the lead author of the study and an assistant professor of medicine and a physician at Northwestern Medicine. "The fat may contribute to the formation of plaques associated with Alzheimer's disease or a restricted blood flow to the brain."

The study published in Wednesday's Journal of the American Geriatric Society said, on average, there is a one-point drop in the memory score for every one-point increase in body-mass index -- a ratio of a person's height and weight. The study included 8,745 cognitively normal, post-menopausal women ages 65 to 79.

"Obesity is bad, but its effects are worse depending on where the fat is located," Kerwin said.

"The study tells us if we have a woman in our office, and we know from her waist-to-hip ratio that she's carrying excess fat on her hips, we might be more aggressive with weight loss," Kerwin said. "We can't change where your fat is located, but having less of it is better."

Monday, July 12, 2010

Mabomu Yaua Watu 74 Uganda

Watu walioenda klabuni kutazama Mashindano ya Kombe la Dunia huko Kampala, Uganda wameuaua katika shambulizi la mabomu.

Kwa sasa kundi fulani la magaidi kutoka Somalia wanasema kuwa wao ndo walitenda huo unyama. Wamediriki kufungua hata website ya kupokea pongezi!

Jamani, mnaua waafrika wenzenu, binadamu kwa ujumla halafu mnataka kupongezwa? Kweli mwisho wa dunia iko karibu!

Mungu alaze roho za waliokufa mahala pema mbinguni. AMEN. Mungu wape nguvu familia ya marahemu katika kipindi hiki kigumu.

Kwa habari zaidi someni:

http://news.bbc.co.uk/2/hi/world/africa/10605457.stm

http://edition.cnn.com/2010/WORLD/africa/07/12/uganda.bombings/index.html?hpt=P1&fbid=4CVcBwhbh2z

Saturday, July 10, 2010

The Twist Ina Miaka 50

Ile ngoma maarufu, The Twist, inasherekea miaka hamsini toka izaliwe. Uliimbwa na Chubby Checker. Watu wengi wataikumbuka ngoma iliyofanya wazee na vijana wazungu na weusi wamke na kukata viuno. Haya chezeni TWIST!!!!



**********************************************

Kwa habari zaidi someni:

http://www.philly.com/inquirer/front_page/20100710_50_years_of_the_Twist_celebrated.html

Thursday, July 08, 2010

Kumbukumbu - Siti Binti Saad 1880 -1950

Wadau, leo ni miaka sitini tangu mwimbaji maarufu wa Tanzania, malkia Original wa Mipasho, Siti Biti Saad afariki dunia.

Siti alizaliwa katika kijiji cha Fumba huko Zanzibar. Jina aliyopewa na wazazi wake ilikuwa Mtumwa. Wazazi wake walikuwa watumwa kutoka Bara. Aliishi maisha duni hadi alipohamia mjini Zanzibar na kuanza kupata umaarufu wa kuimba Taarab. Watu walimfurahia kwa vile alikuwa anaimba taarab kwa kiswahili lugha ambayo walikuwa wanatumia hasa ilikuwa kiaarabu.
Sultan alimwalika kuja kumwimbia. Baadaye alifanikiwa kwenda India na kikundi chake kurekodi santuri. Enzi zile zilikuwa zile 78's. Vijana wa siku hizi hawawezi kuzijua. Zilikuwa zinapigwa kwenye zile ,"His Master's Voice".

Marehemu Shabaan Robert alitunga kitabu, 'Wasifu wa Siti Binti Saad'. Anaelezea mengi kuhusu maisha ya Bibi Siti.

Siti Binti Saad 1880-1950

Siti na kikundi chake walipoenda Mumbai (Bombay), India kurekodi santuri kadhaa mwaka 1929.

Kwa habari zaidi za Siti Binti Saad someni:

http://www.zanzibarhistory.org/six_famous_zanzibari.htm

http://www.rhapsody.com/siti-binti-saad/feeds.html

Sauti ya Siti - Gazeti la TAMWA

Mwezi Machi, 1988 TAMWA ilizindua gazeti 'Sauti ya Siti'. Mimi ni mmoja wa waanzilishi wa TAMWA. Nakumbuka siku tulipotaarifiwa kuwa serikali imekubali kusajiliwa kwa TAMWA, na siku tuliporuhusiwa kuchapisha Sauti ya Siti. Ilikuwa jambo kubwa mno maana wanaume walitupinga kweli hata baadhi ya wanawake. Walisema TAMWA ni chama cha mashoga. Cha ajabu hao hao waliokuwa wanatusema walikuja kujiunga na TAMWA baada ya kuona mafanikio yetu.

Gazeti ya Sauti ya Siti ilikuwa na nia ya kuelezea habari za akina mama ambazo zilikuwa haziingii katika magazeti ya kawaida. Kumbuka wakati ule magazeti yalikuwa machache, Daily News, Uhuru, Mfanyakazi, Kiongozi. Redio ilikuwa Radio Tanzania tu!

Mzee Ali Hassan Mwinyi (Mzee Ruksa) ndiye alikuwa Rais. Mke wake alikuwa anaitwa Siti. Basi watu walisema eti sisi wanaTAMWA tuliamua kuita gazeti Sauti ya Siti ili kumpendeza Rais. Jamani!

Watu walikuwa wamesahau kuwa kulikuwa na Siti Binti Saad. Nia ya TAMWA ilikuwa kukumbusha watu juu ya mchango wa Bibi Siti katika muziki na pia hasa kuwa Siti ndiye alikuwa mwanamke wa kwanza wenye uwezo wa kufikisha ujumbe kwa Umati. Taarab aliyokuwa anaimba ilikuwa na ujumbe za kisiasa pamoja na mapenzi. Wangapi wanajua kuwaa Bibi Siti ndiye alihamisha watu kufanya mgomo huko Zanzibar miaka ya 1930's? Wanasema Siti alitunga zaidi ya nyimbo 600! Bahati mbaya nyingi zimepotea maana hazikuwa Recorded.

Nitafanya jitihada hivi karibuni za kufufua ile website niliyokuwa nayo iliyokuwa inaelezea mengi kuhusu maisha ya Siti Binti Saad.

Leo tunakukumbuka Bibi Siti Binti Saad.

Tuesday, July 06, 2010

Caster Semenya Aruhusiwa Kukimbia Kama Mwanamke


Yule mwanariadha kutoka Afrika Kusini ambaye watu hawakujua kama ni jike au dume ataruhusiwa kukimbia na wanawake.

Jamani, Sijui nyie lakini mimi namwona Caster Semenya kama ni mwanaume vile. Angekuwa hapa Marekani mashoga wangemfurahia kweli kweli! Kama mtakumbuka wataalam waligundua kuwa amebarikiwa kuwa na nyeti za kike na za kiume. HERMAPHRODITE. Ingawa kwa nje anaonekana kama dume, inaelekea nyeti za kike zinatoa hormones zaidi.

Hebu wataalamu wa Sayansi mtusaidie kuelewa. Walijaribu kumpamba aonekane kama mwanamke, lakini sauti bass pale pale, mikono mikubwa, hana dalili ya matiti, shepu dume dume!

Kwa habari zaidi someni:

MV Massachusetts Karibu Izame Boston Harbor!!!





Meli MV Massachsuetts inayozungusha watu kutalii kwenye visiwa vya bandari ya Boston, ilipata ajali siku ya jumamosi 7/3/10. Karibu izame baada ya kugonga kitu karibu na Deer Island.

Unauliza kwa nini nimeona ni muhimu kubandika habari hapa? Ni kwa sababu ni meli ambayo kanisa letu la International Gospel Church ilikodi and kufanya Dinner Cruise mwezi wa nne. WaBongo waliopanda wanaijua. Kweli maombi yanasaidia maana tulianza cruise na maombi na kumaliza kwa maombi! Tulirudi salama. Hiyo ajali ingetokea wakati imejaa waafrika ambao wengi hawajui kuogelea ingekuwa balaa!

Wakati wa ajali meli ilikuwa na abiria 174. Wote waliokolewa. Watu wanne waliumia. Ukipanda boti hakikisha unajua Lifejackets ziko wapi!

Wataalam wanasema meli imekuwa Write-Off!

Kwa habari zaidi someni:


Sunday, July 04, 2010

Happy 4th of July!


Wadau, leo waMarekani wanasherekea miaka 234 ya Uhuru kutoka kwa Waingereza!

Happy Independence Day!

Saturday, July 03, 2010

Ajali ya Mafuta Congo - Lori Ilitoka Tanzania!

Watu zaidi ya 200 wamekufa Congo baada ya lori liyokuwa imebeba mafuta kupinduka huko Congo leo. Lori ilitoka Tanzania. Watu wengi waliokufa walikuwa wanajaribu kuiba mafuta hayo! Umaskini jamani! Mtu unachukua ndoo, viplastiki kwenda kusomba mafuta bila kujali kuwa yanaweza kuwaka moto! mUngualaze wroho zao mahala pema mbinguni. AMEN.

**************************************************************
KINSHASA, Congo (AP) - At least 204 people were killed in Congo when a tanker truck transporting oil flipped over and exploded overnight in the east of the country, a Red Cross official said Saturday.

The truck was carrying fuel from neighboring Tanzania when it overturned at high speed late Friday in the village of Sange, around 100 kilometers (60 miles) outside the regional capital, Bukavu, said Red Cross official Desire Yuma.

Speaking by telephone from Bukavu, Yuma said the toll could rise since Red Cross workers were still collecting bodies from the scene.

U.N.-funded Radio Okapi reported a similar death toll, and said some local residents had rushed to steal the leaking fuel when it burst into flames.

Madnodje Mounoubai, a spokesman for the U.N. mission that has peacekeepers in the region, said the U.N. force was investigating the blast. He said no U.N. troops were killed or wounded.

WaBunge Kenya Wanataka walipwe Donge Nono!

Duh! Baada ya kusoma habari hii, nimetaka kuwa mbunge Kenya! Wabunge hao wakifanikiwa watalipwa mshahara na marupurupu yanayozidi hata Bunge la Marekani na Bunge za karibunchizote za Ulaya! Dunia itawaona kama wendawazimu. Mnalipwa hela yote hiyo, huko mnaomba hela ya misaada! Wananchi wengi wa Kenya wanaishi maisha duni, bila hata maji safi.

************************************************************************

Kenya outraged over parliament's $175K pay vote

NAIROBI, Kenya — Kenyans expressed outrage Friday after members of parliament this week recommended giving themselves a $175,000 annual pay package, compensation decried as overly exorbitant in a country where farm workers earn only $40 a month.

The legislators' compensation package includes pay for housing, entertainment expenses, transportation, a constituency allowance and an extraneous allowance. The politicians will even be paid for attending parliament meetings.

It outpaces what many European parliamentarians make, and would pay as much as the U.S. Congress.

But Kenya's economy can't match those of the United States or Europe. Hundreds of thousands of Nairobi residents live in slums with no running water. The monthly minimum wage for farm workers is $40. In Kenya's capital, the monthly minimum wage for laborers is $82.

Kenya's members of parliament, by contrast, could soon take home a monthly pay package worth nearly $15,000.

"They are so selfish. I could grab them by their necks and strangle them," said Muthoni Njathi, 29, who works in a small Nairobi restaurant where workers average about $125 a month. "There are so many people who go without food, so many people who walk kilometer after kilometer to go to work."

Kenya's 222 legislators currently make about $126,000. Parliament's vote on Wednesday came after a pay committee recommended the increases and that members pay taxes on their income for the first time. With the new taxes in place, the increase in members' take-home pay would be relatively small — about $1,500 a month. But newspaper headlines and public reaction has been scathing.

"NOT WITH OUR TAX MONEY," screamed the front page of Friday's Daily Nation, Kenya's leading newspaper. The Standard newspaper headlined one story the "Greedy pack of MPs." Labor groups, the teachers union, and civil society groups have angrily denounced parliament's recommendation, which is scheduled to be voted on in final form next week.

"It's robbery without violence. It's the height of impunity. I don't think my language can be strong enough on how disgusted we are," said Wanjiru Gikonyo, the national coordinator of the Institute for Social Accountability. "We are not that greedy culture that they have become."

Gikonyo noted that the retirement packages in the new pay structure are so generous that people will likely now run for parliament just for the salary, and may have no interest in governing.

The office of the Finance Minister, Uhuru Kenyatta, released a statement late Friday that appeared to quash the salary increase proposal, saying the national budget doesn't have money to increase salaries and that MPs have previously said the tax burden on Kenyans should be reduced.

Just outside parliament on Friday, street vendor Charles Nzioka tried to sell bottles of Coke and cakes. Like many day laborers here, Nzioka can only afford a small home for his wife and three children. He pays $30 a month in rent, a far cry from the nearly $2,000 housing allowance parliament recommended for its members.

Waving his arms in a fit of anger, Nzioka said parliament's pay was costing the nation dearly.

"It does not make sense, because you can see here we are struggling," said Nzioka, who often walks the 6 miles (10 kilometers) from his house to downtown Nairobi.

Kenyans noted ruefully that next week's vote on the pay hikes will take place a little less than a month before the nation votes on a new constitution, which if passed will take away lawmakers' ability to regulate their pay. Instead pay issues would be handled by an independent salary committee.

"I think the public is justified in being outraged," said Millie Odhimabo, a member of parliament who is appointed. But she said that since MPs will soon have to pay taxes for the first time, the changes will benefit the country in the long-run.

Odhimabo said that members of parliament often must spend their own salaries — beyond the $1,600 "constituency allowance" they are paid — to address the dire needs of the people they represent.

"When you wake up in the morning you probably receive around 50 to 100 phone calls from your constituents, and more than half of those phone calls are from someone who had a child die and has no money to bury the child, or someone else has a child in the hospital and has no money for medicine, another is for education," Odhimabo said.

"If you don't give out money nobody is going to elect you," she said.

But the Kenyans standing outside parliament on Friday complained that they can never successfully reach their representatives, and only see them once every five years, during the campaign period.

"Yeah, we're angry. Life is really hard compared to their lives," said Joe Kirui, 37, who makes $63 a month as a security guard in the Rift Valley. "You get your salary at the end of the month and in one week it's gone."