Saturday, September 11, 2010

Megabus Yapata Ajali! Watu Wanne Wamefariki!

(pichani Megabus iliyopata ajali New York)

Basi aina ya ghorofa mbili (double decker) ya kampuni ya Megabus imepata ajali katika mkoa wa New York, nje ya mji wa Syracuse. Basi ilikuwa inatokea Philadelphia na kuelekea Toronto, Canada. Habari zinasema kuwa watu wanne wamekufa. Megabus inapendwa sana kwa ajili ya nauli zao nafuu na mabasi masafi.

Mungu alaze roho za marehemu mahala pema mbinguni. Amen.


*************************************************
SALINA, N.Y. (AP) - A double-decker bus traveling off its route hit a low railroad bridge overhead and flipped on its side early Saturday, killing four people and critically injuring others, authorities said.

The Megabus was carrying more than two dozen people when it rammed into the bridge around 2:30 a.m. on the Onondaga Lake Parkway in Salina, a suburb of Syracuse in central New York.

Twenty-four people were taken to hospitals, including some suffering from critical injuries.

The bus was too tall to make it under the low-hanging span, said Larry Ives, supervisor of dispatch operations for the Onondaga County Sheriff's Department.

It struck the bridge between two large signs warning that the clearance was 10 feet, 9 inches, photographs from WSYR-TV showed. The top level of the bus was crushed and partially peeled back in the front.

The driver of the bus had head injuries but was speaking to investigators, Onondaga County sheriff's deputy Herb Wiggins told The Post-Standard newspaper of Syracuse.

The dead included three men and a woman in her teens or early 20s, Sheriff Kevin Walsh told the newspaper. He said there was no indication the driver had been drinking or using drugs.

The bus left Philadelphia at 10 p.m. Friday and was headed for Toronto with stops in Syracuse and Buffalo, said Don Carmichael, a senior vice president at Coach USA, which operates Megabus. He said he didn't know why the bus was off its route but was headed to the crash site early Saturday to investigate.

The crash shut down the parkway, which runs along a lake not far from the intersection of the two major highways that go through Syracuse, Interstate 81 and Interstate 90.

Idd Mbaraka!



Nawatakia wadau wote waIslamu Idd Mbaraka! Mbarikiwe wote!

Kumbukumbu - Maafa ya Septemba 11, 2001

Leo ni miaka tisa tangu siku ya 9/11/01. Ni siku ambayo magaidi wa Al Qaeda waliteka ndege na kusabisha vifo vya watu karibu 3,000! Wengi walikufa Twin Towers zilivyoanguka new York, lakini pia tusisahau watu walikufa Pennsylvania na kwenye Pentagon huko Washington D.C.

Waliokuwepo duniani sikuhiyo hawatasahau walikuwa wapi na walikuwa wanafanya nini wakati wakisikia habari ya tukio. Na ni siku ambayo Marekani ilibadilika.

Tuesday, September 07, 2010

Dr. Slaa Afunguliwa Mashitaka Mahakama Kuu!

(Pichani Dr. Wilbrod Slaa - CHADEMA)

Jamani, sasa badala ya kuwa kampeni ya siasa, ugombea rais wa Dr. Wilbrod Slaa wa chama cha CHADEMA, unageuka kuwa Soap Opera (Tamthiliya)! Majuzi huko Babati walimwuliza Dr. Slaa ana wake wangapi(BOFYA HAPA kupata maelezo zaidi), leo eti mume halali wa mke wa Dr. Slaa, kaenda mahakamani na kusema kuwa Dk. Slaa kamwibia mke wake! Kusoma habari zaidi za kesi BOFYA HAPA.
Huo mchezo wa kukuchunguza mpaka umevaa chupi gani kama ni mwanasiasa ni mchezo mkuu hapa Marekani. Ukiwa mwanasiasa lazima uwe msafi. Kwa maana hiyo usitembee nje ya ndoa, usiwe na kimada, usizae nje, usifanye ngono na malaya... listi ni ndefu. Bado wanafanya na wakigundulika wengi wanalazimishwa kujiuzulu.

Enzi za Mwalimu ulikuwa husikii kwenye vyombo vya habari kiongozi fulani anatembea na fulani! Sasa ni jambo la kawaida, sijui ndo uhuru wa vyombo vya habari au nchi kukua kisiasa. Wangekuwa wanasema mambo ya watu enzi za Mwalimu mbona yangesemwa mengi. Ungesikia fulani kazaa katika kila mkoa wa Tanzania, fulani ana familia nyingine sehemu fulani, binti fulani katoa mimba ya kiongozi fulani n.k. Sidhani kama kuna kiongozi 'msafi', hata kwa upande wa wanawake! Kiongozi fulani kazaa sehemu fulani, kiongozi huo kapata ugonjwa fulani mahala fulani.....Doh! Tunaelekea wapi?

Mwisho nauliza kwa nini wanamsakama Dk. Slaa sasa? Naona kampeni yake imepamba moto kweli halafu ndo jamaa anataka alipe eti mabilioni!

Tangazo - TWENDE

TWENDE (Tanzania Women Entrepreneurs Networking & Development Expositions) is a 2 day entrepreneurial exposition which features women who own or run small , medium and large scale businesses including governmental and non governmental organization which shall not only partake in the Exhibition but also participate in a two day Seminar aimed at empowering and enterprising various businesses.

The Exposition and Seminar shall be held on 16th and 17th of September 2010 at Diamond Jubilee Hall in Dar es Salaam, Tanzania

For an Entrepreneur, this is the perfect opportunity for you to educate, inform, network and socialize with potential customers, suppliers and women entrepreneurs aimed at taking your business to the next level

TOGETHER WE CAN!!! looking forward to your SUPPORT!

for more information or/on participation contact Mustafa Hassanali on +255784303880 or via Email: Mustafa@mustafahassanali.net

Monday, September 06, 2010

MFUMO WETU WA ELIMU NA CHANGAMOTO ZAKE!

Ubungo mwaka 1980. Mwanafunzi wa Chuo Kikuu alienda kunywa pombe kwenye baa fulani. Wakati ule wanafunzi wa UDSM walikuwa na hela shauri ya posho zao kutoka serikalini. Jamaa alilewa. Akaanza kuongea kimombo/kiingereza. Alipigwa na wananchi wenye hasira kwa vile jamaa eti alikuwa na KASUMBA!

Wadau waliosoma Tanzania tangu miaka ya sabini katikati waliposema kuwa eti Shule za msingi zifundishwe kwa kiswahili halafu sekondari na kuendelea ziwe English wtakubaliana na mada huu.

Na mimi siku zote nasema maana ya shule ya msingi ni nini? Si ndo msingi? Sasa kama huna msingi mzuri si utapata shida baadaye. Katika jumuiya ya Afrika Mashariki sisi waTanzania ndo tuna matatizo ya kuongea na kuandika kiingereza shauri ya kukosa msingi mzuri wa Kiingereza shuleni.

Fikiria watoto wanafundishwa kiingerea na watu ambao hawana msingi wa lugha, yaani lugha yao ni broken. Kuna dada moja ambaye nilisoma naye Tabora Girls alikuwa ancheka akisema, "Chemi, si unakumbuka English ilivyokuwa taabu kwangu, basi mimi ndio mwalimu wa English katika shule ya sekondari fulani! Si maajabu hayo" Maajabu ndo yeye eti alijua kiingerza kuliko wengine.

Hata hapa USA unakuta mTanzania ana Masters/Ph.D lakikni anakosa kazi ya maana kwa vile hajui kuongea kiingereza vizuri. WaKenya na WaGanda hawana shida hiyo. Naukumbuka miaka ya 90 mwanzo nilienda kwenye kijiji fulani huko Uganda. Wau masjini watoto wamevaa nguo zilizochanika hlafu mavumbi matupu lakini walikuwa wanajua kiingereza kizuri.

Nashukuru kuwa sasa Tanzania wameruhusu shule za msingi za kiingereza kwa muda, lakini ni za kulipia (private). Lakini ni wakina nana wanafaidi? Ndo matokeo ya KASUMBA.

Mwaka 1993 (?)...mara baada ya kuruhusu vyama vingi, Chifu Abdallah Fundikira alihubiria umati mkubwa wa wananchi huko Jangwani. Chama chake ilikuwa UMD. Alisema, "Mwalimu Nyerere alikuwa anaongea Kiingera kizuri sana...The Queen's English, halafui alitaka nyie msiongee!" (Nilikuwa mwandishi wa habari Daily News wakati huu, na iliandika hiyo kwatika original copy, lakini ilifutwa kabla ya kuchapishwa!)



***********************************************************************



Imeandikwa na Malkiory William Matiya

Waswahili walisema, mkunje samaki angali mbichi. Wataalamu na watafiti katika fani mbali mbali wanatuambia kuwa hali/tabia ya mtu mzima kwa kiwango kikubwa ni matokeo ya mazingira ya makuzi/malezi yake ya utotoni. Mfano tabia kama vile ukatili, ukimya, woga, wasiwasi, hasira, okorofi, furaha, upendo, kujiamini n.k. ukubwani ni baadhi tu ya matokeo hayo.

Kama hivyo ndivyo basi, nadhani utakubaliana nami kuwa tunahitaji mfumo dhabiti na bora wa kujifunza/ufundishaji katika ngazi ya elimu ya awali/kindergarten na msingi. Ni dhahiri kuwa tendo la kijifunza linakuwa limekamilika pale ambapo mabadiliko ya kudumu ya kitabia yanapoanza kujitokeza kwa walengwa ambao ni wanafunzi. Hivyo basi, inatubidi tukubali ukweli kuwa mabadiliko chanya ya kitabia yatatokana na ufundishaji/uelimishaji chanya pia.

Mtoto wa kitanzania anapoanza elimu ya msingi hufundishwa masomo yote kwa lugha ya kiswahili isipokuwa somo moja tu la kiingereza kwa miaka yote saba ya elimu yake ya msingi. Baada ya hapo mambo hubadilika ghafla pale mwanafunzi anapoanza elimu ya sekondari, kwani masomo yote huwafundishwa kwa kiengereza isipokuwa somo la kiswahili.

Tatizo hili huchangia kwa kiwango kikubwa kupunguza kasi, ari na uwezo wa mwanafunzi kujifunza, kwasababu mwanafunzi hujifunza mambo mageni kwa lugha ya kigeni kwa maana ya kiingereza. Hali hii kwa mtizamo wangu inachangia kuzorotesha na kupunguza ufanisi wa wanafunzi wetu kilugha katika ngazi zote.

Zaidi ya yote, mfumo wetu wa elimu katika ngazi zote haujaandaliwa katika misingi ya kumwezesha mwanafunzi kujifunza kwa vitendo. Pamoja na shule zetu kuwa na ukosefu wa vifaa vya kufundishia kwa vitendo, lakini pia ubunifu miongoni mwa walimu ni jambo jingine.

Mfano, wakati wa kufundisha somo la umeme kwa wanafunzi washule ya msingi, hapa si lazima kuwa na umeme, maana shule nyingi za vijijini hazina umeme, badala yake walimu wanaweza kutumia betri ya gari kuzalisha umeme na mwanga.


Madhalani, wakati wa kufundisha somo la uzazi wa mimea, hapa walimu wanapaswa kuandaa bustani ya majaribio, ambapo wanafunzi watapata fursa ya kuona jinsi mimea inavyoweza kuzaliana kwa vitendo.

Na kama kama ni wakati wa kufundisha somo linalohusiana na mifumo mbali mbali kama vile mfumo wa chakula, mfumo wa hewa, mfumo wa uzazi, mfumo wa neva, mfumo wa fahamu n.k hapa walimu wahusika wanaweza kumchinja chura au panya ili waweza kuonyesha kwa vitendo.

Ili kukabiliana na changomoto hizi ningependa kuishauri serikali kupitia wizara ya elimu na mafunzo kama ifutatavyo. Kwanza, kubadili mfumo wa mitaala yetu ambayo tumeirithi toka enzi za mkoloni. Jambo la msingi hapa ni kubadilisha lugha ya ufundishaji toka ngazi ya chini ya elimu hadi elimu ya juu, yaani kutoka shule ya vidudu hadi chuo kikuu.

Kama ni kiswahili basi iwe ni kiswahili toka mwanzo hadi mwisho na kama ni kiingereza basi iwe ni kiingereza toka mwanzo mpaka mwisho. Pili mitaala ibuniwe kwa lengo la kumwezesha mwanafunzi kujifunza kwa vitendo zaidi tofauti na hali ya ufundishaji wa sasa uliojikita zaidi kwenye nadharia.

Hakika kama serikali inakusudia kuwekeza kwenye ubora wa elimu basi ni lazima walimu wa stashahada/diploma na wale wa shahada/degree nao wapewe jukumu la kufundisha katika shule za msingi.

Jambo hili linaweza kuwa na ugumu wake katika utekelezaji endapo mazingira ya kufanyia kazi kwa walimu hayataboreshwa, hii ikiwa ni pamoja nyumba nzuri za kuishi walimu, huduma kama vile umeme, maji, internet, minara ya simu na TV. Upatikanaji wa huduma hizi unaweza kuwafanya walimu kudumu katika mazingira yao ya kufanyia kazi.

Iwapo jambo hili litazingatiwa basi ubora wa elimu yetu utaongezeka, na hata uwezekano wa kubadili mitaala yetu kuwa katika lugha ya kiingereza toka shule ya vidudu/ kindergarten hadi chuo kikuu utafanikiwa.

Mwisho, tukumbuke kwamba uimara wa nyumba kwa kiasi kubwa hutegemea MSINGI! Bila kusahau usemi kuwa, utavuna ulichopanda.


--
Malkiory William Matiya

Mnaweza kutembelea blogu yake: http://www.malkiory-matiya.blogspot.com/

Friday, September 03, 2010

Mbuzi Wakwama kwenye Daraja Montana


Making goats of themselves: Cory Freeman of the Rimrock Humane Society looks over at two stranded goats as they perch on a rail bridge in Montana

Wadau, hao mbuzi walikwama kwenye daraja hapo Montana kwa siku mbili. Ilibidi waokolewe na 'crane' kutoka kwenye mgodi karibu na hapo. Ningependa kujua walifikaje hapo?
*********************************************************************

Silly billies: Two young goats get stuck on six-inch ledge of railway bridge for two days
By Daily Mail Reporter
3rd September 2010
Here is the perfect example of how a moonlight stroll can go horribly wrong.
Two young goats that wandered onto the thin ledge of a 60ft railway bridge had to be rescued by a crane after two days high above a remote highway.

The poor animals' plight was only discovered when a passing motorist contacted a local charity and alerted them to the situation.

Rimrock Humane Society called the police, who then enlisted the help of a local coal mine to bring in a crane and pluck the animals to safety near Roundup, southern Montana.

The young female animals, weighing about 30lb each, mostly stayed on the angled ledge - even though there was a wider surface area on a pillar just a few feet away.

Rimrock Humane Society president Sandy Church said: 'The whole time, we thought they were going to fall off. These guys are just babies.'

Ms Church said it wasn't clear how the nimble-footed animals got into the predicament, but she speculated they wandered onto the ledge at night and then froze after the sun rose and they discovered where they were.

She said that the goats sometimes stepped to the pillar but returned to the narrower ledge, where they tried to rest their tired legs by tucking them under their bodies for a few seconds at a time.

Long way down: The two goats remained on the thin ledge for two days - until authorities could pluck them to safety after enlisting the help of a nearby mine, which brought a crane to the rescue

Authorities were called on Tuesday, when the goats were first spotted. But confusion about the location delayed the rescue until another caller alerted the humane society yesterday.

The sheriff's office, Ms Church and Cory Freeman, a humane society volunteer who runs the Animal Edventures Sanctuary, enlisted the help of officials at Signal Peak Energy, which operates a nearby coal mine.

Mine boss John DeMichiei volunteered a mining crane with an arm high enough to reach the stranded goats that eventually moved to the pillar.

Both animals were thirsty and tired but have recovered well after their ordeal - and are undoubtedly giving late-night walks a miss for the time being.

Read more: http://www.dailymail.co.uk/news/worldnews/article-1308577/Silly-billies-Two-young-goats-stuck-inch-ledge-railway-bridge-days.html#comments#ixzz0yToSKGDb

Thursday, September 02, 2010

Simu ya Kifo Yatokea Kweli Kenya!!!

Eti ukipokea simu kutoka kwa namba fulani huko Kenya, ubongo utapasuka. Uvumi unasema kuwa watu zaidi ya elfu moja wamekufa. Imebidi serikali ya Kenya iingilie!!!


Zeruzeru aliyekatwa Mikono Bongo apata Mikono Mipya

Tanzania tuna idadi ya zeruzeru (albino) kubwa kuliko nchi yoyote Afrika. Sasa kuna biashara ya kuwaua na kuuza viungo vyao kwa ajili ya mambo ya ushikirina/uchawi! Huyo dada Mariamu Staford aliletwa USA na timu ya madaktari kutoka Virginia. Amepata mikono bandia. Alikatwa mikono akiwa amelala kijijini kwake. Habari zinasema kuwa Mariamu hivi sasa amekwisha rudi Tanzania.

Tanzanian Woman With Albinism Gets New Arms

Specialist Builds Prosthetic Limbs for Mariamu Staford Who Has Albinism; Was Target of Brutal Attack


By JOSEPH DIAZ


FAIRFAX, Va., Aug. 27, 2010

Ona cold winter evening, a soft-spoken, 28-year-old single mother from rural Tanzania stepped off a plane at Dulles International Airport outside Washington D.C., with high hopes. The goal of her trip: a shot at life.

It was 28-year-old Mariamu Staford's first time outside of Tanzania; but as she approached customs, an agent wouldn't let her through, claiming she refused to be fingerprinted. It wasn't that she wouldn't, but that she couldn't.

A year ago, both of Staford's arms were chopped off -- part of a brutal campaign of death in her native country. Men armed with machetes stormed Staford's hut while she was sleeping, she told ABC News, and began cutting at her arms in a gruesome attempt to amputate them.

Click here to find out how to help Tanzanians with albinism

Persons with albinism, like Staford, are being hunted down and murdered; their bodies sold on the black market and used in witchdoctor potions, all because of a superstitious belief that the limbs of albinos possess special powers. Nearly 60 albinos have been murdered in the last three years.

The attack rendered Staford an invalid. Unable to feed or clothe herself, or care for her young son, she yearned for independence.

"I'm a grown person, but I can't do anything," she told "20/20." "I used to be able to rely on myself, but now my mother must tend to my every need."

Staford thought her future was bleak. After meeting her last year, "20/20" helped mobilize a group of volunteers, who affectionately became known as "Team Mariamu," to bring Staford to the U.S. Leading the team was Vicky Ntetema, a Tanzanian journalist-turned-advocate, who bravely first exposed Staford's tragedy.

Eventually, a customs manager, who saw "20/20's" initial report about the grotesque phenomenon of albino killings, allowed Staford into the country.

Staford's first stop was an appointment with Elliot Weintrob, the president of the Orthotic Prosthetic Center in Virginia, who would build a custom set of prosthetic limbs for Staford -- free of charge.

"You can't turn the other way when you see something like [Staford's gruesome attack]. You got to say, 'What can I do here to help?'" Weintrob said. "I don't think I had a choice. I see and hear a lot of things, but this went right to the top."

Mnaweza kusoma habari kamili kwa KUBOFYA HAPA:

Hatimaye Dawa ya UKIMWI?

Wadau, ingawa siku hizi kuna dawa za kurefusha maisha ya walioathirika na HIV/AIDS bado hakuna tiba. Mwakani kutakuwa na majaribio ya kuona kama wanaweza kusafisha virusi hivyo kutoka kwenye miili ya walioathrika. Tuombe Mungu kuwa watafanikiwa.

************************************************************
Kutoka Bloomberg.com

AIDS Quest to Kill `Sleeping' Virus Enlists Merck Cancer Drug

By Simeon Bennett - Sep 2, 2010

The 30-year-long search for a cure for AIDS, the world’s deadliest viral infection, may get a renewed boost from an unlikely source: a little-used Merck & Co. cancer drug.

Researchers at the University of North Carolina in Chapel Hill plan to test Merck’s drug, Zolinza, next year in about 20 people infected with HIV, the AIDS virus. The goal is to determine if Zolinza, or a medicine like it, can force HIV out of cells where it can reside, concealed from attack by potent antiviral treatments, said David Margolis, a professor of medicine who’s leading the research.

While AIDS drug cocktails can eliminate more than 99 percent of virus from an infected person, the treatment isn’t a cure because a remnant of the virus remains hidden in certain cells. For years, scientists have sought a simple way to drive the remaining virus into the bloodstream where the drugs can clear them from the body. Zolinza, approved in 2006 for use against a rare type of blood cancer, may work by blocking an enzyme that helps the virus avoid detection.

“It’s really all about trying to move the field ahead,” Margolis said in a telephone interview. “We don’t expect to cure anybody, but we expect to really show whether it can work the way we think it does in people -- or not.”

Zolinza earned Whitehouse Station, New Jersey-based Merck $15 million in 2008, the last year it disclosed sales of the drug, for treating a malignancy of white blood cells that affects the skin. In a laboratory test published last year, Margolis used the medicine to coax HIV out of hiding in cells taken from infected patients. Now he wants to replicate the result inside the body. Success would show he’s on the right track to finding a cure.

Mysterious Illness

“There is a good chance that it will cause some activation of latently infected cells,” said Robert Siliciano, a professor of medicine at Johns Hopkins University in Baltimore who first identified the cells in which HIV hides out, and isn’t involved in the Zolinza trial. “Nobody knows if it will work, but it’s important to try.”

AIDS was first observed as a mysterious illness among gay men in the U.S. in 1981, the same year Margolis started medical school at Harvard University in Boston. Since then it’s killed more than 25 million people, mostly in Africa.

Kusoma taarifa kamili Bofya HAPA:

Hurricane Earl Kilivyopiga Kisiwa cha Anguilla

Hurricane Earl kilipita nchini Anguilla mwanzoni mwa wiki hii. Kwa siku kadhaa visiwa vya Leeward Islands vilikosa umeme. Kwa bahati nzuri hakuna aliyepoteza maisha kutokana na kimbunga. Ila nyumba kadhaa zilipoteza paa zao na zingine kuaathirika kwa upepo kali na kuangukiwa na miti. Mnaweza kusoma habari zaidi HAPA:

Hivi sasa hapa Massachusetts tuko chini ya Hurricane Watch.
Mdogo wangu Malaika Che-Mponda ambaye anakaa huko ameniletea picha hizi.





Baada ya Kimbunga Earl Kupita


Paa ilitoka kwenye Stadium yao
Miti imeanguka
Hizo boti zitatembea tena kweli?
Mwenye boti kapata hasara!
Barabara ulizibwa


Jamaa aliamua kuacha ferry baharini...ilipona!

Sunday, August 29, 2010

KITAMBI/UNENE: Ni dalili ya Utajiri au Ugonjwa?

(Picha kwa hisani ya Michuzi Jr.)

Imeandikwa na Malkiory William Matiya

Katika baadhi ya jamii zetu nyingi hasa kutoka bara la Afrika, kumejengeka dhana kuwa kitambi /unene huashiria utajiri. Mila, imani na desturi hii kwa kiasi fulani huchangia watu kutozingatia kanuni na taratibu za lishe bora, pengine hii inatokana na mwamko mdogo wa elimu ya afya jamii.

Wakati hali ikiwa hivyo miongoni mwa watu toka bara letu la Afrika, kwa upande wa nchi zilizoendelea, watu huamini kuwa unene/kitambi ni dalili tosha ya ugonjwa. Siyo hivyo tu bali pia historia ya magonjwa katika fani ya elimu afya jamii inatueleza hivyo.

Kuna unene wa aina kuu mbili, kwanza ni ule unaosababishwa na kutozingatia kanuni na taratibu za lishe bora / balance diet. Kwa mfano ulaji wa vyakula vyenye kiasi kikubwa cha mafuta na wanga, unywaji wa mara kwa mara wa pombe kama vile bia pamoja na kutofanya mazoezi ya mwili na viungo. Aina ya pili ya unene ni ule unaotokana na urithi japo kwenye mada hii msisitizo zaidi ni kwenye aina ya kwanza ya unene.


Kuna matatizo mbali mbali yanayo ambatana na unene/kitambi. Mosi, madhara ya kiafya kama vile ugonjwa wa moyo, shinikizo la damu, kisukari aina ya pili /diabetes type II. Pili, madhara ya kisaikolojia, hasa pale mtu anapojishuku kupoteza mvuto/ aesthetic beauty. Hali imeshamiri sana hasa katika nchi zilizoendelea ambapo watu huchukulia unene/kitambi kama ulemavu fulani wa kimwili.

Pamoja na hayo, nadhani wakati mwingine tunafanya makosa kuwahukumu binadamu kulingana na mwonekano wa maumbile yao, kwani hakuna hata moja kati yetu anaweza kuingilia kazi ya uumbaji, ninasema hivi kwasababu hatuwezi kujua ni nini chanzo hasa ambacho kinapelekea mtu kuwa mnene au kuwa na kitambi. Kama nilivyosema awali, kuna aina ya unene/kitambi kinachotokana au kusababishwa na urithi.

Namna ya kukabiliana na matatizo yatokanayo na unene/kitambi, wakati watu katika mataifa yanayoendelea, hujikita zaidi kwenye matumizi ya magari hasa magari binafsi, kidogo hali ni tofauti katika nchi zilizoendelea ambapo msisizito kwao ni kwenaye matumizi ya usafiri wa umma, matumizi ya baiskeli na hata matembezi ya miguu kwa sehemu zinazofikika. Kwa hili wenzetu wa mataifa yaliyoendelea wamefanikiwa vya kutosha kwa kuwekeza na kutenganisha barabara za magari na zile za waendesha baiskeli na watembea kwa miguu.

Mwisho, njia pekee ya kukabiliana na changamoto hii ya unene/kitambi, ni kwa kuzingitia kanuni za lishe bora kwa kujisomea majarida yanayohusu elimu ya afya kwa jamii na kujijengea tabia ya kufanya mazoezi ya mwili na viungo. Muhimu kuliko yote, kama itawezekana ni kupunguza ulaji wa nyama choma na unywaji wa bia wa mara kwa mara.



Malkiory William Matiya

Mtebelee Blog yake: http://malkiory-matiya.blogspot.com/

Friday, August 27, 2010

Hii Itasaidia Wasanii Tanzania Kweli?

Naona kutukuwa na kazi hapo. Je, BASATA itaweza kukidhi mahitaji ya wasanii wa Tanzania nzima? Na hayo mambo ya vibali, watu watapata kwa urahisi au mpaka utoe bahasha. Ina maana ukitaka kuunda kikundi kijijini kwako na kufanya onyesho, ndo mpaka upate kibali kutoka Dar? Hebu nisaidie kuelewa. ila kweli hiyo suala ya haki miliki, residuals, ni muhimu.
**************************
MARUFUKU WASANII WASIOSAJILIWA KUSHIRIKI SANAA NCHINI
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

USHIRIKI WA WASANII WASIOSAJILIWA KWENYE TUNZO NA MATUKIO YA SANAA NCHINI


Baada ya BASATA kusimamia na kuratibu uanzishwaji wa Mashirikisho manne ya Sanaa nchini ambayo ni Shirikisho la Sanaa Jongevu (Filamu), Shirikisho la Muziki Tanzania, Shirikisho la Sanaa za Maonyesho na Shirikisho la Sanaa za Ufundi kwa lengo la kuvipa nguvu vyama vya wasanii na kuvipa umoja kitaifa,Baraza linapeleka nguvu kwenye urasimishaji wa sekta ya sanaa ikiwa ni pamoja na wadau wote wanaojihusisha na sekta hiyo hususan wasanii.

Kwa mujibu wa Sheria na. 23 ya Bunge ya mwaka 1984, Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limepewa jukumu la kutambua na kusajili wadau wa Sanaa, kumbi zote za burudani Tanzania Bara na wasanii wote ikiwa ni pamoja na kutoa vibali vya kufanya shughuli za Sanaa.

Lengo ni kuzifanya shughuli za sanaa kufanyika katika mazingira rasmi na ya kufuata sheria za nchi pia kuwatambua wasanii wote nchini kwa mujibu wa sheria na taratibu za nchi yetu.Ikumbukwe kwamba, kufanya shughuli za sanaa bila kusajiliwa na kupewa kibali na BASATA ni kuvunja sheria za nchi na hivyo kustahili adhabu.

Faida za kurasimisha sekta ya sanaa hususan kwa wasanii

1. Kuendesha shughuli za sanaa kwa mujibu wa Sheria za nchi ili kuepuka usumbufu.

2. Kutambulika kwa shughuli ya msanii binafsi, kikundi, Chama nk. hivyo kufanya kazi kihalali.

3. BASATA kama shahidi wa Jamhuri hutoa utambulisho/uthibitisho kwa msanii, kikundi au chama halali mahali popote panapohitajika kwa mfano wakati wa kufungua akaunti benki, kupata VISA, pasi ya kusafiria, mikopo kwenye asasi za fedha, msaada au ushahidi mahakamani.

4. Ikihitajika kuweka ulinzi wa kisheria wa kazi za sanaa,kwa mfano wa Hakimiliki na Hakishiriki.

5. Kuingilia kati pale makubaliano/mikataba ya msanii, kikundi, chama nk. inapokiukwa na kuripotiwa katika Baraza.

6. Kushauri na kutoa mafunzo ya sanaa.

7. Kutafutiwa masoko na/au kuunganishwa na masoko, wasanii na fursa mbalimbali zinapojitokeza.

BASATA linawaagiza waandaaji wa matukio ya sanaa nchini (Tunzo za Sanaa/matamasha/maonyesho) kuhakikisha wanafanya kazi na wasanii waliosajiliwa tu na inapotokea kufanya vinginevyo basi muandaaji wa tukio husika na msanii atawajibika moja kwa moja.

BASATA linatoa hadi tarehe 31 Oktoba, 2010 kwa wasanii na wadau wote nchini kujisajili vinginevyo hatua za kisheria zitachukuliwa ikiwa ni pamoja na kuwazuia wasanii pia wadau wasiosajiliwa kushiriki tunzo/matamasha/Matukio ya Sanaa.

Ghonche Materego

KATIBU MTENDAJI, BASATA.

Thursday, August 26, 2010

Rushwa Kilombero



Kuna mdau ameleta picha hizi. Hebu mlioko huku mtupe habari zaidi za hiyo get ya huko Kilombero.

"Dada Chemi naomba utoe hii waone jinsi rushwa iko njenje gate la mali asili Kilombero River, hasahasa upande wa wilaya ya Ulanga, mkoani Morogoro."
Hiyo ni lory ni usafiri mbadala wa wilaya hiyo,hwa ni wafanyabiashara ambao ulazimika kutoa rushwa ili wasitoe pesa nyingi kwa ajili ya ushuru wa mazao kutoka wilaya hiyo,kwani gunia moja hulipia tshs 20,000/-na hyo alikuwa na gunia 10 za mpunga asingeweza kutoa laki mbili kwa hiyo alihonga 50,000/=na kuruhusiwa kupita nazo!"

Tani 9 za Madawa Bandia Yakamatwa Afrika Mashariki


Kila siku tunasikia habari ya madawa bandia Bongo. Tunasikia watu wameugua zaidi na hata kufa shauri ya kununua au kupewa madawa bandia. Mwisho wake utakuwa lini? Serikali ifanye nini kukomesha hayo madawa bandia yasiingizwe nchini?

****************************************************

Kutoka CNN.Com

9 tons of fake medicine seized in East Africa

August 26, 2010 10:54 a.m. EDT

(CNN) -- Authorities have seized 9,072 kilograms (20,000 pounds) of counterfeit medicine and arrested 80 people suspected of illegal trafficking in six East African nations, Interpol said Thursday.

More than 300 premises were checked or raided in the two-month operation across Uganda, Burundi, Kenya, Rwanda, Tanzania and Zanzibar, according to a news release from the international police agency.

The confiscated loot included anti-malaria drugs, vaccines and antibiotics. There was also a significant quantity of government medicines diverted to illegal resale markets.

It was the third such seizure operation in as many years in East Africa, intended to curb the manufacture and distribution of counterfeit medical products.

Representatives of the six nations are scheduled to meet in Zanzibar next week to discuss the seizure and the extent of the counterfeiting problem, Interpol said.

The World Health Organization defines counterfeit drugs as "medicine, which is deliberately and fraudulently mislabelled with respect to identity and/or source."

Counterfeiting can apply to both brand-name and generic products, and forged products may include those with the correct ingredients or with the wrong ingredients, without active ingredients, with insufficient active ingredients, or with fake packaging, WHO says.

The United Nations agency created a global task force in 2006 to deal with the problem, which has been growing as international markets expand and become globalized and internet commerce has taken off.

The fake products can prove detrimental to public health efforts in disease-ridden countries and in worst-case scenarios can cause death, according to the WHO task force.

Wednesday, August 25, 2010

Ngedere Dume Amtunza Kitoto cha Paka

Wadau, huyo ngedere aliyeshika kitoto cha paka ni Dume tena ana mandevu. Inakuwaje anakuwa na hisia za mwanamke za kumtunza mtoto? Cheki alivyompakata na kumbeba paka...kama vile mwanae. Huyo paka inaelekea ni yatima na ni bahati tu
aliingia kwenye hiyo hifadhai na kukutana na ngedere mwenye huruma. Wengine si wangemwua au kumla? Wanasema ndegere dume anafanya kazi nzuri ya kuinda usalama was huyo paka. Huyo ngedere yuko katika hifadhi ya manyani huko Bali, Indonesia.

Mnaweza kuona picha zaidi hapa:

http://www.guardian.co.uk/environment/gallery/2010/aug/25/bali-animals#/?picture=366113732&index=5

************************************





Onyo Kutoka Ubalozi wa Marekani Dar - Wizi

Wednesday, August 18, 2010, 3:20 AM

U.S. Embassy Dar es Salaam, Tanzania
Warden Message - Snatch and Grab Robberies
August 17, 2010

This Warden Message is being issued as a reminder of the continuing
problem of snatch and grab robberies in Dar es Salaam. Most recently,
occupants of a vehicle have grabbed bags, purses, and backpacks from
pedestrians and bicyclists traveling on the side of the road. Many of
these robberies occurred on the Msasani peninsula, specifically on Yacht
Club Road, Chole Road, and Haile Selassie Road. The latest incident
occurred the night of August 15 on Mahando Road near the Sea Cliff
Hotel. Several of these robberies occurred after the victim visited the
Barclay's bank in Slipway.

The U.S. Embassy reminds U.S. citizens to be aware of your surroundings
at all times and to be especially alert to individuals paying an undue
amount of attention to your activities. We also strongly advise against
carrying bags or purses while on foot or bicycle. If that is
unavoidable, be sure to carry the bag in front of you or on your side
furthest away from traffic. Bags that are nondescript, or even worn or
dirty in appearance, may be less appealing to criminals.
Facing oncoming traffic as you walk may allow you to anticipate a
robbery attempt and take evasive action. It is wise to avoid walking
after dark.

If you experience a snatch and grab robbery, release your belongings to
avoid physical injury. By hanging on, you risk being dragged down the
street (as has happened already), or getting caught under the rear wheel
of the car. To avoid losing your cell phone along with your bag or
purse, carry it in a pocket or somewhere else on your person.
The local equivalent to the "911" emergency line in Tanzania is: 111
U.S. citizens living or traveling in Tanzania are encouraged to register
with the U.S. Embassy through the State Department's travel registration
website, https://travelregistration.state.gov/ibrs/ui/, so that they can
obtain updated information on travel and security within Tanzania. U.S.
citizens without Internet access may register directly with the nearest
U.S. Embassy. By registering, U.S. citizens make it easier for the
Embassy to contact them in case of emergency. The Consular Section of
the U.S. Embassy in Tanzania can be contacted by telephone at [255] (22)
266-8001 x 4122 and by fax at [255] (22) 266-8238. You may also contact
the U.S. Embassy in Tanzania via email at drsacs@state.gov. For after
hours emergencies, U.S. citizens should call [255] (22) 266-8001.
U.S. citizens may also call the Office of Overseas Citizens Services in
the United States for the latest travel information. The Office of
Overseas Citizens Services can be reached from 8:00 a.m. until 8:00 p.m.
Eastern Daylight Time, Monday through Friday, by calling 1-888-407-4747
from within the U.S. and Canada, or by calling (202) 501-4444 from other
countries.

Tuesday, August 24, 2010

Barabara kati ya Tunduru na Masasi

Nimeona hii picha ya barabara kati ya Tunduru na Masasi. Nimeipenda sana. Imenikumbusha mbali. Picha ilipigwa na mtalii kutoka Uholanzi.

Monday, August 23, 2010

Msiba Michigan - Mrs. Betty Mwakasisi


The late Elizabeth Mwakasisi
To all Tanzanians and Friends,

On behalf of the family of Frank & Elizabeth Mwakasisi, I am deeply saddened to announce the death of Mrs. Elizabeth Mwakasisi that took place on Saturday, August 21, 2010 at Bronson Hospital, in Kalamazoo, Michigan, USA. Elizabeth was undergoing treatment for breast cancer at the time of her death.

Funeral arrangements are being made for Mrs. Elizabeth Mwakasisi to be laid to rest in Dar es Salaam, Tanzania.

The estimated cost of Funeral Home services and transport of the body and family members to Tanzania is $30,000.00. To help raise funds to meet the challenge of $30,000.00, I urge every Tanzanian and friends of Tanzanians to give generously to meet the goal of resting Elizabeth in peace in Tanzania.

An account has been opened to facilitate collection of the Memorial Fund. The account details are as follows:

Account Name: Elizabeth MwakasisiBank name: JP Morgan Chase BankBank Routing Number: 072000326Bank Account: 905469870Bank Location: Portage, Michigan

You can also send check or money order to:
Frank Mwakasisi
6484 Independence Dr.
Portage, MI 49024

For more information or updates, please contact any of the following family members:
1) Rev. Dr. Norbert Mwitula (773) 886-2228 or mwitulan@yahoo.com2) Rev. Dr. Aba Mpesha @ (616) 717-2337 or abampesha@yahoo.com3) Apostle Robert Kagumba @ (269) 903-6465 or elikagumba@yahoo.com4) Dr. Exaud Koka @ (630) 303-6585 or enkoka@yahoo.com
5) Dr. Lennard Tenende @ (713) 540-6355 or Lenard.tenende@cilicorp.com

You can reach the Mwakasisi family by email or snail mail to comfort them after such a big loss of their loved one at frank@MightyOutreach.com or

Frank Mwakasisi
6484 Independence Dr.
Portage, MI 49024
USA

Job 1:21 The LORD gave, and the LORD has taken away;
blessed be the name of the LORD.
Job 13:15 - Though he slay me, yet will I trust in him

Saul Mwakatapanya
Tanzania Community Association (TCA)

Tiger Woods na Mke Wake Wameachana

Tiger Woods na mke wake mzungu Elin Nordegren wameachana. Habari zimetangazwa rasmi leo. Ndoa ya Tiger ilianza kuvunjika mara mke wake alivyogundua anatembea na mzungu mwingine. Haikuishia hapo....iligundulika kuwa Tiger katembea na majike wa kizungu zaidi ya 14 wakati wa ndoa yao. Wote wazungu wenye nywele blonde. Hata siku moja hajaonekana na mwanamke mweusi.

Haya Elin anarudi kwao Sweden na donge nono. Tiger ni billionaire na walizaa watoto wawili moja ana miaka mitatu mwingine wa kiume ana mwaka moja tu.

Pole zao naona mapenzi yakawa chungu.

Mnaweza kusoma habari zaidi hapa:

http://www.golf.com/golf/tours_news/article/0,28136,2012613,00.html

Sunday, August 22, 2010

Rais Kikwete Alivyoanguka Jukwaani Jangwani

Masononeko na vilio mara baada ya Rais Kikwete kuanguka (photo: PwaniRaha.com)

Mnaweza kuona picha na video JAMII FORUMS:

http://www.jamiiforums.com/uchaguzi-tanzania-2010/70521-kikwete-aanguka-ghafla-jangwani-22.html

Wadau, nimesikitika sana kusikia habari kuwa Rais wetu mpendwa kaanguka Jukwaani. Kama ni shauri ya swaumu au tatizo lingine tumwombee.

Nimetazama video ya tukio na niliogopa. Unamsikia rais akihutubia kwa nguvu, ghafla anasema, "Aisei" halafu anaongea maneno ambayo hayaeleweki halafu mwisho anaanguka. Unaona maelfu wa watu wanakuwa na wasiwasi, unasikia akina mama wakipiga mayowe! Mtangazaji anasema "CCM JUU" Hakuna anayeitika watu waote hofu kwa rais. Nikajiuliza aliposema, "Aisei" alisikia maumivu fulani?

Kwa kweli viongozi wanaanguka mara kwa mara. Ratiba zao nzito wakati mwingine wanakosa muda wa kumpumzika. Rais Bush wa kwanza alianguka Japan tena alianguka kwenye bega la waziri mkuu wa Japan. Janet Reno naye alianguka hadi sakafuni, pwaaa kisa uchovu. Mgombea Rais, Bob Dole naye aliaanguka. Tanzania, wameanguka wengi shauri ya malaria, ulevi na matatizo mengine ya afya. Miaka ya 80 Kizito fulani alikuwa anahutubia huko kaanza kuharisha shauri ya kipundupindu. Acha tu. Uongozi si mchezo!

Hapa USA kiongozi akianguka wanaonyesha kideo mara mia na zaidi, na waletwa wataalamu wa afya kuchunguza kutoka kwenye kideo nini kilimsbabisha aanguke. Hivyo tusione jambo la ajabu. Rais ni binadamu kama sisi, siyo Superman.

Pole sana Rais wetu mpendwa, Mheshimiwa Jakaya Kikwete. Tunakuombea uzima.

Thursday, August 19, 2010

Tatizo Sugu la Msongamano wa Magari Dar


Nimepata hii kwa email.

Imeandikwa na Mdau

Malkiory William Matiya

Kuna haja ya kutafuta tiba ya gonjwa hili sugu la msongamana wa magari
ndani ya jiji la Dar es salaam.

Pengine hatua za tiba hii inaweza kuwa mwiba kwa wahusika au walengwa
wa chimbuko la tatizo hili, lakini tukumbuke kwamba maendeleo yeyote
au mabadiliko yeyote hayakosi kuwa na gharama zake, ninapoongelea
gharama hapa ninamaanisha hasara kwa wale ambao wanamiliki vyombo hivi
vya usafiri ambavyo ndivyo chanzo cha msongamano na pengine ajali za
mara kwa mara zinazosababishwa na baadhi ya vyombo hivyo vya usafiri
kutokuwa kwenye hali ya usalama au ubora unaotakiwa au hata pengine
kitendo cha vyombo hivi kujali maslahi binafsi kuliko usalama wa
abiria.

Hili ni dhahiri pale ambao unakuta dalala limesheheni abaria bila hofu
kuwa wamebeba binadamu na siyo nguruwe. Kwa upande wa serikali na
mamlaka husika gharama itakuwa ni lawama watakazozibeba pale ambao
wataamua kusitisha matumizi ya dalala hizi maarufu kama vipanya ambazo
kwa mtizamo wangu ndilo chanzo kubwa la msongoma katika jiji la Dar es
salaam.

Nakumbuka miaka ya nyuma kidogo ilikuwa kazi kubwa kupitisha mguu
katika maeneo ya kariakoo na mtaa wa kongo kwasababu ya msongamano
uliokuwa ukichangiwa na wafanyibiashara wadogowadogo maarufu kama
wamachinga.

Kama nilivyosema awali kwamba mabaliko yeyote au maendeleo yanahitaji
wakati mwingine kujitoa mhanga au sadaka, kazi ya kuwaondoa wamachinga
haikuwa kazi rahisi kwani iliambatana mapambano kati ya wamachinga na
wanamgambo, jambo ambalo lilileta mijadala na kelele toka watu
binafsi, taasisi, waandishi na wanaharakati, lakini basi baada ya
zoezi hilo kufanikiwa ni nani leo hii asiyefurahia matunda ya kazi
hiyo.

Leo hii unapopita mitaa hiyo angalau kuna amani na usalama wa
watu,tofauti na hali ilivyokuwa awali mara mtu kachomolewa pesa
mfukoni mara wamepokonywa mikufu, saa, pochi na hereni zao za dhahabu.
Nikirudi kwenye hili tatizo la msongamano wa magari katika jiji la Dar
es salaam, kwa mtizamo wangu zaidi ya kwamba ni kero lakini pia kuna
madhara kadha wa kadha ambayo huambatana na msongamano wa magari
katika jiji la Dar es salaam, mfano, licha ya kuwa tatizo hili
hulipunguzia heshima nchi pamoja viongozi wake lakini pia husababisha
kero za kisaikolojia kwa wafanyakazi na wanafunzi pindi wanapochelewa
kufikia makazini na mashuleni kwa wakati unaotakiwa kwa kuwa mara
kwa mara wanakumbana na adha za kugombania daladala ili waweze kuwahi
maofisini na mashuleni.

Siyo hivyo tu lakini pia wakati wa kurejea manyumbani baada ya kazi na
masomo kero hizo zinabakia pale pale.

Sasa basi, nini kifanyike na ni jukumu la nani kutokomeza kabisa hili
tatizo au kero ya msongamano wa magari katika jiji la Dar es salaam?
Nadhani jibu liko wazi tu kwani dhama hii ipo mikononi mwa serikali na
mamlaka husika. Najua kabisa zoezi lolote litakalolenga katika
kusimamisha matumizi ya vipanya na kutafuta njia mbadala litakuwa ni
mwiba kwa wahusika au wamiliki lakini kwa upande wa serikali endapo
itakuwa tayari kufanya mapinduzi na mabadiliko ya kweli basi serikali
haina budi kuubeba huu msalaba na sharti izingatie ule usemi kuwa
ukitaka kumuua nyani usimtizame usoni .

Kama njia mbadala ya kukabiliana na tatizo hili, ningependekeza
serikali kuingia mkataba kwa kuwaruhusu wawekezaji binafsi ambao
wamebobea na kuonesha ufanisi wa hali ya juu katika sekta ya usafiri.

Ni ukweli usiopingika kuwa kuna makampuni ya mabasi yaliyofanikiwa
kujijengea heshima kibiashara kwa huduma zao nzuri na za uhakika. Kama
serikali itawapa dhamana ya kutoa huduma za usafiri katika jiji la Dar
es salaam, naamini kabisa makampuni kama vile DAR EXPRESS,
KILIMANJARO, ABOOD NA SCANDANAVIA wanaweza sana tena kwa kiwango cha
juu kutupatia huduma ya usafiri kwa kupitia mabasi makubwa na siyo
daladala maarufu kama vipanya kama ilivyo sasa.

Hakika matumizi ya daladala maarufu kama vipanya si tu kuwa ni chanzo
cha kero mbali mbali kama vile foleni, ajali, unyanyasaji wa
wanafunzi, kutotii sheria za alama za barabarani lakini pia daladala
hizi hushusha kwa kiwango cha juu hadhi ya jiji letu la Dar. Sitapenda
kufanya marudio yasiyo na maana kwani ufumbuzi wa namna ya kukubiliana
na hili upo kwenye makala yangu ya awali.

Tatizo lingine linalochangia foleni ya magari ni kutokuwa na barabara
za uhakika, barabara ambazo zimejengwa kitaalamu kukidhi mahitaji na
wingi wa magari. Nini kifanyike hapa basi, je ni tatizo la ukosefu wa
wahandisi wabunifu wa mambo ya barabara, au pengine ni ukosefu wa
mwamko na ubunifu miongoni mwa viongozi wahusika katika masuala ya
mipango miji/ city planning, hapa nitawalenga moja kwa moja watu kama
vile meya wa jiji, pamoja na wahandisi wakuu wa jiji n.k au ni tatizo
la ukosefu wa fedha za ujenzi wa barabara hizi muhimu za katikati ya
jiji ambazo huchangia kwa kiasi kikubwa kero za foleni.

Sasa basi endapo tatizo ni ukosefu wa ubunifu miongoni mwa wahandisi
wetu wa mambo ya barabara ningependa kuishauri serikali kama
ifuatavyo, hapa Finland kuna wataalamu na wabunifu wa hali hali ya juu
katika masuala ya ujenzi wa barabara. Kwa jinsi ninavyowafahamu Wafini
ni watu wanaopenda kusaidia sana katika mambo ya maendeleo, hivyo basi
endapo serikali inaweza kuwasilisha ombi lake hata kwa kupitia ubalozi
wa Finland Tanzania, ili wahandisi wachache waje kufanya survey ya
namna ya kujenga barabara za katikati ya jiji ambazo ndizo chimbuko
hasa la msongamano wa magari nina amini kabisa serikali ya Finland
inaweza kabisa hata kwa bure kuja kuwatuma hao wahandisi bila ya
serikali kuingia gharama yeyote.

Kama tatizo ni ukosefu wa pesa na mwako miongoni mwa viongozi wahusika
na mambo mipango miji/city planning basi hapo mimi sina la kusema
kwani jukumu hilo litabakia kuwa mikononi mwa serikali, lakini kwa
upande mwingine siamini kama tatizo ni fedha. Maana hata donor
communities wanamwaga mapesa kibao katika miradi ya maendeleo hivyo
basi ni suala la serikali kuweka kipaumbele kwenye kutokomeza hili
tatizo sugu ambalo limebakia kuwa wimbo wa kila siku miongoni mwa
watanzania.

Tatizo lingine linalochangia katika foleni ya magari katika jiji la
Dar. ni ukosefu wa maeneo ya kuegeshea magari/car parking sites. Hivyo
basi ili kubaliana na tatizo hili, serikali lazima ianzishe utaratibu
wa kueleweka wa kukujenga maeneo ya kuegesha magari kutegemeana na
upatikanaji wa nafasi kati maeneo kama vile, benki, ofisi, hoteli,
supermarkets, vyuo, shule n.k. . Kama tatizo ni ufinyu wa maeneo ya
kujenga maegesho ya magari, wahandisi wanaweza kufanya ubunifu kama
vile kujenga underground car parks ua hata katika mfumo wa ghorofa.

Mwisho napenda kusema serikali isisite katika kuwekeza kwenye haya
maoneo ya kuegeshea magari. Kwani maegesho haya yanaweza kuwa njia
mojawapo ya serikali kujiongezea mapato yake. Ila itakuwa ni jambo la
kusikitisha kama mapato yatokanayo ushuru wa uegeshaji magari
yataingia mifukoni mwa watu binafsi wenye hulka ya ufisadi.


Malkiory William Matiya,

Tuesday, August 17, 2010

Michuzi Post


Habari Muhimu Kutoka kwa Kaka Michuzi

*********************************8
Asalaam Aleikhum Wadau,

Kwa furaha, heshima na taadhima naomba kutangaza rasmi libeneke jipya
la www.michuzipost.com ambalo wikiendi ilopita lilipaa hewani katika
kile kiitwacho uzinduzi laini (soft launch). Kunradhi kwa
kutowataarifu mapema, kwani ilibidi mambo kadhaa yawekwe sawa kwanza
kabla ya kuthubutu kutia neno kama nifanyavyo sasa.

Wadau wa Globu ya Jamii naomba baraka zenu pamoja na maoni juu ya
libeneke hili ambalo azma ya kulianzisha ni ile ile ya Kuendeleza
Libeneke kwa njia ya kisasa zaidi na kwa upana mkubwa. Hivyo
nakaribisha maoni, ushauri pamoja na neno lolote lile litalonkisaidia
kuboresha libeneke hili.

Kama nilivyotamka awali, bado niko katika uzinduzi laini, kwani kama
ujuavyo libeneke kama hili halitaki papara. Linahitaji subira, sikion
sikivu la neno toka kwa wadau ambao sapoti yao naithamini kama lulu
kwa muda wote huu.

Globu ya Jamii itaendelea kuwepo hewani kama kawaida, na itaenda
sambamba na Libeneke hili la www.michuzipost.com pamoja na lile la
www.michuzi-matukio.blogspot.com. Hivyo wadau Globu ya Jamii
itaendelea kudunda kama kawaida, ikiwa ni chapuo la Libeneke jipya
ambalo kama utavyoliona, litakuwa na habari na taarifa motomoto kwa
mapana na undani zaidi.

Inshaallah panapo majaaliwa Libeneke hili jipya litazinduliwa rasmi
mnamo September 8, mwaka huu - ikiwa ni siku ya kuadhimisha miaka
mitano kamili ya kuzaliwa kwa Globu ya Jamii kama link hii
inavyojionesha http://issamichuzi.blogspot.com/2005/09/michuzi-and-ndesanjo.html#comments.

Namshukuru Muumba wa Yote kwa kunipa nguvu na uwezo kufikia hapa
nilikofikia. Pia natoa shukrani kwa kila mdau ambaye amekuwa akinipa
sapoti ya nguvu kila siku kwa kutembelea Globu ya Jamii. Ni mategemeo
yangu kwamba baada ya kwikwi ya kuwa na Libeneke jipya wakati fulani
huko nyuma, sasa mambo yanaonekana kuwa mswano na Libeneke litaendelea
kama kawa.

Libeneke hili jipya la www.michuzi.post.com limewezekana kwa ushauri
na msaada pamoja na ushirikiano mkubwa wa Bw. Zubeir Masabo na Bw.
Alistair Horsburgh, washirika wangu walio Uingereza ambao kwa pamoja
tutaendesha Michuzi Post Ltd. kampuni rasmi itayosimamia uzalishaji wa
bidhaa za www.michuzipost.com. Sambamba nasi pia kuna kikosi kazi
kikubwa ambacho kitakuwa kinashughulika katika kuendeleza Libeneke
hili.


Muhidin Issa Michuzi
Mkurugenzi
Michuzi Post Ltd

African Dance Club -Slipway


Dear Friends
The Holidays are over – it's time to get in shape again.
The RangiRangi African Dance Club offers you a work out with plenty of fun. We meet at The Slipway every Wednesday, or we can come to a place of your choice if you are a group of 8 or more.
If you are interested in playing drums we can assist you in organizing classes.
Here below is a summary of products and prices. Let us know if you need any further information.
The RangiRangi
African Dance Club
Work Out - Lose Weight - Have Fun ...
...while learning how to dance to drums & African rhythms.
List of Activities
Activity
Venue
Day/Time
Price pp.
Adults' Dance
Slipway Cinema
Wednesdays 5-6/6-7pm
5'000
Home Dance
Your Choice
Your choice, minimum 8pax
10'000
Kids' Dance
Your Choice
Your choice, minimum 6pax
5'000
Drumming
Lessons
Slipway Cinema
or your choice
Upon request
Upon request
For advance bookings & more information
Call/sms to: 0784 226 649 or
E-mail to: rangirangiafricandance@gmail.com

Sunday, August 15, 2010

Dr. Aleck Che-Mponda Ashekerea 75th Birthday!

Baba yangu mzazi, Dr. Aleck Che-Mponda amesherekea miaka 75 ya kuzaliwa. Tulimfanyia ka-party Maryland kwa mdogo wangu.

HAPPY BIRTHDAY DAD! May you see many more!

***************************************************************

Baba na baadhi ya zawadi alizopewa.

Baba akifungua Champagne.
Baba akijiandaa kupuliza mishumaa kwenye keki ya birthday.

Mara baada ya Mama kumlisha baba Birthday cake.
Ndugu kutoka Anguilla walikuja kusherekea pia. Hapa Baba yuko na wifi wa mdogo wangu na Mama mkwe wa mdogo wangu Mama Gumbs.
Pichani (mimi, Mrs. Rita Che-Mponda, Dr. Aleck Che-Mponda, Mzee Emmanuel Muganda)

Wednesday, August 11, 2010

Nawatakia Ramadhani Njema!


Nawatakia wadau waIslamu mwezi mtukufu wa Ramadhani Njema! Nilipita Roxbury, Boston leo jioni na kuona WaIslamu wakienda kuswali mskiti mkuu wa New England. Nilifurahi sana kuona wengi wakielekea huko.
**************************************************************
Ramadan Begins Today, Muslims Start the Month of Fasting


By Hassan El-Najjar

Ramadan Mubarak!

Today, Wednesday, is the first day of the Islamic month of Ramadan (Ramadhan), of the year 1431 Hijriya, corresponding to August 11, 2010.

Adult Muslims all over the world start fasting this month as required by their religion. They abstain from eating, drinking, smoking, and having sexual activity from dawn to the sunset.

Fasting is the fourth way of worshipping God after the proclamation of faith, performing prayers, giving the poor tax (alms or charity), and followed by the pilgrimage, Haj.

For more information about Ramadan fasting, see the following articles:

Tuesday, August 10, 2010

Mrs. Pauline Lumumba Mjane wa Patrice Lumumba

Wadau, baada ya kuona sinema, Lumumba, mwaka 2001, nilikuwa najiuliza mke wa Patrice Lumumba alikuwa wapi. Lumumba aliuwawa mwaka 1961 akiwa Waziri Mkuu wa Congo. Alikuwa ni mtu ambaye alipenda sana nchi yake na nadhani angeishi Congo ingekuwa mbali zaidi. Yuko Gombe, Congo.


Mama Pauline Lumumba mjane wa Waziri Mkuu wa Congo, Patrice Lumumba aliyeuwawa mwaka 1961. Amekaa mbele na Waziri Mark Mwandosya.

(Picha kwa hisani ya Michuzi Blog) Alipokuwa Kinshasa Prof. Mark Mwandosya pia alimtembelea Mama Pauline Lumumba, mjane wa Waziri Mkuu wa kwanza wa Congo, Marehemu Patrice Emery Lumumba,nyumbani kwake Gombe. Katika picha, waliokaa ni Mama Pauline Lumumba na Prof. Mark Mwandosya. Waliosimama kushoto ni Mama Lucy Mwandosya na kulia ni Juliana Lumumba, binti wa marehemu Patrice Lumumba, aliyekuwa waziri wa Habari na Utamaduni katika serikali ya Marehemu Laurent Kabila.
Mama Pauline Lumumba na moja wa watoto wake, na shemeji yake mara baada ya kuuwawa kwa mume wake, Patrice Lumumba, mwaka 1961.

Come Meet First Lady of Massachusetts - Diane Patrick

Pichani: Governor Deval Patrick and wife First Lady Diane Patrick


~SPREAD THE WORD~

African Women for Deval

are honored to host*

First Lady Diane Patrick
at a
Deval Patrick Fundraising Celebration

of African

Food. Dance. Fashion. Music.

on
Sunday, August 22nd
2:30pm - 6:00pm

at
Memorial Hall
590 Main St.
Melrose, MA 02176

Come dressed in your traditional dress as we celebrate:
"The African Woman - Who She Is and What She Can Do"
in support of Governor Patrick.

Celebration Event Ticket ~ $25
Exclusive Pre-Reception with First Lady Diane Patrick ~$125

http://www.actblue.com/page/africanwomencelebration

This will be a very memorable event and we want you to be a part of it! RSVP Required. Please RSVP to gaccampaign@gmail.com or 617-5447-GAC (422)~~~~~~~~*

The host committee is still forming and if you are interested in being a part of it please contact us (gaccampaign@gmail.com or 617 544- 7422) right away for more information

Shoga Aua Shoga Mwenzake Boston

pichani Shoga Eunice Field (alieykaa), akisikiliza mashitaka dhidi yake mahakamani leo

Hapa Boston, kuna shoga kakumbwa na wivu ile mbaya baadaye ya kuibiwa mpenzi wake na shoga mwingine. Eunice Field (54) Alienda kwa yule ambaye alimwibia na kumchoma kisu mara tano. Baada ya kuua alienda kujisalimisha kwenye kitu cha polisi. Mwenye nyumba wa Lorraine Wachsman (62) alisema kwenye taarifa ya habari kuwa haukujua kuwa marehemu ni shoga. Marehemu alikuwa mwamlimu wa shule ya msingi kwa miaka mingo na alikuwa amestaafu. Kumbe hata mashoga wanakuaga na wivu!!!
***************************************************************************
BROCKTON – A prosecutor today said the Brockton woman who allegedly confessed to murdering a retired schoolteacher blamed the victim for breaking up an important romantic relationship.

Eunice Field, 54, appeared in Brockton District Court today where a not guilty plea to a charge of murder was entered on her behalf. Judge Julie S. Bernard ordered Field held without bail.
Field allegedly murdered 62-year-old Lorraine Wachsman inside Wachsman's Bridgewater condo on Monday. Assistant District Attorney Thomas Flanagan said in court today that Field stabbed Wachsman three to four times in the back and neck with a serrated knife.

Flanagan also said that Field left a note she hoped her ex-girlfriend would find. In it, Flanagan said, Field wrote that Wachsman got what she deserved for "taking away the love of her life.''
Mnaweza kusoma habari zaidi hapa: