Wednesday, August 26, 2009

Rest in Peace Senator Edward Kennedy


1932-2009

Senator wetu mpendwa, Edward M. Kennedy, amefariki dunia leo asubuhi huko nyumbani kwake Hyannisport, Massachusetts. Alikuwa anaumwa ugonjwa wa kansa ya ubongo. Senator Kennedy alikuwa mdogo wake rais John F. Kennedy aliyeuawa mwaka 1963. Senator Kennedy alipendwa sana kwa kuteteta haki za wanyononge Marekani na hapa Massachusetts. Asante ssenator Kennedy, maskini hapa Massachusetts wana unafuu wa maisha kuliko sehemu zingine. Kama mtu alikuwa na shida za uhamiaji na matatizo mengine waliweza kumwendea kumomba msaada. Alisaidia maelfu ya watu.

Kwa sasa watu wa Massachusetts tuna majonzi. Atakumbukwa daima.

REST IN ETERNAL PEACE SENATOR KENNEDY!

2 comments:

Anonymous said...

Talk about redemption, he really will be deeply missed. I salute you Sir Ted Kennedy........

Anonymous said...

Rest in Peace. Huyo aliwasaidia sana waafrika waliokuwa na matatizo ya uhamiaji, si uongo!