Friday, July 11, 2008

Msaada Kwenye Tuta - Chombeza Time


Mzalendo mwenzangu nikiwa kama mdau wa kublog na host wa http://www.mwakilaga.blogspot.com/naomba msaada kwenye tuta, unitangaziye ujio wa kitabu changu cha mahaba, Chombeza Time kiatakachoingia mtani Julai 21, nashukuru kwa kunisaidia katika hili.

Chombeza Time kitakuwa kimesheheni mada kali za mahaba na meseji zenye hisia kali za mapenzi zaidi ya 500 ili kuwawezesha wasomaji kupata vitu adimu vitakavyowasaidia kutumisha uhusiano wao!!Si kitabu cha kukosa kitapatikana kwenye meza za magazeti nchini kote kwa bei ya Tsh. 1500/- tu .

Asante,
brazatk@yahoo.com
Mobile: 0715 888887
http://www.mwakilaga.blogspot.com/

No comments: