Thursday, September 30, 2010

Josiah Kibira University in Bukoba




This summer, president Jakaya Kikwete was in Bukoba to attend the 100 anniversary of the Lutheran Church in the area. As part of those festivities, Josiah Kibira University College was dedicated.

In his speech, Kikwete noted that it was about time for Bukoba to have a university since Bukoba people are known to be "Nshomile" (Booksmart) and yet had no university in the area. The comment was all in good fun, the crowd reciprocated with a weak cheer and laughter.

To see the abbreviated version of that speech CLICK HERE

To read more on the college, CLICK HERE

Thursday, September 23, 2010

Kunguni Summit


Wadau, kunguni wamerudi Marekani. Ukiwa na kunguni nyumbani kwako inabidi ulipe zaidi ya dola $1,000 ili exterminator aje kuwaua! Marekani wana haha sasa maana ile dawa ya DDT waliokuwa wanatumia miaka ya nyuma kuwaua ni marufuku kutumia. Watu wanaongopa maana wengine hawajawahi kuwaona walidhani ni hadithi tu. Sasa hata sehemu za fahari zimevamiwa.

Nakumbuka tulipambana na kunguni Taboara Girls. Tulikosha magodoro na vitanda na dawa maalum na hatukuwaona tena. Hebu soma story chini kuhusu mkutano mkuu wa jinsi ya kupambana na kunguni. Ilibidi nicheke hasa ile ya kununua jiko la kupikia sanduku lako ukisafiri!


*********************************************************************
Kutoka:http://news.yahoo.com/s/time/20100923/us_time/08599202103600

Bedbug Outbreak: Grim Summit on How to Fight Infestation

It's possible that bedbugs are simply the latest in a long string of public panics over epidemics that eventually proved to be manageable, from killer bees to bird flu. But that would not quite capture the grim mood of a big bedbug summit, held the past two days at a hotel near Chicago's O'Hare International Airport. More than 350 people gathered at the two-day event, which sold out five weeks in advance.

One scientist showed, using DNA evidence, how the bugs hop blithely from continent to continent on clothing, carry-ons, backpacks and purses. Another tracked the eruption of bedbug colonies through a single multistory apartment building. Another flashed a photograph of a robust bedbug literally glistening with drops of poison rolling off its back. (See pictures of bedbugs.)

Judging by the number of note-taking exterminators at the summit, however, even pest-control professionals are still searching for tips. There is no perfect insecticide. Even if DDT were magically restored to the market, bedbugs have evolved a resistance to their once mortal foe. Many professionals advise clients to zip their mattresses and box springs into impermeable casings, but not all products are created equal. Summit organizer Phillip Cooper says he has seen hungry bugs squeeze between the zipper teeth of ineffective mattress cases.

The exhibition hall in Chicago suggested the range of bedbug-fighting strategies. Mobile ovens offered to bake the bugs to death. ("Heat is the bedbug's Achilles' heel," says White.) Powerful vacuums proposed to suck them to oblivion. Some experts favored steaming; some favored poison dust; some suggested electrocution. A woman from Australia claimed to have eliminated her infestation by installing simple barriers on her bed legs and waiting patiently for the bugs to starve. (See pictures of the fascinating, frightening world of insects.)

A better solution, experts agree, is to avoid importing bedbugs in the first place. Be cautious in public places where upholstered or wooden surfaces meet backpacks and purses - movie theaters, public libraries, even changing tables in public restrooms. Travelers should inspect hotel beds and headboards for signs of bedbugs; keep suitcases off the bed; unpack outside upon returning home; and put travel clothes immediately into a hot-water wash. At least one vendor offers plastic bags that dissolve in the laundry, so that travel clothes can be sealed at the hotel and dropped directly into the hot-water cycle. If you really want to be thorough, you can buy a $330 PackTite oven designed to bake your luggage to a bug-killing temperature. Otherwise, it might help to seal your suitcase in a plastic garbage bag.

The good news about bedbugs is that they don't appear to transmit diseases. And summit organizers think awareness and innovation should eventually make bedbugs a manageable problem for most people. "Mark my words: In the next 10 years, a silver bullet will be found," says organizer Phillip Cooper. "Somebody will figure out how to deal with bedbugs, and after that, it will be just another pest, like roaches or yellow jackets."

Wednesday, September 22, 2010

Tafsiri Kiswahili Kwenye Mtandao

Nimepata hii Kwenye Barua pepe:

Kiswahili on Software & Websites

Kiswahili is the funniest of all languages.

At least where computers are concerned. Now that I hear they will soon be releasing software and websites in Swahili, I went ahead and gave them a few translations to some of the things we are used to using in English.

On Microsoft Word ...

Save- Okoa
Save as- Okoa matako
Shift cells right- Peleka Jela zote kulia
Insert- Ingiza
Redo- Fanya tena
Undo- Fanyua
Insert table- Ingiza meza
Insert break- Ingiza na uvunje
Select all- Chagua wote
Cut- Tahirisha
Change Case- Badilisha Kesi
Upper case- Kesi ya juu
Lower case - Kesi ya hali ya chini
Italize- Fanya jambo kama waitaliano

On the internet

Go- Kwenda
Facebook - Kitabu cha nyuso
MySpace - Mahala pangu
Yahoo - Ya nani
Google - Jina lisilo na maana. Latamkwa sana sana na watoto wanaojifunza kuongea

Inbox- Sanduku la ndani
Outbox- Sanduku la nje
Search- Sorora
Click here- Pigia mdomo hapa
Sign out- Peleka saini nje
Download- Mzigo ulio chini
Hits- Kutwangwa mara mingi
Bookmark- Alama kwenye kitabu
Back- Mgongo
Home page- Ukurasa wa nyumbani
Log in- Tia mti ndani
Log out- Toa mti

So have a great Swahili day, won't you?

Saturday, September 18, 2010

Morgan Freeman na Mke Wake Waachana Rasmi

Mcheza sinema maarufu Morgan Freeman na mke wake wameachana. Walikuwa wametengana tangu Mzee Morgan alivyopata ajali ya gari akiwa na mwanamke mwingine. Pia iligundulika kuwa alikuwa anatembea na mjukuu wake tangu ana miaka 16. E'dena Hines ana miaka 27 sasa na atategema kuwa Mrs.Morgan Freeman mtarajiwa. Nataka kutapika! Hata haya hawana.
Mnaweza kusoma habari zaidi kwa kubofya HAPA:

***********************************************************************

Morgan Freeman, Missus Finalize Divorce

Look out, ladies, Morgan Freeman is officially a free man.

A Mississippi judge has finalized the divorce of the Academy Award-winning actor from his second wife of 26 years, Myrna Colley-Lee.

Freeman's Jackson-based lawyer, William R. Wright, tells E! News that a divorce decree was issued on Wednesday, though terms were kept under seal.

"There's no waiting period, there was no trial and they reached an amicable settlement settlement," said the legal eagle. "He is just happy that they can both move on."

The Dark Knight star married Colley-Lee, a theater and film costume designer, on June 16, 1984, and the couple were together during Freeman's rise to the top of the film world as one of Hollywood's most durable and acclaimed actors.

In August 2008, however, the thesp's business manager announced the pair had filed for divorce after separating the previous December. No reason was given for the split, but the divorce petition came just days after Freeman was involved in a scary car crash with a female friend of the family's.

Freeman, 73, was previously hitched to Jeanette Adair Bradshaw from 1967 to 1979.

Read more: http://www.eonline.com/uberblog/b200951_morgan_freeman_missus_finalize_divorce.html?utm_source=eonline&utm_medium=rssfeeds&utm_campaign=imdb_tv-movies#ixzz0zssxgbaJ

Tapeli wa Nigeria Afungwa jela miaka 12 Marekani!

Hatimaye moja wa wale matepeli wa Nigeria amehukumiwa na kufungwa jela miaka 12. Atafungwa gerezani Marekani. Jamaa alisem kuwa eti atatapeli watu. Akipata dola milioni moja na nusu atarudi kwao Nigeria! Wnagemfunga nmiaka 50 kusudi iwe fundisho!

***************************************************************

Kutoka: http://www.itworld.com/internet/119681/nigerian-advance-fee-scammer-gets-12-years

Nigerian advance-fee scammer gets 12 years

Over five years, the man racked up more than $1.3 million

A Nigerian man has been sentenced to 12 years in prison for sending out fraudulent e-mails offering victims big bucks in exchange for moving cash to the United States.

Okpako Mike Diamreyan, 31, was sentenced to 151 months of prison Wednesday by United States District Judge Janet Hall in Bridgeport, Connecticut.

Diamreyan made more than US$1.3 million in a scam that suckered 67 victims between 2004 to 2009, prosecutors said. This type of fraud, called an advance-fee scam, was the number-one type of Internet fraud in 2009, according to the U.S. Federal Bureau of Investigation. Last year, advance-fee fraud accounted for nearly 17 percent of the Internet fraud logged by the FBI.

Diamreyan pretended to be different people -- Prince Nana Kamokai of Sierra Leone or an airport director from Ghana, for example. He said he needed to move between $11.5 million and $23.4 million out of the country and offered victims 20 percent of the funds, if they would help him out.

After using fake documentation to convince his victims that he was legitimate, Diamreyan would get them to wire him different types of fees such as "PIN code fees" or courier services charges with the understanding that they would then get the money. These fees would pile up, but the promised money never arrived.

The scam left "many individuals and their families in financial ruin," the U.S. Department of Justice said in a statement.

Diamreyan immigrated to the United States in 2008 and allegedly told an acquaintance that he wanted to make $1 million or so before going home to Nigeria: "i want to forget america and come back home... once i take like 1m or half m," prosecutors quote him as saying.

He was arrested in August 2009 and found guilty by a jury in February.

Tuesday, September 14, 2010

Wazee Wauwawa Kenya eti Wachawi!

Jamani, utalia ukitazama jinsi hao wazee wanawake wanne na mwanaume moja walivyouwawa kwa kuchomwa moto na wananchi wenye hasira. Yaani watu wanashangilia kabisa! Mtu akitoka kwenye moto wanamrudisha kwenye moto! Hata mtu anapiga video! Hao waliotenda wachukuliwe hatua kali na serikali ya Kenya!

Mnaweza kuona video kwa kubofya HAPA:

http://www.wisdia.com/articles/shocking_video_five_suspected_witches_burnt_to_death_in_kenya.aspx

Lakini Tanzania kuna tabia mabya ya kuua wazee hasa huko Shinyanga! Wakiwa na macho mekundu shauri yua kupika kuni, eti mchawi, unaua! Jamani! Hebu waafrika acheni kuwa na imani potofu!

Monday, September 13, 2010

Kazi ya Acting Kwa Watoto - African Boy and Girl

African Boy and Girl

Mon, 09/13/2010

(Non-Union Only)

A young African or African American boy and girl
(age 7-12) are needed to narrate several kids films
about Africa. The work is unpaid but can serve as an
educational experience. Please send e-mail photo.
Thank you.
Elmer Hawkes
www.worldstogether.com
info@worldstogether.com

Contact Details:
Elmer Hawkes
Worlds Together
617 354-2207

info@worldstogether.com

Msiba wa Mama Elizabeth Mwakasisi, Michigan

To Tanzanians and Friends,

On behalf of the family of Frank and Elizabeth Mwakasisi, I would like to inform you that the Mwakasisi family plans the funeral service for their beloved wife and mother on Saturday September 18, 2010 in Portage, Michigan. The funeral service will start with visitation, followed by memorial service, burial service and reception to celebrate Elizabeth's life. Please stay tuned for updates when the program for the day becomes available.

I would also like to update you on the status of fund collections and contributions towards the Elizabeth Mwakasisi Memorial Fund.

The target date for collections towards the Elizabeth Mwakasisi Memorial Fund of September 2nd has passed but we have not yet reached the set goal of funds for the burial services for our beloved Elizabeth Mwakasisi and pertinent matters thereof. I therefore, once again, urge every Tanzanian and friends of the Mwakasisi family to give generously to meet the goal of resting Elizabeth in peace. A new tentative target date of Monday September 13th has been set to raise the balance of these funds.

The Elizabeth Mwakasisi Memorial Fund account details are as follows:

Account Name: Elizabeth Mwakasisi Memorial Fund
Bank name: JP Morgan Chase Bank
Bank Routing Number: 072000326
Bank Account: 901651562
Bank Location: Portage, Michigan

You can contribute to the Elizabeth Mwakasisi Memorial Fund using of the following options:
1) Account to account transfer if you have a Chase Bank account
2) Deposit into the account at a local Chase Bank if you happen to have a Chase Bank branch near you.
3) Wire transfer from your bank account from anywhere in the world.

You can also contribute by:
1) Contributing online using a personal or business check by visiting www.valueplusweb.com/memorialfund.htm
2) Contributing using PayPal by sending money to Elizabeth@valueplusgroup.com.

You can also contribute via Western Union from anywhere in the world. Send funds to the treasurer Emmanuel Turuka and email the control number, your name, phone and country you’re sending from to turuka2000@hotmail.com.

You can also contribute by check or money order in US Dollars payable to Elizabeth Mwakasisi Memorial Fund and send it to:

Elizabeth Mwakasisi Memorial Fund
6484 Independence Dr.
Portage, MI 49024
USA

For more information or updates, please contact any of the following family members:
1) Rev. Dr. Edwin Misigaro @ (309) 256-1254 or emisigaro@yahoo.com2) Dr. Lennard Tenende @ (713) 540-6355 or lennard.tenende@cilicorp.com3) Saul Mwakatapanya @ (630) 881-1782 or mwakatapanya@hotmail.com
4) Emmanuel Turuka @ (269) 873-2750 or turuka2000@hotmail.com
5) Rev. Dr. Aba Mpesha @ (616) 717-2337 or abampesha@yahoo.com6) Dr. Exaud Koka @ (630) 303-6585 or enkoka@yahoo.com7) Rev. Dr. Norbert Mwitula (773) 886-2228 or mwitulan@yahoo.com8) Apostle Robert Kagumba @ (269) 903-6465 or elikagumba@yahoo.com
You can reach the Mwakasisi family to comfort them after such a big loss of their loved one by email at frank@MightyOutreach.com or by phone at (269) 321-9900 or by snail mail at:
Frank Mwakasisi
6484 Independence Dr.
Portage, MI 49024
USA


Saul Mwakatapanya
Chairman,
Tanzanian Community Association
Midwest USA, NFP (TCA)

Sunday, September 12, 2010

Kibonge Afurahisha!



Huyo mama alifurahisha watu na uchezaji wake, alikuwa mwepesi kweli ingawa kibonge. Alikuwa anaongoza gari katika msafara wa Festival leo hapa Cambridge, MA.

Cambridge Carribean Carnival 2010

Parade inanza ikiongozwa na Meya wa Jiji la Cambridge, MA Mh. David Maher
Malkia wa mwak huu ni Bibi Maria. Ana saluni ya nywele Central Square Cambridge.
















Cambridge Caribbean Festival 2010

Vibaka Ubungo Dar es Salaam

Kuna Mdau H. S. ameleta taarifa hii:

Leo nimeibiwa pale ubungo mataa, gari langu limengolewa side mirror katika hali ya ajabu na wepesi hata nilipojaribu kujihami lau kwa kumpiga kibaka mmoja na Lungu niliyokuwa nayo bado sikumpata uzuri ameenda na side Mirror zangu!!!

Imeniuma sana lakini napanga kufanya operation kwenye hilo eneo lau nipate kibaka mmoja wa kutolea mfano...hili ni eneo ambalo kwa makusudi linageuka taratibu kuwa jehenamu kwa kila kitu ulichonacho, anzia sim,begi, saa, laptop, pochi na hata heleni za akina mama.

AJABU unapoibiwakama hivo walikua wa 4 na magari yalikua yapo sikupata msaada hata kwa mtu mmoja nilihangaika peke yangu huku watanzania wenzangu wanaangalia hilo LIMENISHANGAZA SANA,,,

Nchi hii sasa ina poteza usalama kiasi kile na kwa kweli watu wa mji huu wa Dar sijui ni uoga ama vipi!!! naamininingekua sehem nyingine kama mbeya wale vibaka wangekiona leo....natoa wito kwa wote kuweni makini na Ubungo mataa,keko,Fire,jangwani,buguruni haya maeneo yanatakiwa kusafishwa!

Saturday, September 11, 2010

Megabus Yapata Ajali! Watu Wanne Wamefariki!

(pichani Megabus iliyopata ajali New York)

Basi aina ya ghorofa mbili (double decker) ya kampuni ya Megabus imepata ajali katika mkoa wa New York, nje ya mji wa Syracuse. Basi ilikuwa inatokea Philadelphia na kuelekea Toronto, Canada. Habari zinasema kuwa watu wanne wamekufa. Megabus inapendwa sana kwa ajili ya nauli zao nafuu na mabasi masafi.

Mungu alaze roho za marehemu mahala pema mbinguni. Amen.


*************************************************
SALINA, N.Y. (AP) - A double-decker bus traveling off its route hit a low railroad bridge overhead and flipped on its side early Saturday, killing four people and critically injuring others, authorities said.

The Megabus was carrying more than two dozen people when it rammed into the bridge around 2:30 a.m. on the Onondaga Lake Parkway in Salina, a suburb of Syracuse in central New York.

Twenty-four people were taken to hospitals, including some suffering from critical injuries.

The bus was too tall to make it under the low-hanging span, said Larry Ives, supervisor of dispatch operations for the Onondaga County Sheriff's Department.

It struck the bridge between two large signs warning that the clearance was 10 feet, 9 inches, photographs from WSYR-TV showed. The top level of the bus was crushed and partially peeled back in the front.

The driver of the bus had head injuries but was speaking to investigators, Onondaga County sheriff's deputy Herb Wiggins told The Post-Standard newspaper of Syracuse.

The dead included three men and a woman in her teens or early 20s, Sheriff Kevin Walsh told the newspaper. He said there was no indication the driver had been drinking or using drugs.

The bus left Philadelphia at 10 p.m. Friday and was headed for Toronto with stops in Syracuse and Buffalo, said Don Carmichael, a senior vice president at Coach USA, which operates Megabus. He said he didn't know why the bus was off its route but was headed to the crash site early Saturday to investigate.

The crash shut down the parkway, which runs along a lake not far from the intersection of the two major highways that go through Syracuse, Interstate 81 and Interstate 90.

Idd Mbaraka!



Nawatakia wadau wote waIslamu Idd Mbaraka! Mbarikiwe wote!

Kumbukumbu - Maafa ya Septemba 11, 2001

Leo ni miaka tisa tangu siku ya 9/11/01. Ni siku ambayo magaidi wa Al Qaeda waliteka ndege na kusabisha vifo vya watu karibu 3,000! Wengi walikufa Twin Towers zilivyoanguka new York, lakini pia tusisahau watu walikufa Pennsylvania na kwenye Pentagon huko Washington D.C.

Waliokuwepo duniani sikuhiyo hawatasahau walikuwa wapi na walikuwa wanafanya nini wakati wakisikia habari ya tukio. Na ni siku ambayo Marekani ilibadilika.

Tuesday, September 07, 2010

Dr. Slaa Afunguliwa Mashitaka Mahakama Kuu!

(Pichani Dr. Wilbrod Slaa - CHADEMA)

Jamani, sasa badala ya kuwa kampeni ya siasa, ugombea rais wa Dr. Wilbrod Slaa wa chama cha CHADEMA, unageuka kuwa Soap Opera (Tamthiliya)! Majuzi huko Babati walimwuliza Dr. Slaa ana wake wangapi(BOFYA HAPA kupata maelezo zaidi), leo eti mume halali wa mke wa Dr. Slaa, kaenda mahakamani na kusema kuwa Dk. Slaa kamwibia mke wake! Kusoma habari zaidi za kesi BOFYA HAPA.
Huo mchezo wa kukuchunguza mpaka umevaa chupi gani kama ni mwanasiasa ni mchezo mkuu hapa Marekani. Ukiwa mwanasiasa lazima uwe msafi. Kwa maana hiyo usitembee nje ya ndoa, usiwe na kimada, usizae nje, usifanye ngono na malaya... listi ni ndefu. Bado wanafanya na wakigundulika wengi wanalazimishwa kujiuzulu.

Enzi za Mwalimu ulikuwa husikii kwenye vyombo vya habari kiongozi fulani anatembea na fulani! Sasa ni jambo la kawaida, sijui ndo uhuru wa vyombo vya habari au nchi kukua kisiasa. Wangekuwa wanasema mambo ya watu enzi za Mwalimu mbona yangesemwa mengi. Ungesikia fulani kazaa katika kila mkoa wa Tanzania, fulani ana familia nyingine sehemu fulani, binti fulani katoa mimba ya kiongozi fulani n.k. Sidhani kama kuna kiongozi 'msafi', hata kwa upande wa wanawake! Kiongozi fulani kazaa sehemu fulani, kiongozi huo kapata ugonjwa fulani mahala fulani.....Doh! Tunaelekea wapi?

Mwisho nauliza kwa nini wanamsakama Dk. Slaa sasa? Naona kampeni yake imepamba moto kweli halafu ndo jamaa anataka alipe eti mabilioni!

Tangazo - TWENDE

TWENDE (Tanzania Women Entrepreneurs Networking & Development Expositions) is a 2 day entrepreneurial exposition which features women who own or run small , medium and large scale businesses including governmental and non governmental organization which shall not only partake in the Exhibition but also participate in a two day Seminar aimed at empowering and enterprising various businesses.

The Exposition and Seminar shall be held on 16th and 17th of September 2010 at Diamond Jubilee Hall in Dar es Salaam, Tanzania

For an Entrepreneur, this is the perfect opportunity for you to educate, inform, network and socialize with potential customers, suppliers and women entrepreneurs aimed at taking your business to the next level

TOGETHER WE CAN!!! looking forward to your SUPPORT!

for more information or/on participation contact Mustafa Hassanali on +255784303880 or via Email: Mustafa@mustafahassanali.net

Monday, September 06, 2010

MFUMO WETU WA ELIMU NA CHANGAMOTO ZAKE!

Ubungo mwaka 1980. Mwanafunzi wa Chuo Kikuu alienda kunywa pombe kwenye baa fulani. Wakati ule wanafunzi wa UDSM walikuwa na hela shauri ya posho zao kutoka serikalini. Jamaa alilewa. Akaanza kuongea kimombo/kiingereza. Alipigwa na wananchi wenye hasira kwa vile jamaa eti alikuwa na KASUMBA!

Wadau waliosoma Tanzania tangu miaka ya sabini katikati waliposema kuwa eti Shule za msingi zifundishwe kwa kiswahili halafu sekondari na kuendelea ziwe English wtakubaliana na mada huu.

Na mimi siku zote nasema maana ya shule ya msingi ni nini? Si ndo msingi? Sasa kama huna msingi mzuri si utapata shida baadaye. Katika jumuiya ya Afrika Mashariki sisi waTanzania ndo tuna matatizo ya kuongea na kuandika kiingereza shauri ya kukosa msingi mzuri wa Kiingereza shuleni.

Fikiria watoto wanafundishwa kiingerea na watu ambao hawana msingi wa lugha, yaani lugha yao ni broken. Kuna dada moja ambaye nilisoma naye Tabora Girls alikuwa ancheka akisema, "Chemi, si unakumbuka English ilivyokuwa taabu kwangu, basi mimi ndio mwalimu wa English katika shule ya sekondari fulani! Si maajabu hayo" Maajabu ndo yeye eti alijua kiingerza kuliko wengine.

Hata hapa USA unakuta mTanzania ana Masters/Ph.D lakikni anakosa kazi ya maana kwa vile hajui kuongea kiingereza vizuri. WaKenya na WaGanda hawana shida hiyo. Naukumbuka miaka ya 90 mwanzo nilienda kwenye kijiji fulani huko Uganda. Wau masjini watoto wamevaa nguo zilizochanika hlafu mavumbi matupu lakini walikuwa wanajua kiingereza kizuri.

Nashukuru kuwa sasa Tanzania wameruhusu shule za msingi za kiingereza kwa muda, lakini ni za kulipia (private). Lakini ni wakina nana wanafaidi? Ndo matokeo ya KASUMBA.

Mwaka 1993 (?)...mara baada ya kuruhusu vyama vingi, Chifu Abdallah Fundikira alihubiria umati mkubwa wa wananchi huko Jangwani. Chama chake ilikuwa UMD. Alisema, "Mwalimu Nyerere alikuwa anaongea Kiingera kizuri sana...The Queen's English, halafui alitaka nyie msiongee!" (Nilikuwa mwandishi wa habari Daily News wakati huu, na iliandika hiyo kwatika original copy, lakini ilifutwa kabla ya kuchapishwa!)



***********************************************************************



Imeandikwa na Malkiory William Matiya

Waswahili walisema, mkunje samaki angali mbichi. Wataalamu na watafiti katika fani mbali mbali wanatuambia kuwa hali/tabia ya mtu mzima kwa kiwango kikubwa ni matokeo ya mazingira ya makuzi/malezi yake ya utotoni. Mfano tabia kama vile ukatili, ukimya, woga, wasiwasi, hasira, okorofi, furaha, upendo, kujiamini n.k. ukubwani ni baadhi tu ya matokeo hayo.

Kama hivyo ndivyo basi, nadhani utakubaliana nami kuwa tunahitaji mfumo dhabiti na bora wa kujifunza/ufundishaji katika ngazi ya elimu ya awali/kindergarten na msingi. Ni dhahiri kuwa tendo la kijifunza linakuwa limekamilika pale ambapo mabadiliko ya kudumu ya kitabia yanapoanza kujitokeza kwa walengwa ambao ni wanafunzi. Hivyo basi, inatubidi tukubali ukweli kuwa mabadiliko chanya ya kitabia yatatokana na ufundishaji/uelimishaji chanya pia.

Mtoto wa kitanzania anapoanza elimu ya msingi hufundishwa masomo yote kwa lugha ya kiswahili isipokuwa somo moja tu la kiingereza kwa miaka yote saba ya elimu yake ya msingi. Baada ya hapo mambo hubadilika ghafla pale mwanafunzi anapoanza elimu ya sekondari, kwani masomo yote huwafundishwa kwa kiengereza isipokuwa somo la kiswahili.

Tatizo hili huchangia kwa kiwango kikubwa kupunguza kasi, ari na uwezo wa mwanafunzi kujifunza, kwasababu mwanafunzi hujifunza mambo mageni kwa lugha ya kigeni kwa maana ya kiingereza. Hali hii kwa mtizamo wangu inachangia kuzorotesha na kupunguza ufanisi wa wanafunzi wetu kilugha katika ngazi zote.

Zaidi ya yote, mfumo wetu wa elimu katika ngazi zote haujaandaliwa katika misingi ya kumwezesha mwanafunzi kujifunza kwa vitendo. Pamoja na shule zetu kuwa na ukosefu wa vifaa vya kufundishia kwa vitendo, lakini pia ubunifu miongoni mwa walimu ni jambo jingine.

Mfano, wakati wa kufundisha somo la umeme kwa wanafunzi washule ya msingi, hapa si lazima kuwa na umeme, maana shule nyingi za vijijini hazina umeme, badala yake walimu wanaweza kutumia betri ya gari kuzalisha umeme na mwanga.


Madhalani, wakati wa kufundisha somo la uzazi wa mimea, hapa walimu wanapaswa kuandaa bustani ya majaribio, ambapo wanafunzi watapata fursa ya kuona jinsi mimea inavyoweza kuzaliana kwa vitendo.

Na kama kama ni wakati wa kufundisha somo linalohusiana na mifumo mbali mbali kama vile mfumo wa chakula, mfumo wa hewa, mfumo wa uzazi, mfumo wa neva, mfumo wa fahamu n.k hapa walimu wahusika wanaweza kumchinja chura au panya ili waweza kuonyesha kwa vitendo.

Ili kukabiliana na changomoto hizi ningependa kuishauri serikali kupitia wizara ya elimu na mafunzo kama ifutatavyo. Kwanza, kubadili mfumo wa mitaala yetu ambayo tumeirithi toka enzi za mkoloni. Jambo la msingi hapa ni kubadilisha lugha ya ufundishaji toka ngazi ya chini ya elimu hadi elimu ya juu, yaani kutoka shule ya vidudu hadi chuo kikuu.

Kama ni kiswahili basi iwe ni kiswahili toka mwanzo hadi mwisho na kama ni kiingereza basi iwe ni kiingereza toka mwanzo mpaka mwisho. Pili mitaala ibuniwe kwa lengo la kumwezesha mwanafunzi kujifunza kwa vitendo zaidi tofauti na hali ya ufundishaji wa sasa uliojikita zaidi kwenye nadharia.

Hakika kama serikali inakusudia kuwekeza kwenye ubora wa elimu basi ni lazima walimu wa stashahada/diploma na wale wa shahada/degree nao wapewe jukumu la kufundisha katika shule za msingi.

Jambo hili linaweza kuwa na ugumu wake katika utekelezaji endapo mazingira ya kufanyia kazi kwa walimu hayataboreshwa, hii ikiwa ni pamoja nyumba nzuri za kuishi walimu, huduma kama vile umeme, maji, internet, minara ya simu na TV. Upatikanaji wa huduma hizi unaweza kuwafanya walimu kudumu katika mazingira yao ya kufanyia kazi.

Iwapo jambo hili litazingatiwa basi ubora wa elimu yetu utaongezeka, na hata uwezekano wa kubadili mitaala yetu kuwa katika lugha ya kiingereza toka shule ya vidudu/ kindergarten hadi chuo kikuu utafanikiwa.

Mwisho, tukumbuke kwamba uimara wa nyumba kwa kiasi kubwa hutegemea MSINGI! Bila kusahau usemi kuwa, utavuna ulichopanda.


--
Malkiory William Matiya

Mnaweza kutembelea blogu yake: http://www.malkiory-matiya.blogspot.com/

Friday, September 03, 2010

Mbuzi Wakwama kwenye Daraja Montana


Making goats of themselves: Cory Freeman of the Rimrock Humane Society looks over at two stranded goats as they perch on a rail bridge in Montana

Wadau, hao mbuzi walikwama kwenye daraja hapo Montana kwa siku mbili. Ilibidi waokolewe na 'crane' kutoka kwenye mgodi karibu na hapo. Ningependa kujua walifikaje hapo?
*********************************************************************

Silly billies: Two young goats get stuck on six-inch ledge of railway bridge for two days
By Daily Mail Reporter
3rd September 2010
Here is the perfect example of how a moonlight stroll can go horribly wrong.
Two young goats that wandered onto the thin ledge of a 60ft railway bridge had to be rescued by a crane after two days high above a remote highway.

The poor animals' plight was only discovered when a passing motorist contacted a local charity and alerted them to the situation.

Rimrock Humane Society called the police, who then enlisted the help of a local coal mine to bring in a crane and pluck the animals to safety near Roundup, southern Montana.

The young female animals, weighing about 30lb each, mostly stayed on the angled ledge - even though there was a wider surface area on a pillar just a few feet away.

Rimrock Humane Society president Sandy Church said: 'The whole time, we thought they were going to fall off. These guys are just babies.'

Ms Church said it wasn't clear how the nimble-footed animals got into the predicament, but she speculated they wandered onto the ledge at night and then froze after the sun rose and they discovered where they were.

She said that the goats sometimes stepped to the pillar but returned to the narrower ledge, where they tried to rest their tired legs by tucking them under their bodies for a few seconds at a time.

Long way down: The two goats remained on the thin ledge for two days - until authorities could pluck them to safety after enlisting the help of a nearby mine, which brought a crane to the rescue

Authorities were called on Tuesday, when the goats were first spotted. But confusion about the location delayed the rescue until another caller alerted the humane society yesterday.

The sheriff's office, Ms Church and Cory Freeman, a humane society volunteer who runs the Animal Edventures Sanctuary, enlisted the help of officials at Signal Peak Energy, which operates a nearby coal mine.

Mine boss John DeMichiei volunteered a mining crane with an arm high enough to reach the stranded goats that eventually moved to the pillar.

Both animals were thirsty and tired but have recovered well after their ordeal - and are undoubtedly giving late-night walks a miss for the time being.

Read more: http://www.dailymail.co.uk/news/worldnews/article-1308577/Silly-billies-Two-young-goats-stuck-inch-ledge-railway-bridge-days.html#comments#ixzz0yToSKGDb

Thursday, September 02, 2010

Simu ya Kifo Yatokea Kweli Kenya!!!

Eti ukipokea simu kutoka kwa namba fulani huko Kenya, ubongo utapasuka. Uvumi unasema kuwa watu zaidi ya elfu moja wamekufa. Imebidi serikali ya Kenya iingilie!!!


Zeruzeru aliyekatwa Mikono Bongo apata Mikono Mipya

Tanzania tuna idadi ya zeruzeru (albino) kubwa kuliko nchi yoyote Afrika. Sasa kuna biashara ya kuwaua na kuuza viungo vyao kwa ajili ya mambo ya ushikirina/uchawi! Huyo dada Mariamu Staford aliletwa USA na timu ya madaktari kutoka Virginia. Amepata mikono bandia. Alikatwa mikono akiwa amelala kijijini kwake. Habari zinasema kuwa Mariamu hivi sasa amekwisha rudi Tanzania.

Tanzanian Woman With Albinism Gets New Arms

Specialist Builds Prosthetic Limbs for Mariamu Staford Who Has Albinism; Was Target of Brutal Attack


By JOSEPH DIAZ


FAIRFAX, Va., Aug. 27, 2010

Ona cold winter evening, a soft-spoken, 28-year-old single mother from rural Tanzania stepped off a plane at Dulles International Airport outside Washington D.C., with high hopes. The goal of her trip: a shot at life.

It was 28-year-old Mariamu Staford's first time outside of Tanzania; but as she approached customs, an agent wouldn't let her through, claiming she refused to be fingerprinted. It wasn't that she wouldn't, but that she couldn't.

A year ago, both of Staford's arms were chopped off -- part of a brutal campaign of death in her native country. Men armed with machetes stormed Staford's hut while she was sleeping, she told ABC News, and began cutting at her arms in a gruesome attempt to amputate them.

Click here to find out how to help Tanzanians with albinism

Persons with albinism, like Staford, are being hunted down and murdered; their bodies sold on the black market and used in witchdoctor potions, all because of a superstitious belief that the limbs of albinos possess special powers. Nearly 60 albinos have been murdered in the last three years.

The attack rendered Staford an invalid. Unable to feed or clothe herself, or care for her young son, she yearned for independence.

"I'm a grown person, but I can't do anything," she told "20/20." "I used to be able to rely on myself, but now my mother must tend to my every need."

Staford thought her future was bleak. After meeting her last year, "20/20" helped mobilize a group of volunteers, who affectionately became known as "Team Mariamu," to bring Staford to the U.S. Leading the team was Vicky Ntetema, a Tanzanian journalist-turned-advocate, who bravely first exposed Staford's tragedy.

Eventually, a customs manager, who saw "20/20's" initial report about the grotesque phenomenon of albino killings, allowed Staford into the country.

Staford's first stop was an appointment with Elliot Weintrob, the president of the Orthotic Prosthetic Center in Virginia, who would build a custom set of prosthetic limbs for Staford -- free of charge.

"You can't turn the other way when you see something like [Staford's gruesome attack]. You got to say, 'What can I do here to help?'" Weintrob said. "I don't think I had a choice. I see and hear a lot of things, but this went right to the top."

Mnaweza kusoma habari kamili kwa KUBOFYA HAPA:

Hatimaye Dawa ya UKIMWI?

Wadau, ingawa siku hizi kuna dawa za kurefusha maisha ya walioathirika na HIV/AIDS bado hakuna tiba. Mwakani kutakuwa na majaribio ya kuona kama wanaweza kusafisha virusi hivyo kutoka kwenye miili ya walioathrika. Tuombe Mungu kuwa watafanikiwa.

************************************************************
Kutoka Bloomberg.com

AIDS Quest to Kill `Sleeping' Virus Enlists Merck Cancer Drug

By Simeon Bennett - Sep 2, 2010

The 30-year-long search for a cure for AIDS, the world’s deadliest viral infection, may get a renewed boost from an unlikely source: a little-used Merck & Co. cancer drug.

Researchers at the University of North Carolina in Chapel Hill plan to test Merck’s drug, Zolinza, next year in about 20 people infected with HIV, the AIDS virus. The goal is to determine if Zolinza, or a medicine like it, can force HIV out of cells where it can reside, concealed from attack by potent antiviral treatments, said David Margolis, a professor of medicine who’s leading the research.

While AIDS drug cocktails can eliminate more than 99 percent of virus from an infected person, the treatment isn’t a cure because a remnant of the virus remains hidden in certain cells. For years, scientists have sought a simple way to drive the remaining virus into the bloodstream where the drugs can clear them from the body. Zolinza, approved in 2006 for use against a rare type of blood cancer, may work by blocking an enzyme that helps the virus avoid detection.

“It’s really all about trying to move the field ahead,” Margolis said in a telephone interview. “We don’t expect to cure anybody, but we expect to really show whether it can work the way we think it does in people -- or not.”

Zolinza earned Whitehouse Station, New Jersey-based Merck $15 million in 2008, the last year it disclosed sales of the drug, for treating a malignancy of white blood cells that affects the skin. In a laboratory test published last year, Margolis used the medicine to coax HIV out of hiding in cells taken from infected patients. Now he wants to replicate the result inside the body. Success would show he’s on the right track to finding a cure.

Mysterious Illness

“There is a good chance that it will cause some activation of latently infected cells,” said Robert Siliciano, a professor of medicine at Johns Hopkins University in Baltimore who first identified the cells in which HIV hides out, and isn’t involved in the Zolinza trial. “Nobody knows if it will work, but it’s important to try.”

AIDS was first observed as a mysterious illness among gay men in the U.S. in 1981, the same year Margolis started medical school at Harvard University in Boston. Since then it’s killed more than 25 million people, mostly in Africa.

Kusoma taarifa kamili Bofya HAPA:

Hurricane Earl Kilivyopiga Kisiwa cha Anguilla

Hurricane Earl kilipita nchini Anguilla mwanzoni mwa wiki hii. Kwa siku kadhaa visiwa vya Leeward Islands vilikosa umeme. Kwa bahati nzuri hakuna aliyepoteza maisha kutokana na kimbunga. Ila nyumba kadhaa zilipoteza paa zao na zingine kuaathirika kwa upepo kali na kuangukiwa na miti. Mnaweza kusoma habari zaidi HAPA:

Hivi sasa hapa Massachusetts tuko chini ya Hurricane Watch.
Mdogo wangu Malaika Che-Mponda ambaye anakaa huko ameniletea picha hizi.





Baada ya Kimbunga Earl Kupita


Paa ilitoka kwenye Stadium yao
Miti imeanguka
Hizo boti zitatembea tena kweli?
Mwenye boti kapata hasara!
Barabara ulizibwa


Jamaa aliamua kuacha ferry baharini...ilipona!