Wednesday, June 10, 2009

Walipa Kodi Marekani Hebu Chekini!

Walio Marekani wataelewa. Unakuta mtu eti maskini anaishi kwenye projects, hafanyi kazi anapokea welfare check lakini ana gari, anavaa nguo na viatu vya bei mbaya na kuwa na simu latest! Huko wewe unasota minimum wage na huna kitu cha maana cha kuonyesha!

*****************************************
This is classic. Our TAX Dollars at work!

Recently Michelle Obama went to serve food to the homeless at a government funded soup kitchen .

Cost of a bowl of soup at homeless shelter $0.00 dollars

Having Michelle Obama serve your soup $0.00 dollars

A homeless person who is receiving government funded meals while taking a picture of the first lady using his $300 Black Berry cell phone $$$$ Priceless
********************************************************************


6 comments:

Anonymous said...

jamani msisahau kuna wengine wamekuwa homeless baada ya hii crisis, watu wamepoteza majumba na kila kitu ndani yawezekana ndo hawa wengine wameamua kubaki na simu kwa ajili ya mawasiliano muhimu!

Anonymous said...

SCUM

Mzee wa Changamoto said...

Mmhhh! Anon, nami natamani kama huo ndio ungekuwa ukweli. Lakini bahati mbaya si hivyo. Ukweli ni kuwa watu wanaishi vema saana kwa pesa za wahenyekaji na maisha ya so called homeless hayana tofauti sana na yule wa kima cha chini. Wanazaliana ili kuendelea kupata check zaidi na inasikitisha kuona kuna familia ambazo zimewa-tune watoto wao kuishi hivi.
Hivi hujaona ile sticker isemayo "work hard, thousands of people in welfare are depending on you"? Basi ndio ujue kuwa wakati mwingine tofauti kati yao na sisi ni labda kwenye mikopo na system nyingine (kama kualika ndugu nk) ambazo wengi wao hawazihitaji.
Wameuchinja atiii.
Asante Da Chemi kwa hii. Inasikitisha ukiangalia ukweli ndani yake, lakini ipo, kwa hiyo ni vema kuiona.
Blessings

Anonymous said...

Yes, some folks have grown up in familes that have been on welfare for generations! They do not know the meaning of work. They have babies so they can keep getting check and not having to work. They are disgusting.

Mumu said...

Inaudhi kweli! Ni kweli kuwa wanokaa Marekani wataelewa zaidi. Mimi nimechoka kuona hao niggas maspanish na hata wzungu wanaishi kwenye welfare, wanazaa kama sungura halafu watoto hawatunzwi wanachulikuliwa na social services. Huko kavaa koti ya dola $400, kiatu cha dola $200. Wewe unasota dola $8 kwa saa na kuishia Payless na maduka ya Goodwill!

Bennet said...

poleni sana kwa kuwachangia hawa jamaa, kila sehemu kuna watu wanaishi kiujanja ujanja kama hao