Monday, April 16, 2012

Kama Kawaida WaKenya Washinda Boston Marathon!

WaKenya wakiona wakimbiaji katika Boston Marathon 2012
Wadau, Boston Marathon ilikuwa leo. Kama kawaida WaKenya wameshika nafasi zote za juu.  Lakini leo kulikuwa na joto si kawaida hapa Boston. Hadi wazungu wakasema "oh, waafrika wamezoea kukimbia katika joto, haki yao  kushinda. "

Na pia Chama ca Boston Marathon walisema kuwa wataruhusu wale ambao hawakukimbia leo kwa kuhofia joto, kukimbia katika Boston Marathon 2013.

Hivi lini MTanzania atashinda? Warudishe zile programu za kutafatua wanariadha katika mashule ya primary na sekondari Bongo.

*****************************************

Kutoka CNN.com


Mshindi wa Kwanza wa Kike katika Boston Marathon 2012, Sharon Cherop akivuka Mstari wa Kumalizia

Kenyan men & women win, place, show at Unseasonable Boston Marathon


The top three winners in the men's and women's divisions of Monday's Boston Marathon were all Kenyan, according to the race's website.

Wesley Korir, 29, was tops among the men with an unofficial time of 2:12:41. Levy Matebo, 22, and Bernard Kipyego, 25, finished at 2:13:06 and 2:13:13, respectively.

Sharon Cherop, 28, was the fastest among the women with an unofficial time of 2:31:50. Jemima Jelagat Sumgong, 27, and Giorgino Rono, 31, finished second and third with unofficial times of 2:31:52 and 2:33:09.

This year's Boston Marathon was held in abnormally high temperatures - so warm that race organizers took several steps to warn participants and allow those concerned about the heat to run next year instead.

The race, which began in 1897 and bills itself as the world's oldest annually contested marathon, is typically held in relatively cool weather. The average temperature for an April day in Boston is 47 degrees - with a usual high of 56 and low of 40 degrees - according to the city and National Weather Service. When this year's race finished, the temperature was in the mid-70s.

With its rolling hills, the Hopkinton-to-Boston course is often considered among the nation's most grueling marathons even in ideal racing conditions.

1 comment:

Anonymous said...

Big up sana Wakenya. Sisi Bongo tumekalia kupiga domo tu.