Thursday, February 21, 2008

First Ladies

American First Lady Laura Bush walks down the red carpet with her Tanzanian Counterpart First Lady, Salma Kikwete during the recent visit of President Bush to Tanzania. (Photo courtesy of Mpoki Bukuku).

Sasa jamani, hiyo khanga ilivyokunjwa. Picha ya Bush imefichwa lakini maneno WE CHERISH DEMOCRACY ni prominent. Hivi aliamua kuikunja hivyo kusudi picha ya Bushi isionenekane? Hapa Marekani watu walikuwa wanacheka kweli hizo khanga wanasema picha ya Bush iko kwenye butts (matako) na bosoms (vifua) vya wanawake wa kiafrika. Hawaelewi utamduni wetu wa khanga.

2 comments:

Anonymous said...

It's not our problem..hawajui utamaduni wetu,hatuna cha kuwasaidia, wacheke tu!Hata sisi tunacheka mengi tu kuhusu wao.

Anonymous said...

Mbona hiyo khanga haimechi gauni yake?