Tuesday, February 19, 2008

Rais Castro wa Cuba Ajiuzulu!

Cuban President Fidel Castro with his host Tanzanian President Julius Nyerere in Tanzania in 1978. I was there!


Rais Fidel Castro, wa Cuba amejiuzulu urais. Castro aliongoza nchi hiyo kwa miaka hamsini! Alipindiua serikali ya kibepari ya Batista siku ya mwaka mpya mwaka 1958! Castro alikuwa mgonjwa muda mrefu, hajaonekana hadharani kwa miaka miwili sasa. Kulikuwa na uzushi kuwa amefariki dunia, lakini habari hizo si kweli.

Alikuwa adui mkubwa wa Marekani shauri ya siasa zake za Communism. Mdogo wake, Raoul Castro atakuwa rais sasa.

Nakumbuka mwaka 1978, nilimwona laivu. Alikuja Dar es Salaam kumsalimia Mwalimu Nyerere. Wakati huo nasoma Zanaki secondary Form II. Tuliambiwa tukajipange pale Ikulu kumpokea. Alikuwa bado fiti wakati huo. Sasa ni mzee kabisa. Nakumbuka watu walisema eti, Castro alijialika kutembea Tanzania. Sijui walikuwa na maana gani. Tulitolewa haraka darasani na kuambiwa tuwahi Ikulu.

***********************************

Kwa habari zaidi soma:

http://www.cbsnews.com/stories/2008/02/19/world/main3843492.shtml?source=mostpop_story

http://ap.google.com/article/ALeqM5jo_74bCqDvop0iQubmaRzy42RadwD8UTE7E00

http://blogs.guardian.co.uk/politics/2008/02/so_fidel_castro_has_finally.html

2 comments:

Anonymous said...

Bora ajiuzulu. Apumzike siku zake za mwisho duniani. Kazi kafanya watu hawatamsahau.

Anonymous said...

Interesting angle. Cool. Castro is human garbage who has killed thousands of innocent Cubans in his failed pursuit of a communist paradise.

absurd thought -
God of the Universe says
Castro was BRILLIANT

like Marx, Lenin and Mao
he helped redefine EVIL


absurd thought -
God of the Universe says
celebrities are GUILTY

of having talent and luck
so they must praise dictators


absurd thought -
God of the Universe says
never admit you were wrong

Communism’s FANTASTIC
BEST false ideology


absurd thought -
God of the Universe says
keep your people poor

deny them decent health care
convince them they have it GREAT


Fidel Castro
murderous tyrant
- fools' hero

communist freedom killer
imprisons many poets...


http://absurdthoughtsaboutgod.blogspot.com/

http://www.therealcuba.com/

:)
.