Monday, June 16, 2008

Bi Kizee Muaji

Betty Johnson Neumar

Mtazame vizuri huyo bi kizee pichani. Huyo ni Betty Johnson Neumar (76). Amekamatwa na polisi huko Charlotte, North Corolina kwa tuhuma za kumkodi mtu kumwua mume wake.

Huyo bibi aliolewa mara tano, na wanaume wake wote watano wamekufa. Moja kafa kwa kupigwa risasi (walisema alijipiga mwenyewe) miaka ya 1950's. Mwingine naye alikufa kwa kupigwa risas mwaka 1986. Mwingine kafa baada ya kupata infection ambato sasa wanadhani kuwa alilishwa sumu.

Watu wanasema kuwa alikuwa anasimulia hadithi za ajabu akiulizwa kuhusu vifo vya wanaume hao. Sasa polisi wanamchukuza kwa makini. Mbona miaka mingi imepita hivyo?

Kwa habari zaidi someni:

http://www.cnn.com/2008/CRIME/06/16/cold.cases.ap/index.html

http://ap.google.com/article/ALeqM5gHG3MzunhA7wcxcqqxhtTf4tUfzQD91B85IGJ

http://www.mirror.co.uk/news/topstories/2008/06/14/black-widow-betty-89520-20606477/

2 comments:

Anonymous said...

Siwezi kuamini kuwa huyo bibi ni mwuaji. Anaonekana mpoleee!

Anonymous said...

kwanini usiamini we anony wa kwanza, hayo mambo yapo ni ibilisi tu akishamwingia mtu anaweza fanya kituko chochote.
Ms Bennett