Tuesday, October 14, 2008

Kumbukumbu - Baba wa Taifa, Mwalimu Julius K. Nyerere

Mwalimu Julius Kambarage Nyerere 1922-1999

Nilibahatika kumwona mara nyingi akiwa rais wetu na nina story nyingi za kusimulia wajukuu wangu. Ni miaka tisa tangu atutoke siku ya Oktoba 14, 1999 huko Uingereza. Alikuwa huko kwa ajili ya matibabu. Alikuwa rais wetu wa kwanza na pia Baba wa Taifa.
REST IN PEACE


Kwa habari zaidi za maisha ya Mwalimu Nyerere someni:

http://allafrica.com/stories/200810130183.html

http://news.bbc.co.uk/2/hi/africa/441768.stm

http://www.ippmedia.com/ipp/observer/2008/10/12/124364.html

3 comments:

Simon Kitururu said...

R.I.P Mwalimu

Anonymous said...

Kila mtu ana ubaya na uzuri wake. Lakini kwa ujumla Baba yetu wa Taifa wa kwanza alitufundisha: upendo, uzalendo, umoja, uaaminifu hakuna ubaguzi, ukabili,
udini na mengine mengi. Elimu ilikuwa ni muhimu kwa wote. "adult education hadi vijijini, equal chances hata mtoto wa mlalahoi alisoma bila matatizo.

RIP Baba, we will always miss You!

Grandma

EDWIN NDAKI (EDO) said...

Nakumiss sana mwalimu.

Umefanya mema mangi.Natambua kama mwanadamu ulikuwa na mapungufu yako lakini hakika bado unastahili pongezi kwa mengi uliyowatendea waafrika na si tanzania tu