Friday, April 25, 2008

Umoja Church Texas


Habari zimetoka kwa Pastor Absolom wa Umoja Church, Dallas Texas:

Kwa niaba ya kanisa lenu la Umoja,tunapenda kumkaribisha kila moja wenu katika mkutano wa kesho ambao mtumishi wa Mungu Mama Newstar Ngereja atahudumia.
Mbali na mkutano huu, tunapenda pia kutangaza msiba wa BIBI BUPE MWAIJANDEM ambae ni bibi mzaa mama wa mwanajumuia, na mshirika wa kanisa la Umoja dada BAHATI na WINNIE. Msiba huu umetokea jana huko nyumbani Mbeya, Tanzania. Tunaomba wanajumuia watakaoweza kufika kanisani kwa ajili ya ibada na kuwafariji wafanye hivyo kesho siku ya jumamosi saa moja jioni.Kwa watakaoweza kuwapigia simu na kuwafaraji wanaweza kufanya hivyo kwa namba hizi;214 779 4469,214 576 8903, 214 989 8778,214 554 7381. Kwa direction ya kanisa angali juu ya tangazo letu.
Umoja

1 comment:

Anonymous said...

Bwana Asifiwe na Mbarikiwe sana.